Ten Hag Akanusha Rashford Kutimka
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa za mshambuliaji wake klabuni hapo Marcus Rashford kuhusishwa na mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG. Kumekua na tetesi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa za mshambuliaji wake klabuni hapo Marcus Rashford kuhusishwa na mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG. Kumekua na tetesi …
Kocha Pep Guardiola wa Manchester City, Erik Ten Hag wa Man United na Mikel Arteta wa Arsenal kuwania tuzo ya kocha bora wa mwezi Febuari kunako ligi kuu ya Uingereza. …
Erik ten Hag aliwasifu wachezaji wake wa Manchester United baada ya kunyakua ushindi wa 1-0 kwenye uwanja wa Nottingham Forest na kutinga robo fainali ya Kombe la FA. Bao la …
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, huenda akakosa mechi yake ya kwanza ya FA kutokana na jeraha tangu ahamie England. Hiyo ni kulingana na Kocha Mkuu wa Manchester Utd. Beti …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag bado ameendelea kuamini kua mchezaji wake Antony Santos raia wa kimataifa wa Brazil anaweza kurejesha makali yake ambayo alikua nayo. Winga …
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag alilaumu makosa makubwa baada ya Fulham kupata ushindi wa dakika za lala salama katika uwanja wa Old Trafford na kuwafanya wageni kunyakua pointi …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema anaamini kua wanaenda kushinda mchezo wao dhidi ya klabu ya Liverpool unaotarajiwa kupigwa katika dimba la Anfield leo. Kocha Ten Hag anasema …
Kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea na Brighton Hove and Albion Graham Potter anatajwa kama mbadala wa kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ambaye anaonekana kua …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi kua anahitaji kikosi kipana na chenye ubora ili kuweza kupata matokeo bora mfululizo kipindi hichi ambacho klabu hiyo inapata matokeo yasiyoridhisha. …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema wachezaji wa klabu hiyo wanamsapoti na wapo nyuma yake na sio kama ambavyo inaelezwa wachezaji hawamkubali tena. Kocha Ten Hag …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag anaelezwa yupo kwenye kikaango ndani ya klabu hiyo kutokana na mwendendo wa timu hiyo kwasasa. Ten Hag ambaye anaiongoza klabu ya …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameendelea kumkingia kifua mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza ambaye amekua chini ya kiwango msimu huu. Ten Hag anaamini Rashford atarejea kwenye …
Kcha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi mahusiano baina yake na beki wa kimataifa wa Ufaransa Raphael Varane ambaye anakipiga ndani ya klabu hiyo. Ten Hag …
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag amekiri kuwa “hafurahishwi” na kiwango cha sasa cha Marcus Rashford lakini bado anaunga mkono nambari yake kumi hiyo na anaamini atarejea vizuri. …
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag anasisitiza kuwa hana tatizo na beki wa kati Raphael Varane na anafurahishwa sana na kiwango cha Harry Maguire. Varane hajaanza katika mechi …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag ameeleza kua kiungo mpya wa klabu hiyo Mason Mount anapaswa kupambania nafasi yake klabuni hapo kwasasa ambapo amekua hapati nafasi mara kwa mara. …
Kocha wa klabu ya Manchester Erik Ten Hag ameweka wazi kua hali ni shwari ndani ya timu hiyo tofauti na inavyoelezwa kua kuna matatizo kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ten …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameendelea kumkingia kifua winga wake raia wa kimataifa wa Brazil Antony ambaye ameendelea kua chini ya kiwango ndani ya klabu hiyo. …
Erik ten Hag anakiri Manchester United wanacheza chini ya kiwango chao lakini akahimiza timu yake kushikamana baada ya kufungwa 3-0 na Newcastle katika raundi ya nne ya Kombe la Carabao. …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema kua watarejea kwenye ubora wao licha ya mfululizo wa matokeo mabaya ambayo wameyapata hivi karibuni. Ten Hag anaamini ni suala …