Ryan Garcia Aendeleza Rekodi ya Kutopigwa
Bondia Ryan Garcia alipigana vyema dhidi ya mpinzani bora zaidi siku ya Jumamosi kwa kumpiga kwa KO Javier Fortuna katika raundi ya sita kwenye pambano la pauni 140 mjini Los …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Bondia Ryan Garcia alipigana vyema dhidi ya mpinzani bora zaidi siku ya Jumamosi kwa kumpiga kwa KO Javier Fortuna katika raundi ya sita kwenye pambano la pauni 140 mjini Los …
Bondia Javier Fortuna amelezea kiu yake ya kutaka kumlambisha sakafu bondia machachari Ryan Garcia katika pambano lao lijalo ambalo limepangwa kufanyika siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Crypto.com Arena huko …
Ryan Garcia alijitokeza Jumamosi iliyopita usiku kwenye mitandao ya kijamii akisema anataka kurejea ulingoni na anamtka George Kambosos Jr baada ya kumtazama akimchapa Teofimo Lopez. Baada ya kuwakatisha tamaa mashabiki …
SaΓΊl Canelo Alvarez alidokeza Alhamisi hii kwamba mshirika wake wa gym, Ryan GarcΓa, hajazingatia kikamilifu na hana nidhamu katika mazoezi yake kwenye gym. “Kwa macho yangu, anapoteza muda mwingi na …
Ryan Garcia anasema amesaini “mkataba wa pambano” kwa mechi yake mwezi Julai, na ana “tangazo kubwa” siku Jumanne hii. Iliripotiwa wiki iliyopita kwamba mpinzani wa bingwa wa mpito wa WBC …
Bondia Ryan Garcia ambaye amejipatia umaarufu siku za hivi karibuni anampango wa kustaafu mchezo huo wa masumbwi akiwa na umri wa miaka 26 lakini amewashangaza mashabiki wengi ni kwanini ameamua …
Ryan Garcia alijitokeza siku ya Alhamisi kuzungumza takataka kidogo juu ya Gervonta βTankβ Davis, mpiganaji ambaye alikuwa ameuambia ulimwengu wa ndondi kwamba anakwenda kupigana kabla ya kuvinjika kwa matumaini ya …
Ryan ‘Kingry’ Garcia anasema anataka kupigana na Manny Pacquiao baada ya kumpiga Gervonta ‘Tank’ Davis mwaka huu. Ingawa Garcia mwenye rekodi ya (21-0, 18 KO) anasema anamheshimu bingwa wa zamani …
Baba wa Ryan Garcia, Henry Garcia ameunga mkono utabiri wa mtoto wake kwa Gervonta Davis na anaimani mtoto wake atashinda kwa KO katika raundi ya pili. Garcia anatarajia kuzichapa na …
Oscar De la Hoya alifunguka siku ya Ijumaa kwamba bondia Ryan Garcia atampita Canelo Saul Alvarez kwa ukubwa siku za badaye. Uhusiano wa De la Hoya uliingia dosari tangu wawili …
Bondia, Ryan Garcia aliangushwa katika raundi ya pili lakini alirudi katika raundi ya saba na kumzuia Luke Campbell na ngumi nzito ya mwili iliyompeleka chini moja kwa moja. Garcia …
Bondia Gervonta Davis alinusurika kupoteza kwenye pambano gumu zaidi la maisha yake kwa kupata ushindi wa uamuzi wa majaji dhidi ya Isaac Cruz (116-112, 115-113, 115-113) na kubakia na mkanda …
Gervonta ‘Tank’ Davis ameelezea kwamba pambano lake linalofuata litakuwa la Ubingwa wa Dunia lakini siyo la 130 au 135. na Tank hatopigana kwenye uzani wowote kati ya hizo, inaaminika kwamba …
Tetesi zinasema, Manchester United bado wanaendeleza juhudi za kumnasa mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 27. Tetesi zinasema, Arsenal wanajipanga kumsajili mshambuliaji Mfaransa Moussa Dembele. Mchezaji huyo mwenye …
Tetesi zinasema Arsenal imerejesha nia yao tena kwa mshambuliaji wa Crystal Palace Wilfried Zaha, 28. Manchester City wanalenga kukubaliana kuingia mkataba mpya na washambuliaji wa England Phil Foden,20, na …
Tetesi zinasema Chelsea inataka kuingiza pauni milioni 65 kwa kuwauza wachezaji wake ili kupata fedha za kumnasa mchezaji wa nafasi ya ulinzi anayekipiga West Ham Declan Rice. Wakati huo huo …