Louis Van Gaal Kuionoa Uholanzi
Shirikisho la soka nchini Uholanzi, limethibitisha kocha Louis Van Gaal atakuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa hilo kwa mara nyingine. Van Gaal anarejea tena kwenye nafasi hiyo kwa mara …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Shirikisho la soka nchini Uholanzi, limethibitisha kocha Louis Van Gaal atakuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa hilo kwa mara nyingine. Van Gaal anarejea tena kwenye nafasi hiyo kwa mara …
Aliyekuwa kocha mkuu wa Uholanzi Louis van Gaal amesema anakiacha kikosi cha Uholanzi chenye dhamana ya karibu lakini hakuna mawinga wa kutosha baada ya kustaafu baada ya kutolewa kwa Kombe …
Kocha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Scaloni amesema ubora uliooneshwa na nahodha wake Lionel Messi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Uholanzi ulichangiwa kwa kiwango kikubwa na …
Staa na nahodha wa timu ya taifa ya Argentina anayekipiga katika klabu ya PSG Lionel Messi amemkosoa kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi kutokana na mbinu alizotumia katika mchezo …
Uholanzi ni mara ya pili sasa wanatolewa kwenye hatua hii ya robo fainali kwa mikwaju ya penati, lakini mwaka huu pale Qatar mashabiki na wapenzi wa soka kote duniani bila …
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal amesikitishwa na tuhumu ambazo ametoa mchezaji wake wa zamani wa klabu ya Manchester United Angel Di Maria siku za hivi …
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal amewataka wachezaji wa timu ya taifa ya Uholanzi kurudia kile walichokifanya mwaka 2014 kumzuia staa wa timu ya taifa ya …
Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger ambae kwasasa ni kiungozi wa jopo la utafiti ndani ya Fifa amemsifu kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van …
Louis van Gaal katika hali isiyo ya kawaida wala kutarajiwa na wengi alionyesha shukrani zake kwa mchezaji wake Denzel Dumfries kufuatia ushindi wa Uholanzi dhidi ya Marekani. Denzel Dumfries …
Timu ya taifa ya Uholanzi chini ya kocha louis Van Gaal imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali baada ya kuibamiza timu ya taifa ya Marekani kwenye hatua ya 16 bora …
Klabu ya Manchester United ambayo ipo chini ya kocha mkuu Eric Ten Hag wanakaribia kuinasa saini ya nyota wa PSV Eindhoven na Uholanzi Cody Gakpo mwenye umri wa miaka 23. …
Kocha mkuu wa Uholanzi Louis van Gaal anaamini kwamba Uholanzi lazima iboreshe zaidi kiwango chake ikiwa wanataka kushinda Kombe la Dunia, akikubali kuwa Ecuador walikuwa bora zaidi kuliko wao katika …
Timu ya Taifa ya Uholanzi leo itajitupa uwanjani kukabiliana na timu ya taifa ya Ecuador katika mchezo wa pili wa kundi A. Kama timu hiyo itashinda mchezo wa leo basi …
Cody Gakpo amesema Uholanzi inaweza kufanya vyema zaidi baada ya bao lake la la kwanza lililowasaidia timu hiyo kushinda 2-0 kabla ya bao la dakika za mwisho la Klaassen dhidi …
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal amesema timu yake ina nafasi kubwa ya kubeba taji la kombe la dunia ambalo linatarajiwa kuanza mwezi huu tarehe 20 …
Beki wa kushoto wa Manchester United, Tyrell Malacia amefichua kuwa alipinga uamuzi wa Louis van Gaal wa kumjaribu kama beki wa kati katika ushindi wa Uholanzi dhidi ya Ubelgiji. Malacia …
Kocha mkuu wa Uholanzi Louis Van Gaal ana mashaka kuwa wachezaji wake Memphis Depay na Steven Berghuis watakuwa fiti vya kutosha kwaajili ya mchujo wa Kundi A4 wa ligi ya …
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal anadhani kuondoka kwa Ed Woodward kwenye klabu ya Manchester United ni nafasi kwa Erik Ten Hag kupata nafasi ya …
Kocha wa zamani wa Barcelona Ronald Koeman atarejea katika majukumu ya kuinoa timu yake ya taifa ya Uholanzi baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. …
Kwa mara ya pili, Ronald Koeman atarejea kwenye nafasi ya kuiongoza timu ya Taifa ya Uholanzi kama kocha mkuu. Koeman atachukua nafasi hiyo kuanzia mwezi Januari baada ya mashindano ya …