Nyumbani Tafuta
chelsea - matokeo ya utafutaji
Endapo haujapendezwa na utafutaji basi tafuta tena
PSG Yampa Mshahara Mnono Manuel Ugarte Zaidi ya Chelsea
Manuel Ugarte kiungo mkabaji anayelengwa zaidi na Chelsea anaripotiwa kupewa pesa nyingi zaidi na Paris Saint-Germain huku msimamo wake ni kucheza Premier League. Tembelea...
Chelsea Yamtangaza Pochettino Kuwa Kocha Wao Msimu Ujao
Chelsea wamemthibitisha kocha wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino kuwa meneja wao ajaye.
Pochettino mwenye miaka 51, atachukua mikoba ya Stamford Bridge msimu huu wa...
PSG na Chelsea Wapigania Mchezaji
PSG na Chelsea wanagombania kumsajili nyota wa Sporting Lisbon, Manuel Ugarte, huku mabingwa hao wa Ufaransa PSG wakiwa mstari wa mbele kuinasa saini ya...
Chelsea Kumkosa Benoit Badiashile Mwanzo wa Msimu 2023/24
Beki wa Chelsea Benoit Badiashile anatazamiwa kuzikosa mechi za mwanzo wa msimu 2023/24 kutokana na jeraha la paja. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet...
Arsenal Wanakaribia Kuipiku Chelsea Katika Mbio za Caicedo
Arsenal wamewatangulia wapinzani wao wa London Chelsea katika mbio za kumnasa kiungo wa Brighton Moises Caicedo.
Caicedo mwenye miaka 21, anatarajiwa kuwa moto katika dirisha...
Liverpool Inakaribia Kuipiku Chelsea Kumsajili Mac Allister
Liverpool wamepiga hatua kukaribia kumsajili kiungo wa Brighton Alexis Mac Allister huku mwanahabari Gaston Edul akidai kuwa Jogoo wamepambana na ushindani kutoka kwa Chelsea...
Pochettino Amekubali Kuwa Kocha Mpya wa Chelsea
Chelsea wanaripotiwa kumteua Mauricio Pochettino kama kocha wao wa msimu ujao baada ya kuachana na Potter na Lampard kuchukua timu hiyo kwa muda.
The Blues...
Chelsea Wanaweza Kumtumia Christian Pulisic Kumnasa Victor Osimhen
Christian Pulisic mwenye miaka 24, ni mmoja wa nyota ambao huenda wakaondolewa na Chelsea msimu huu wa joto huku gazeti la Daily Mail likisema...
Lampard Anataka Chelsea Kuwa Hatari Mbele
Kocha Frank Lampard anaamini Chelsea inahitaji kuwa "hatari" katika ushambuliaji ili kuendeleza ushindi uliochelewa na kuanza kuziba pengo kubwa kwa vilabu vinavyoongoza Ligi ya...
Chelsea Wamemtaja Onana Kama Mlengwa Wao Mkubwa
Chelsea wanataka kumfanya mlinda mlango wa Inter Milan Andre Onana kuwa kipa wao nambari 1.
Chelsea wanatarajiwa kumuuza Edouard Mendy baada ya kushindwa kuafiki kuongezwa...