Arsenal Inamtaka Kiungo wa Kati wa Milan Bennacer
Kiungo wa kati wa Milan Ismael Bennacer huenda akauzwa sokoni, huku Arsenal na vilabu vya Saudi Arabia vikiwa na nia ya kutaka. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Algeria yuko chini …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo wa kati wa Milan Ismael Bennacer huenda akauzwa sokoni, huku Arsenal na vilabu vya Saudi Arabia vikiwa na nia ya kutaka. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Algeria yuko chini …
Beki wa kulia wa klabu ya Manchester City na nahodha wa klabu hiyo Kylie Walker bado haijajulikana kama ataweza kuwepo katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal siku ya Jumapili. …
Klabu ya Arsenal inahusishwa na mlinzi wa eneo la kati anayekipiga katika klabu ya Sporting Lisbon ya nchini Ureno raia wa kimataifa wa Ivory Coas Ousmane Diamonde. Arsenal inahusishwa na …
Inaonekana Harry Kane atakuwa fiti kwa ajili ya kukabiliana na Arsenal katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa mwezi ujao baada ya kuanza mazoezi pamoja na Bayern Munich. Mechi hii sio …
Beki wa klabu ya Arsenal raia wa kimataifa wa Japan Takehiro Tomiyasu amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuwatumikia washika mitutu hao kutoka jiji la London. Beki Tomiyasu ameongeza mkataba ambao …
Usiempenda ndio kauli ambayo unaweza kusema baada ya droo ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya kuchezeshwa na moja ya mechi za robo fainali itakutanisha vilabu vya Arsenal dhidi ya …
Beki wa kulia wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Uingereza Ben White amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa miaka mingine minne. Ben White moja …
Chelsea na Arsenal zimesalia kwenye kinyang’anyiro cha kumnasa Victor Osimhen, kwa mujibu wa vyanzo vya Ben Jacobs vinavyodai kipaumbele cha mshambuliaji huyo ni kuhamia Ligi kuu ya Uingereza. Osimhen hivi …
Mchezaji wa kimataifa wa Italia Jorginho anaangazia matokeo ya Arsenal na atafikiria tu mustakabali wake katika klabu hiyo baadaye msimu huu. Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo …
Klabu ya Arsenal nayo itaingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe ambaye ametangaza kuondoka ndani ya klabu yake ya PSG mwisho wa msimu. Wakati kocha …
Virgil van Dijk amedai kuwajibika kwa kuigharimu Liverpool katika kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Arsenal. Nahodha huyo wa Reds alifanya makosa na kusababisha The Gunners kufunga bao la pili …
Ligi kuu ya Uingereza, EPL inatarajiwa kuendelea hii leo ambapo vinara wa ligi hiyo Arsenal baada ya kushinda mchezo wao uliopita, leo hii watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Luton Town. …
Klabu ya Arsenal imekubali kumnunua kwa uhamisho wa kudumu golikipa David Raya ambaye yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya Brentford inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza. Klabu ya Brentford …
Staa wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani Kai Havertz amefunguka kua anafurahia kuwepo ndani ya klabu hiyo yenye maskani yake kaskazini mwa jiji la London. Kai …
Klabu ya Arsenal itaingia sokoni kwenye dirisha dogo la mwezi Januari kutafuta mshambuliaji na mipango yao ipo kwa mshambuliaji wa klabu ya Juventus Dusan Vlahovic. Arsenal wamekua wakimvia mshambuliaji Dusan …
Beki wa kulia wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Uingereza Ben White amekaribia kusaini kandarasi mpya ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo kw amuda mrefu zaidi. Ben White …
Siku za golikipa wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Uingereza Aaron Ramsdale zinahesabika ndani ya klabu hiyo kwa kile kinachoelezwa kutokua na furaha ndani ya timu hiyo. …
Klabu ya Arsenal ina mpango wa kurudi kwa kiungo wa kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Aston Villa kwenye dirisha dogo la usajili mwezi Januari. Arsenal wanaelezwa wanataka kutuma …
Beki wa kulia wa kimataifa wa Uingereza ambaye anakipiga ndani ya klabu ya Arsenal Ben White inaelezwa yupo kwenye mazungumzo ya kusaini mkataba mpya na washika mitutu hao wa London. …
Arsenal wanasonga mbele katika harakati zao za kutafuta mshambuliaji mpya na wamemtambua mshambuliaji wa Aston Villa Ollie Watkins kama mchezaji anayeweza kusajiliwa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 …