Harry Kane & Eric Dier Kurudi Tottenham.
Harry Kane na Eric Dier watakutana na klabu yao ya zamani ya Tottenham Hotspur, wakati Bayern Munich watakapocheza mechi ya kirafiki kwenye majira ya joto mnamo tarehe 10 Agosti. Beti …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Harry Kane na Eric Dier watakutana na klabu yao ya zamani ya Tottenham Hotspur, wakati Bayern Munich watakapocheza mechi ya kirafiki kwenye majira ya joto mnamo tarehe 10 Agosti. Beti …
Atletico Madrid wanaripotiwa kutajwa kuwa vinara wa kuwinda kiungo wa Atalanta Ederson, ambaye pia amekuwa akihusishwa na Juventus na Tottenham. Kulingana na gazeti la Kihispania la Marca, Diego Simeone wa …
Destiny Udogie anasema muda wake katika Tottenham umempa ‘uwezo wa mwili’ na ‘kasi uwanjani’ lakini anakiri awali Italia iliidharau Venezuela. Beki huyo wa zamani wa Udinese alicheza kwa dakika 90 …
Vita ya nafasi nne za juu ligi kuu ya Uingereza inaendelea kupamba moto vibaya sana ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kuisambaratisha klabu ya Aston Villa leo kwa mabao manne …
Vilabu vya Serie A vinatazamia kupata nyongeza ya Januari lakini vilabu vya kigeni pia vinafuatilia wachezaji bora katika ligi kuu ya Italia akiwemo Dragusin. Miongoni mwao ni beki wa …
Sky Sport Italia wanaripoti kwamba Fiorentina wana nia ya kumsajili winga wa Tottenham Bryan Gil wakati wa dirisha la usajili la Januari. Ingawa haijathibitishwa na Sky, nia ya Fiorentina …
Klabu ya Tottenham leo itashuka dimbani katika mchezo wa kombe la Fa raundi ya tatu dhidi ya vijana wa Vicent Kompany klabu ya Burnley ambapo Spurs watakua katika dimba lao …
Klabu ya Tottenham wanaonekana wana mradi wao wa muda mrefu kwani wamekua wakiwasainisha mikataba mipya na mirefu wachezaji vijana klabuni hapo ambapo alianza Destiny Udogie na leo wamemuongezea mkataba Pape …
Inasemakana Chelsea wameanza mchakato wa kumsajili beki wa OGC Nice, Jean-Clair Todibo, huku Tottenham pia wakimfuatilia beki huyo kwa uakribu zaidi. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na …
Klabu ya Tottenham Hotspurs inaelezwa itaingia sokoni mwezi Januari mwakani kwajili ya kutafuta beki wa katikati ambaye atakuja kuongeza nguvu kwenye kikosi cha timu hiyo. Kocha Ange Postecoglou leo akiongea …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefikia makubaliano ya kumuongezea mkataba beki wake wa kushoto raia wa kimataifa wa Italia Destiny Udogie baada ya mazungumzo ya muda mrefu baina ya klabu na …
Kiungo wa kati wa zamani wa Juventus Rodrigo Bentancur amepata jeraha lingine baya, jambo linalomaanisha kuwa Tottenham Hotspur wana uwezekano mdogo wa kumuuza Pierre-Emil Hojbjerg kwa Bianconeri mwezi Januari. …
Klabu ya Tottenham imeweka wazi haina mpango wa kumuachia kiungo wake raia wa kimataifa wa Denmark Pierre Emile Hojbjerb ambaye amekua akifukuziwa na vilabu mbalimbali. Vilabu mbalimbali vimekua vikifukuzia huduma …
Klabu ya Aston Villa imefanikiwa kuifunga klabu ya Tottenham Hotspurs kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uingereza ambao umepigwa jioni ya leo. Aston Villa chini ya kocha Unai Emery imeendeleza …
Bologna wanatazamia kuimarisha safu yao ya mbele katika dirisha la usajili la Januari na wameelekeza macho yao kwa mshambuliaji wa Tottenham Alejo Veliz. The Rossoblu wamekuwa katika kiwango cha …
Klabu ya Tottenham imekubali kichapo kwenye mechi ya pili mfululizo msimu huu baada ya kupoteza Jumatatu dhidi ya Chelsea leo wamekubali kichapo tena mbele ya Wolves. Klabu ya Wolves wakiwa …
Klabu ya Tottenham Hotspurs ambao wameanza vizuri msimu wamekumbwa na wimbi la majeraha baada ya mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Chelsea. Tottenham walipokea kichapo cha …
Klabu ya Tottenham Hot Spurs imerejea kileleni kwenye msimamo wa EPL baada ya kushinda mchezo wao jana dhidi ya Fulham. James Maddison alimsifu kocha wa Tottenham Ange Postecoglou baada …
Jose Mourinho na Roma wanatazamia tena kuelekea Ligi kuu EPL kwa ajili ya kuimarika, huku Eric Dier akikaribia miezi ya mwisho ya mkataba wake na Tottenham Hotspur. Beki huyo mwenye …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kushinda mchezo wao mchana huu kwa bao moja kwa bila dhidi ya Lutton Town. …