Timo Werner Mambo Magumu Ujerumani.
RB Leipzig wameamua kumuweka sokoni mshambuliaji Timo Werner baada ya kiwango hafifu alichoendelea kukionesha msimu huu. Akiwa kwa mkopo Tottenham Werner ameendelea kuwa chini ya kiwango hali iliyopelekea akose namba …

