Novatus Dismas Mambo Magumu Shaktar
Ni miezi miwili sasa tangu Shaktar Donetsk ya Ukraine kufanya mabadiliko kwenye benchi lao la ufundi kwa kumfukuza mwalimu Patrick Van Leeuwen na mikoba yake kupewa Marino Pusic (52) kukinoa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ni miezi miwili sasa tangu Shaktar Donetsk ya Ukraine kufanya mabadiliko kwenye benchi lao la ufundi kwa kumfukuza mwalimu Patrick Van Leeuwen na mikoba yake kupewa Marino Pusic (52) kukinoa …
Inter leo wana Achraf Hakimi na Ashley Young wamerudi kwenye Ligi ya Mabingwa, kwani Nicolò Barella anaonekana kucheza nyuma ya washambuliaji dhidi ya Shakhtar Donetsk. Hakimi alikuwa amerejea kikosini dhidi …
Novatus Dismas: Walianza watanzania wachache sana kutamba kwenye soka la ushindani tena nje ya ardhi ya Tanzania. Ni nani asiyefahamu mapambano ya mtoto wa uswahilini mitaa ya Mbagala Mbwana Ali …
Uefa kurejea tena leo na mechi kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti kuwaka moto leo huku mechi kati ya Ac Milan dhidi ya Chelsea ikitolewa macho zaidi. Baada ya wiki …
Klabu ya Lille imefikia maridhiano ya pande zote ya kukatisha kandarasi na aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Jocelyn Gourvennec klabu ilithibitisha siku ya Alhamisi. Gourvennec alichukua mikoba ya kuinoa klabu …
Wiki ya kumi katika LaLiga itashuhudia El Classico ya kwanza msimu huu kati ya Barcelona dhidi ya Real Madrid ambayo itachezwa tarehe 24 Oktoba siku ya Jumapili. Real Madrid na …
Kocha wa Inter Millan – Antonio Conte amesema anawaona Shakhtar Donetsk kama ndio timu ya kwanza itakayokuwa ngumu kwa vijana wake kwenye Ligi ya Europa. Baada ya nusu fainali ya …
Baada ya kudumu kwenye kikosi cha Manchester United kwa miaka 8. Ashley Young aliamua kujiunga na Inter Millan mapema mwezi Januari. Young ambaye alikuwa na wakati mzuri ndani ya kikosi …
Wakati ligi nyingi zikiwa zimesimsmishwa kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na kirusi cha Corona (COVID 19), ni kipindi ambacho makocha wa timu mbalimbali wanakitumia …
Michuano ya klabu bingwa ipo mbioni kuanza kuunguruma ambapo klabu mbalimbali zitaanza kuumana kwa kasi ya ajabu ili kuweza kutafuta nafasi ya kucheza michuano hiyo kwa siku za baadaye ambapo …
Kulingana na ripoti mbalimbali zinaeleza kuwa Rais wa klabu ya Shakhtar Donetsk ya Ligi kuu ya Ukraine Akhmetov amesema kuwa atatoa kiasi cha Dola Milioni 25 za usajili wa Mykhailo …
Baada ya kumaliza ununuzi wa Joakim Maehle kutoka Genk, Atalanta wamefikia makubaliano ya kumsaini Viktor Kolavenko kutoka Shakhtar Donetsk bure msimu wa joto baada ya kumalizana na mkataba wake wa …
Beppe Marotta anakubali ushindi wa Shakhtar Donetsk dhidi ya Real Madrid umelifanya kundi la Inter kwenye Ligi ya Mabingwa kuwa ngumu zaidi. “Hili ghafla limekuwa kundi lenye uwiano zaidi. Tutakaa …