Timo Werner Arejea Klabu ya RB Leipzig
Straika wa Ujerumani Timo Werner anajinadaa kurudi katika klabu yake ya zamani baada ya klabu ya Chelsea na RB Leipzig kufikia makubaliano ya kitita cha pauni milioni 25. Timo atatua …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Straika wa Ujerumani Timo Werner anajinadaa kurudi katika klabu yake ya zamani baada ya klabu ya Chelsea na RB Leipzig kufikia makubaliano ya kitita cha pauni milioni 25. Timo atatua …
Timo Werner alifanikiwa kufunga bao katika ushindi wa Chelsea wa 1-0 dhidi ya West Ham United siku ya Jumamosi mchezo wa Premier League. Fowadi huyo wa Ujerumani alifunga goli katika …
Frank Lampard “hana shaka” Timo Werner atarejea katika fomu nzuri licha ya kupitia kipindi kigumu cha fomu akiwa Chelsea. Chelsea iko chini ya shinikizo kabla ya mechi ya Jumatatu ya …
Frank Lampard anafurahi jinsi Timo Werner alivyoweza kuelewa aina uchezaji Chelsea baada ya fowadi huyo kufunga magoli mawili kwa mikwaju ya penati kwenye ushindi wa 3-0 dhidi ya Rennes katika …
Timo Werner ni mshambuliaji wa hadhi ya juu, magoli ya kikatili sana kwenye mazingira katili sana lakini alifanya kitu. tulizoea kumuona Didier Drogba Yves Tebily akifanya vile, anatembea na mpira …
Kocha wa Ujerumani amethibitisha mshambuliaji wake – Timo Werner yupo tayari kuwavaa Switzerland katika michuano ya UEFA Nations League. Baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita, sasa Werner atakuwepo kwenye mchezo …
Ilikuwa tarehe 20 Julai 2004, katika viunga vya jiji la London, mitaa ya Fulham uliopo uwanja wa ndege wa Heathrow. Alishuka mreno Jose Mourinho na ndege ya kukodi kutoka Ufaransa, …
Ilikuwa tarehe 20 Julai 2004, katika viunga vya jiji la London, mitaa ya Fulham uliopo uwanja wa ndege wa Heathrow. Alishuka mreno Jose Mourinho na ndege ya kukodi kutoka Ufaransa, …
Michael Ballack ameunga mkono maamuzi ya mchezaji Timo Werner kuchagua kujiunga na Chelsea badala ya Liverpool, na kusema kwamba Mshambuliaji huyo wa zamani wa RB Leipzig atakuwa na mchango mkubwa …
Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa, Mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Timo Werner alivutiwa na kuwa na shauku juu ya mipango yake ndani ya klabu ya Chelsea, ndio sababu …
Chelsea wamethibitisha kuwa wamefikia makubaliano na klabu ya RB Leipzig juu ya uhamisho wa mshambuliaji Timo Werner. Werner amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya €170,000 kwa wiki, …
Katikati ya mchakato wa uhamisho wa Timo Werner, ripoti zinasema kuwa staa huyu amekataa kucheza mechi za UCL kwa RB Leipzig. Staa huyu amegonga vichwa vya habari siku za hivi …
Usajili wa Timo Werner kwenda Chelsea unaweza kukamilika wiki ijayo, inasemeka umechelewa kwasababu ya namna ya kufanya vipimo vya afya kwasababu ya zuio la kuingia nchi mbalimbali. Straika huyo wa …
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp ameelezea kwa nini Liverpool waliamua kujitoa kwenye mbio za kuwania saini ya nyota Timo Werner. Mshambuliaji huyu wa RB Leipzig anamezewa mate pale Anfield. Liverpool …
Timo Werner amefunga goli lake la kwanza tangu Bundesliga irejee ikiwa miezi miwili kutoka ligi hiyo iliposimama kwasababu ya Corona wakati RB Leipzig ikiminyana na Mainz. Timo, 24, alifunga hat-trick …
Mchezaji mshambuliaji wa klabu ya soka ya RB Leipzig, Timo Werner anaripotiwa kuwa anataka kwenda kwa klabu ya soka ya Liverpool pekee kwa msimu huu wa majira ya kiangazi na …
Mshambuliaji wa RB Leipzig na timu ya Taifa ya Ujerumani Timo Werner, atakosekana kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka huu kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu. …
Mchezaji Timo Werner amedai anafurahia kucheza katika mfumo wa timu ya taifa kuliko ule wa klabu yake ya Chelsea baada ya mshambuliaji huyo kufunga goli katika ushindi wa 2-0 dhidi …
Meneja wa Chelsea Thomas Tuchel ameripotiwa kuweka msimamo kwamba sio Timo Werner wala Hakim Ziyech atakuwa anaondoka Stamford Bridge wakati wa dirisha la usajili la mwezi Januari. Barcelona wamehusishwa zaidi …
Washambuliaji wa Chelsea, Romelu Lukaku na Timo Werner wanategemewa kuwa nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki 4 baada ya kupata majeraha katika mchezo wa Ligi ya mabingwa dhidi …