David Villa Mfungaji wa Kihistoria Kwenye Soka la Spain
David Villa anakua moja ya wafungaji bora katika rekodi za soka duniani na Leo kwenye historia hasa michezo inamuangukia mwamba David Villa ambaye ni straika wa za zamani wa vilabu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
David Villa anakua moja ya wafungaji bora katika rekodi za soka duniani na Leo kwenye historia hasa michezo inamuangukia mwamba David Villa ambaye ni straika wa za zamani wa vilabu …
Luis de la Fuente ametaja kikosi cha wachezaji 22 kwa Mashindano ya Olimpiki, wakati Uhispania inakwenda kutafuta medali ya dhahabu. Licha ya kutajwa kama mtu anayeweza kucheza kwenye michuano hiyo, …
Spain inaonesha kwenye uwekezaji wa vijana kwenye uwekezaji wa sika la vijana hawataki masihara baada ya vijana wao wa umri chini ya miaka 21 kui garagaza timu ya watu wazima …
Nahodha wa Real Madrid Sergio Ramos ameachwa kwenye kikosi cha mwisho cha Uhispania kwaajili ya Euro 2020, lakini Aymeric Laporte wa Manchester City amejumuishwa baada ya kubadili urai wa Ufaransa. …
Mchezaji wa RB Lebzig ya Bundesliga, Dani Olmo alikuwa shujaa wa mchezo wa kufuzu kombe la dunia kati ya Spain na Georgia. Straika huyo alifunga goli dakika za majeruhi na …
Xherdan Shaqiri amepewa ruhusa ya kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Switzerland katika mchezo wa michuano ya Nations League utakao chezwa siku ya Jumamosi dhidi ya Spain mchezo …
Kepa Arrizabalaga anajihisi kujiamini zaidi ndani ya kikosi cha Spain licha ya kuonekana kupambana sana kuwa katika fomu nzuri ndani ya kikosi cha Lampard siku za hivi karibuni. Kepa alikuwa …
Mchezaji wa Levante Jose Campana ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Hispania, wakati Dani Ceballos na Sergio Caanales wakirejea kwenye timu. Timu hiyo ambayo inanolewa na mwalimu Luis …
Adama Traore ametolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Hispania kuelekea mchezo dhidi ya Ukraine katika michuano ya Nations League baada ya kupimwa na kukutwa ana maambukizi ya virusi …
Mshambuliaji wa Ujerumani Timo Werner ameudhika kufuatia timu yake kuruhusu goli la dakika za majeruhi na kufanya mchezo kumalizika kwa 1-1 dhidi ya Spain katika michuano ya Nations League. Werner …
Kandanda la kimataifa linarejea baada ya kukosekana kwa muda mrefu kutokana na janga la virusi vya corona. Huku wababe Germany na Spain wakiumana siku ya Alhamisi. Baada ya mapumziko ya …
Nyota wa Barcelona anayechipukia Ansu Fati ameitwa katika kikosi cha Hispania kwa mchezo dhidi ya Ujerumani mwezi ujao. Winga wa Wolves Adama Traore ni mchezaji mwingine aliyeitwa katika kikosi hicho, …
Kocha wa Everton, Carlo Ancelotti ameshatakiwa na wanasheria wa Spain kwa kukwepa kodi ya 1m euros (£904,000). Mashtaka hayo ya kodi yanahusu mapato ya haki za picha wakati akiwa kocha …
Safari ya Argentina huenda ingekuwa yenye furaha zaidi kama wangekuwa namba moja kwa viwango vya soka duniani, lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo, licha ya kuifunga Ufaransa kwenye fainali ya kombe …
Wiki hii ule ukurasa raundi ya mtoano wa 16 bora utafungwa rasmi kwa michezo minne iliyosalia, ni Japan vs Croatia, Brazil vs Korea Kusini, Morocco vs Hispania, Ureno vs Uswizi. …
HISTORIA imeandikwa tena unaweza kusema, ni baada ya timu tatu kutoka za shirikisho la soka Asia kufuzu hatua ya 16 bora kwa mara ya kwanza, tangua kuanza kwa michuano ya …
Kocha wa Hispania Luis Enrique amedai angekuwa na ‘shtuko la moyo’ ikiwa angegundua kuwa timu yake iko kwenye ukingo wa kuondolewa kwa Kombe la Dunia, baada ya Costa Rica kuongoza …
Hispania ni moja ya timu maarufu za kimataifa na imekuwa kwenye kila Kombe la Dunia tangu 1978. Jezi zao nyekundu na soka safi ni sehemu muhimu ya hafla ya maonyesho …
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Jumanne kutakuwa na mechi 4 za kundi C na D, Argentina vs Saudi Arabia, Mexico vs Poland, Denmark vs Tunisia, …
Mnamo Agosti 2019, Luis Enrique alitangaza kifo cha binti yake wa miaka tisa baada ya vita vya miezi mitano na ugonjwa wa saratani. Ndivyo alianza Enrique, mmoja wa wachezaji wenye …