Pan Mzuka Kama Wote Championship
Uongozi wa Pan African umefunguka kuwa mipango yao ni kuhakikisha wanazipata pointi tatu katika kila mchezo wa Championship ili kutimiza malengo yao. Tangu Iddy Cheche aichukue timu hiyo kama …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Uongozi wa Pan African umefunguka kuwa mipango yao ni kuhakikisha wanazipata pointi tatu katika kila mchezo wa Championship ili kutimiza malengo yao. Tangu Iddy Cheche aichukue timu hiyo kama …
Baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Fountain Gate kikosi cha Pan African kitarejea mazoezini kesho kujiandaa na mchezo ujao wa Championship. Pan itashuka tena dimbani Novemba …
BAADA ya kuanza michuano ya Championship kwa sare ugenini dhidi ya Kitayosce, benchi la ufundi la Pan African limefurahishwa na viwango vya wachezaji wao na kuahidi kufanya vizuri msimu huu. …
KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa ligi maarufu kama kamati ya masaa 72 imeibakiza timu ya African Sports kwenye michuano ya Championship kwa msimu ujao. Mchezo wa mtoano wa marudiano …
Ratiba ya michezo ya kwanza kunako Ligi ya Championship inaonesha West Brom Albion kuanza msimu dhidi ya Bournemouth. Agosti 7, 2021 kipenga cha kwanza kuashiria mwanzo mwa msimu mpya wa …
Rory Mcllroy ameondoa ukame wa kubeba mataji baada ya kuibuka kidedea kwenye mashindano ya Wells Fargo Champions kwa mara ya 3. Ni wiki 6 tu zimepita, tangu Rory aanzekufanya kazi …
Watu nane wanaongusha timu tofauti zinazo shiriki ligi ya EFL nchini Uingereza wamepimwa na kukutwa na maambukizi ya Virusi vya Korona, EFL ya thibitisha. Lilifanyika zoezi la kupima wachezaji na …
Michuano ya EFL Championship inatarajiwa kurejea kuanzia Juni 20, huku Fulham wakiwa wenyeji wa Brentford. Hii itakuwa mwchi ya kwanza kwa debi ya Londoni Magharibi baada ya likizo ya Corona. …
Bodi ya ligi ‘EFL’ imethibitisha kuwa michuano ya Championship itarejea kuanzia tarehe 20 mwezi wa sita, miezi mitatu baada ya kusimamishwa kutokana na mlipuko wa virusi vya corona. Mashindano hayo …
Bosi na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kwenye nyakati hizi za Ligi kwenda ukingoni watakuwa makini kufuatilia matukio yote ya Michezo. Kasongo amesema …
Kulingana na La Gazzetta dello Sport, Juventus wanaweza kurefusha mkopo wa Carlos Alcaraz kwa msimu mmoja zaidi, haswa ikiwa Southampton itashindwa kupanda Ligi Kuu. Kiungo huyo wa kati wa Argentina …
NYOTA wa Yanga, Joseph Guede, baada ya masimango mengi kutoka Kwa mashabiki kuwa hafungi, hatimaye amejibu maswali hayo mbele ya Polisi Tanzania jana usiku dhidi ya Polisi Tanzania ya Championship. …
Wayne Rooney inasemekana amefutwa kazi kama kocha wa Birmingham baada ya kushinda michezo 15 tu, Uamuzi huo umeanya na Tom Brady pamoja na bodi ya timu hiyo wakichukua hatua thabiti. …
WAKATI wa sasa kwenye mashindano ambayo yanaendelea ni muhimu kila timu kukamilisha mipango iliyopanga kuikamilisha ndani ya mwaka. Hakuna ambaye anapenda kuona kwamba anafungua ukurasa mpya wa mwaka huku mipango …
KAZI ni kubwa kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na kila timu kuonyesha uwezo wake kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Odds kubwa kasino ya mtandaoni na …
Mwamuzi Anthony Taylor amekumbana na rungu la shirikisho la soka nchini humo na kushushwa daraja baada ya kuizawadia klabu ya Newcastle mkwaju wa penati katika mchezo uliopigwa wikiendi iliyopita. Mwamuzi …
Chelsea itamenyana na Newcastle huku Liverpool ikimenyana na West Ham katika robo fainali ya Kombe la Carabao. Mechi nyingine itawakutanisha Everton wakiwakaribisha Fulham baada ya kumenyana na Burnley na …
Roy Keane amemtaka meneja wa Manchester United Erik ten Hag kumvua unahodha Bruno Fernandes baada ya kichapo cha 3-0 hapo jana kutoka kwa wapinzani wao Manchester City. Mashetani Wekundu …
“NI Ijumaa murua, Ijumaa ya kihistoria karibu kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika fainali ya kwanza katika historia kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam …
Klabu ya Manchester United imetangaza kikosi chake cha wachezaji 26 ambao watakwenda nao kwenye pre-season ambayo wataanzia nchini Norway. Manchester United kesho itakua imefika katika jiji la Oslo nchini Norway …