Thomas Muller Aweka Rekodi Ujerumani
Staa wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani Thomas Muller amefanikiwa kuweka rekodi ya kua mchezaji aliecheza michezo mingi zaidi ya ligi kuu ya Ujerumani akimpita …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Staa wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani Thomas Muller amefanikiwa kuweka rekodi ya kua mchezaji aliecheza michezo mingi zaidi ya ligi kuu ya Ujerumani akimpita …
Thomas Muller amefanya mabadiliko makubwa ya kustaafu kucheza Ujerumani baada ya hapo awali kudokeza kwamba aliichezea nchi yake mechi yake ya mwisho baada ya kuondolewa kwenye Kombe la Dunia la …
Thomas Muller alidokeza kwamba anaweza kustaafu soka ya kimataifa baada ya Ujerumani kuondolewa kwenye Kombe la Dunia Alhamisi usiku. Mabingwa hao mara nne waliondolewa tena katika hatua ya makundi, …
Thomas Muller mshambuliaji mwandamizi wa klabu ya Fc Bayern Munich ataukosa mchezo wa kesho kati ya klabu yake dhidi ya klabu ya Borussia Dortmund maarufu kama De Klassiker. Thomas Muller …
Mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani anayekipiga kwenye klabu ya Bayern Munich Thomas Muller amejiweka kitanzi cha kusalia kwenye klabu hiyo hadi mwaka 2024 ambapo awali mktaba wake ulikuwa unaisha majira …
Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Muller anasema anapokutana na staa wa klabu ya PSG Lionel Messi kwenye mashindano kila kitu kinaenda sawa kwa maana ya kupata matokeoi …
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani Thomas Muller amesema kuondoka kwa kiungo wa klabu hiyo Marcel Sabitzer aliyeelekea Manchester United ilikua taarifa ya kushtua …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ujerumani Thomas Muller amezungumza kua wamestahili kupoteza dhidi ya timu ya taifa ya Japan siku ya leo katika mchezo wao wa kwanza wa kundi …
Wachezaji wa Bayern Munich Thomas Muller na Joshua Kimmich wamejitenga baada ya kupimwa na kukutwa na virusi vya Corona. Taarifa hizo zilitoka baada ya ushindi wao walioupata hapo juzi …
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Bayern Munich Thomas Muller amesema kuwa Bayern lazima wajiangalie ikiwa wanataka kutetea ubingwa wa Bundesliga baada ya kulazimishwa sare ya tatu mfululizo Leo nina …
Kocha wa Ujerumani, Joachim Low amewarudisha kikosini wakongwe, Thomas Muller na Mats Hummels baada ya kuondolewa katika kikosi hicho kwa takribani miaka miwili iliyopita. Muller na Hummels wametajwa katika kikosi …
Thomas Muller amekiri kwamba yupo tayari kufuata nyayo za Thiago Alcantara kwa kuondoka huko Allianz Arena na kusisitiza “sijazuiwa” na Bayern Munich. Muller alianza kucheza soka la kulipwa huko Bayern …
Thomas Muller amesema anataka kuona Jerome Boateng akiendelea kukaa Bayern Munich kwa hiyo anaweza kumlinda mchezaji huyo kwa muda wakiwa uwanja. Boateng tayari ameingia kwenye miezi sita ya mwisho katika …
Thomas Muller anaamini amejionesha kuwa yeye ni muhimu kuitwa katika timu ya taifa ya Ujerumani lakini kwa sasa anachukulia kawaida akiwa anaendelea kuwasha moto katika timu ya Bayern Munich. Muller …
Bayern Munich imethibitisha kuongeza mkataba wa Thomas Muller hadi 2023. Mjerumani huyo mwenye medali ya Kombe la Dunia ni moja ya wachezaji waliokuwa kwenye mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba, na kwasasa …
Thomas Tuchel amekanusha kiburi kutoka kwa timu yake ya Bayern Munich baada ya kuondolewa kwa kushtukizwa kwenye DFB-Pokal dhidi ya Saarbrucken ya daraja la tatu. Bayern walisalia kupigwa na …
Harry Kane alifunga hat-trick yake ya pili msimu huu wa Bundesliga wakati Bayern Munich ya wachezaji 10 ikiibuka na ushindi wa dakika 45 za pili na kuwashinda wachezaji tisa wa …
Thomas Tuchel anahisi Chelsea ni klabu tofauti sana sasa na ile ambayo alipenda kufanya nayo kazi, baada ya kuulizwa kama anaweza kupendekeza kazi hiyo kwa Julian Nagelsmann. Chelsea ilimtimua …
Mechi ya kwanza ya Thomas Tuchel kama kocha wa Bayern Munich inaweza kuwa ushindi mzuri kwake dhidi ya wapinzani wao Borussia Dortmund, lakini anajua kuna kazi kubwa ya kufanya. …
Erling Halaand anzidi kuweka rekodi tu barani Ulaya, baada ya jana kuwafunga RB Leipzig peke yake mabao 5 ndani ya dakika 60 zilitosha kijana huyo wa Pep Guardiola kuandika rekodi …