Tottenham Inaweza Kuwapa Changamoto Roma kwa Frattesi
Timu ya EPL, Tottenham, inazidi kuonekana kama wapinzani wa Roma katika juhudi zao za kumchukua kiungo wa Inter na mchezaji wa kimataifa wa Italia, Davide Frattesi, kulingana na ripoti kutoka …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Timu ya EPL, Tottenham, inazidi kuonekana kama wapinzani wa Roma katika juhudi zao za kumchukua kiungo wa Inter na mchezaji wa kimataifa wa Italia, Davide Frattesi, kulingana na ripoti kutoka …
Tottenham ilipoteza nafasi zaidi kwenye Ligi Kuu baada ya kutoka sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Fulham. Baada ya kipindi cha kwanza kilichokuwa cha usawa, Spurs walipata goli la kuongoza …
Klabu ya Tottenham inaelezwa kufukuzia saini ya mshambuliaji wa klabu Bournamouth Dominik Solanke raia wa kimataifa wa Uingereza ambaye anafasnya vizuri kwasasa. Tottenham wanatafuta mshambuliaji ambaye ataweza kusaidiana na Richarlison …
Tottenham wameripotiwa kujitokeza na kuanza mazungumzo na Juventus ili kuanza kuchunguza kwa dhati dili la kumpata Federico Chiesa. Winga huyo wa Kiitaliano mwenye umri wa miaka 26 hayumo katika kikosi …
Matteo Moretto anaripoti kuwa Tottenham inaomba ada ya €20m kwa beki wa kulia wa Brazil Emerson Royal, ingawa Rossoneri wanaweza kujadiliana punguzo kidogo kwenye lebo hiyo ya bei. Mtaalamu wa …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefikia uamuzi wa kumvunjia mkataba kiungo wake raia wa kimataifa wa Ufaransa Tanquy Ndombele kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tottenham wanaachana na Ndombele baaada ya …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imepanga kuachana na kiungo wake raia wa kimataifa wa Argentina Giovani Lo Celso akiwa amebakiza mkataba wa mwaka mmoja kwenye mkabata wake klabuni hapo. Tottenham hawana …
Wakala wa beki wa kulia wa Tottenham Emerson Royal alikuwa Milan siku ya jana mchana na alikuwa kwenye mkutano katika makao makuu ya Rossoneri, Casa Milan, kama ilivyoripotiwa na vyanzo …
Tottenham wameripotiwa kufanya mawasiliano na Torino ili kuanza kutafuta uhamisho wa beki mahiri Alessandro Buongiorno majira ya kiangazi. Beki huyo wa kati wa Kiitaliano mwenye umri wa miaka 24 alionekana …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imekutana na kitu kizito baada ya kuambulia kipigo cha mabao manne kwa bila mbele ya klabu ya Newcastle katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza. Mchezo …
Harry Kane na Eric Dier watakutana na klabu yao ya zamani ya Tottenham Hotspur, wakati Bayern Munich watakapocheza mechi ya kirafiki kwenye majira ya joto mnamo tarehe 10 Agosti. Beti …
Atletico Madrid wanaripotiwa kutajwa kuwa vinara wa kuwinda kiungo wa Atalanta Ederson, ambaye pia amekuwa akihusishwa na Juventus na Tottenham. Kulingana na gazeti la Kihispania la Marca, Diego Simeone wa …
Destiny Udogie anasema muda wake katika Tottenham umempa ‘uwezo wa mwili’ na ‘kasi uwanjani’ lakini anakiri awali Italia iliidharau Venezuela. Beki huyo wa zamani wa Udinese alicheza kwa dakika 90 …
Vita ya nafasi nne za juu ligi kuu ya Uingereza inaendelea kupamba moto vibaya sana ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kuisambaratisha klabu ya Aston Villa leo kwa mabao manne …
Vilabu vya Serie A vinatazamia kupata nyongeza ya Januari lakini vilabu vya kigeni pia vinafuatilia wachezaji bora katika ligi kuu ya Italia akiwemo Dragusin. Miongoni mwao ni beki wa …
Sky Sport Italia wanaripoti kwamba Fiorentina wana nia ya kumsajili winga wa Tottenham Bryan Gil wakati wa dirisha la usajili la Januari. Ingawa haijathibitishwa na Sky, nia ya Fiorentina …
Klabu ya Tottenham leo itashuka dimbani katika mchezo wa kombe la Fa raundi ya tatu dhidi ya vijana wa Vicent Kompany klabu ya Burnley ambapo Spurs watakua katika dimba lao …
Klabu ya Tottenham wanaonekana wana mradi wao wa muda mrefu kwani wamekua wakiwasainisha mikataba mipya na mirefu wachezaji vijana klabuni hapo ambapo alianza Destiny Udogie na leo wamemuongezea mkataba Pape …
Inasemakana Chelsea wameanza mchakato wa kumsajili beki wa OGC Nice, Jean-Clair Todibo, huku Tottenham pia wakimfuatilia beki huyo kwa uakribu zaidi. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na …
Klabu ya Tottenham Hotspurs inaelezwa itaingia sokoni mwezi Januari mwakani kwajili ya kutafuta beki wa katikati ambaye atakuja kuongeza nguvu kwenye kikosi cha timu hiyo. Kocha Ange Postecoglou leo akiongea …