CAF SUPER LEAGUE KUANZA OKTOBA
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi mwezi Oktoba mwaka huu na kuongeza kwamba kutakuwa na jina …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi mwezi Oktoba mwaka huu na kuongeza kwamba kutakuwa na jina …
Klabu ya soka ya Simba itakua klabu pekee kutoka Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki kushiriki michuano mikubwa ya soka barani Afrika ambayo inatarjiwa kuanza mwaka huu inayojulikana kama Super …
Imeripotiwa kuwa Maofisa Kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) wamewasili hapa Tanzania, kwaajili ya kufanya ukaguzi wa maandalizi ya Super League. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, …
Ligi kuu ya Ulaya ‘itakuwa kweli’ katika miaka miwili ijayo, anadai rais wa Barcelona Joan Laporta, licha ya waandaaji kushindwa na jaribio lao la awali. Mipango ya awali ya …
Raisi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya vilabu Afrika yatakayo julikana kama “CAF Super League” alipokuwa akizungumza katika mkutano mkuu …
Historia mpya ya soka Afrika imeandikwa jana kwenye ardhi ya Tanzania jijini Arusha, kufuatia kutangazwa rasmi kwa mashindano ya maalum ya African Super League ambayo yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi …
UEFA na FIFA wamepanga kwenda mahakamani wiki ijayo kwa ajiri kwa kutafuta usaidizi wa kiseheria kwa ajiri ya kuzuia mashindano ya Super League kutokufanyika ili kuweza kuzuia baadhi vilabu kuachana …
Klabu za Juventus, Barcelona na Real Madrid wanajiandaa kufufua tena wazo lao la European Super League huku wakija na mabadiliko mapya ambayo ni kuondoa ushiriki wa kudumu baada ya mpango …
Real Madrid, Barcelona na Juventus wameripotiwa kufanya mazungumzo mapya kuhusu kufufua European Super League, ikiwa ni miezi minane tangia pendekezo hilo kuzinduliwa. Mradi huo ulitangazwa kwa mara ya kwanza Aprili …
Bodi ya Shirikisho la Mpira wa miguu Barani Afrika CAF, limeidhinisha mashindano mapya ya Super League yanayotarajiwa kuhusisha timu 20 katika mkutano uliofanyika jana Cairo, Misri. Mashindano hayo ambayo …
Hakuna klabu kati ya 12 zilizohusika na kuanzisha European Super League zilizoripotiwa kuuza hisa zao katika mradi huo. Real Madrid, Barcelona na Juventus ndizo klabu tatu pekee zilizobaki kushikamana na …
Timu 9 kati ya 12 za Super League zimethibitisha kujitolea kwao kwa UEFA na kukataa mpango wa kuunda mashindano mapya, lakini zitakabiliwa na adhabu ya kifedha kutoka kwa shirikisho la …
Bado ni mapambano yaliyojawa hisia na mivutano ya hoja kunako soka la Ulaya. Wiki hii imegubikwa na wimbi la wadau wa soka kuhusu mpango wa kuanzishwa kwa European Super League …
Rais wa klabu ya Real Madrid, Frolentino Perez ambaye pia ni rais wa Ligi Supa la Ulaya (European Super League) amesema ya kwamba, madai ya Ligi hiyo itaua ligi za …
European Super League Cup imesimamishwa rasmi baada ya timu zote ambazo zilikubali kushiriki ligi hiyo mpya kujitoa jumlajumla kutokana na shinikizo kutoka kwa mashabiki kupinga ligi hiyo pamoja na UEFA …
Naomba nikufahamishe kitu mtu wangu, Profesa wa mpira Arsene Wenger aliwahi kusema kuwa itafika siku hizi pesa mnazoona nyingi kwenye UEFA, zitakuwa hazitoshi kwa klabu kadhaa, ilikuwa 2018. Haikuwa rahisi …
Mabingwa wa Bundesliga wameungana na ndugu zao Borussia Dortmund na RB Leipzig katika kutangaza kutounga mkono mashindano mapya ya Ulaya. Siku ya Jumapili timu 12 kutoka England, Spain na Italia …
Leo (Jana) vilabu 12 vya mpira wa miguu vimetangaza kwa pamoja kujiunga na mashindano mapya ya Super League. AC Milan, Arsenal, Atlético, Chelsea, Barcelona, Internazionale, Juventus, Liverpool, Manchester City, …
Shirikisho la soka ulaya, UEFA limesema litahakikisha linamfungia mchezaji au klabu yeyote itakayoshiriki kwenye European Super League. Hapo jana vilabu 12 vikubwa ulaya vilitangaza rasmi kuanzisha michuano hiyo kuanzia mwezi …
Baada ya kutimuliwa kwenye kikosi cha West Brom, kocha raia wa Croatia – Slaven Bilic amekabidhiwa kikosi cha timu ya Beijing Guoan. Zikiwa ni wiki 3 tu zimepita tangu aondolewe …