Yanga Yachapika Benjamin Mkapa
Ligi kuu ya NBC iliendelea hapo jana kwa mchezo mmoja ambao ulikuwa ukiwakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya bingwa mtetezi Yanga majira ya saa 2:30 usiku. Mchezo huo ulipigwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ligi kuu ya NBC iliendelea hapo jana kwa mchezo mmoja ambao ulikuwa ukiwakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya bingwa mtetezi Yanga majira ya saa 2:30 usiku. Mchezo huo ulipigwa …
Ikiwa joto la ligi ya mabingwa barani Afrika lizidi kupamba moto baada ya Droo kufanyika siku ya Jumanne, unaambiwa hivi mabingwa wa ligi ya Afrika Kusini Mamelodi Sundowns wametuma (Match …
Klabu ya Yanga imeendelea kusaini Mikataba minono ya udhamini, Baada ya hii leo kusaini kandarasi na kampuni ya kuuza na kusambaza Pikipiki za Hero. Mkataba huo utakaodumu kwa kipindi cha …
RAIS wa klabu ya Yanga Injinia Hersi Said amethibitisha kuwa mdhamini na mfadhili wa Klabu ya Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM) ameridhia kushiriki kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa …
Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Angel Gamondi, amesema anahitaji wachezaji wake muhimu anaowategemea kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu kuwa fiti, hivyo bado anaendelea na mazoezi …
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Burundi Saidoo Ntibanzokiza ‘Saido’ amegomea mkataba wa mwaka mmoja alioandakiwa na Uongozi wa Klabu ya Simba huku akiutaka Uongozi wa Simba SC kumpa mkataba wa miaka …
Mapinduzi Cup inatarajiwa kuendelea hii leo kwa michezo miwili ya robo fainali ambapo mchezo wa kuvutia utakuwa ni ule utakaopigwa saa 2:15 ambao utawakutanisha kati ya Simba dhidi ya Jumhuri. …
Michuano ya Mapinduzi Cup kule Zanzibar iliendelea hapo jana kwa hatua ya Robo Fainali na mchezo wa saa 2:15 ulikuwa ni ule ambao ulikuwa unawakutanisha kati ya Yanga dhidi ya …
Mkuu wa Benchi la Ufundi la Mtibwa Sugar Zuberi Katwila, amepanga kuja na mikakati miwili tofauti ambayo itakirejesha katika ubora kikosi chake ambacho kwa sasa kinaburuza mkiwa wa Ligi Kuu …
Leo asubuhi Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng.Hersi Ally Said alishiriki kwenye matembezi ya hisani ya Siku ya Kimataifa ya Watu Wenye Ulemavu …
Kamati ya Mashindano ya Klabu ya Yanga imeweka mpango mkakati wa kuipeleka klabu hiyo Hatua ya Robo Fainali, Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, kwa kuwaongezea Bonasi Wachezaji katika mchezo wao …
Mabingwa Watetezi Yanga SC watafungua msimu mpya wa michuano ya Azam Sports Federation kwa kucheza dhidi ya Hauling FC kutoka Njombe, Simba yeye atakipiga dhidi ya Tembo FC kutoka Tabora. …
Beki wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Yanga Dickson Job amesema kupoteza kwao dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria haina maana kwamba wametoka kwenye mashindano. Young Africans ilikubali kichapo cha …
TAARIFA kutoka ndani ya Yanga zinasema kuwa kiungo wa klabu hiyo raia wa Burkinafaso Stephen Azizi KI ataendelea kubaki ndani ya klabu hiyo. Makubaliano baina ya Uongozi wa Young Africans …
Klabu ya Yanga imeripotiwa kuwa ukingoni kukamilisha dili la kumsajili kiungo mkata umeme kutoka Ivory Coast, Djire Abdoulaye kutoka klabu ya Racing Club Abidjan. Yanga inahitaji kiungo mwingine mkabaji …
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Young Africans Fiston Kalala Mayele jana alifunga katika mchezo wake wa tano (5) wa ligi kuu nchini Misri akiwa na kikosi cha Pyramids. Pyramids …
Kiungo Mkabaji wa kutoka DR Congo Yannick Bangala ameondolewa katika mipango ya Azm FC kuelekea mchezo wa Mzunguuko wasita wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Young Afrcans. Miamba hiyo …
Rais wa Young Africans SC Eng.Hersi Said amesema wapo kwenye moja ya Kundi gumu la Ligi ya Mabingwa Afrika lakini watajitahidi waweze kuwa miongoni mwa timu mbili za juu ili …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa michezo miwili majira ya saa 10 huku katika dimba la CCM Kirumba Geita Gold atamkaribisha Yanga. Yanga ametoka …
MABINGWA Watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Dar Young Africans (Yanga) imeendelea kutoa somo la namna ya kufunga na kucheza soka safi. Odds kubwa mechi kubwa na ushindi mkubwa Meridianbet …