Barcelona Yaongeza Nguvu Katika Kumsajili Adeyemi
Barcelona imekataliwa ofa yake ya euro milioni 20 pamoja na nyongeza (bonasi) kwa ajili ya kumsajili Karim Adeyemi kutoka Borussia Dortmund, ambao wanataka angalau euro milioni 33. Hata hivyo, mazungumzo …

