Leao Hatiani Kukosa Mechi ya UEFA Ijayo Baada ya Kupata Jeraha
La Gazzetta dello Sport inaripoti Rafael Leao atasalia nje ya uwanja kwa angalau siku 20, kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutopatikana kwenye mechi muhimu ya Ligi ya Mabingwa dhidi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
La Gazzetta dello Sport inaripoti Rafael Leao atasalia nje ya uwanja kwa angalau siku 20, kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutopatikana kwenye mechi muhimu ya Ligi ya Mabingwa dhidi …
Beki wa kimataifa wa Uholanzi Mathias De Ligt amesema kua alijiunga na klabu ya Bayern Munich kwakua ni rahisi kushinda taji la ligi ya mabingwa ulaya ukiwa na klabu hiyo. …
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United Rasmus Hojlund amefanikiwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa wiki wa ligi ya mabingwa ulaya. Rasmus Hojlund anaingia kwenye kinyang’anyiro hicho kutoka …
Fiorentina imetangaza kuwa beki wa pembeni Dodo ameingia kwenye upasuaji baada ya kupasuka ligament ya anterior cruciate katika goti lake la kulia. Msimu umekamilika kwa Mbrazil huyo, ambaye …
Nahodha wa Brighton Lewis Dunk alifichua kuwa alitoka kwenye maangamizi” ya Roberto De Zerbi kwa wiki mbili za kwanza kutawala na kurudisha nafasi yake miongoni mwa kikosi cha Uingereza ambacho …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Donny Van de Beek hajaorodheshwa kwenye kikosi cha klabu hiyo kitakachoshiriki mihuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu. Kiungo Donny Van de Beek …
Klabu ya Newcastle United baada ya kutoshiriki michuano ya ligi ya mabingwa ulaya kwa muda mrefu wamerejea kwenye michuano hiyo na kupangwa kwenye kundi la kifo ambalo ni kundi F. …
Klabu ya Manchester City ambao ni mabingwa wa ulaya leo watashuka dimbani katika mchezo wa Uefa Super Cup kumenyana na mabingwa watetezi wa Uefa Europa League klabu ya Sevilla. Mchezo …
Chelsea wamekubali azimio na UEFA ambalo litawawezesha kukabidhi euro milioni 10 (pauni milioni 8.57) baada ya kumiliki ripoti zisizo kamili za kifedha chini ya utawala wa Roman Abramovich. Kundi …
Juventus wameondolewa rasmi kwenye michuano ya Ulaya na kuamriwa kulipa faini ya €10m kutokana na makosa ya kifedha, ambayo inawakilisha hali bora zaidi kutoka kwa UEFA kwa Bianconeri. Hiyo …
Klabu ya Manchester City imetawala kwenye kikosi cha wachezaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya msimu huu baada ya kufanikiwa kuingiza wachezaji saba. Kikosi cha Manchester City ambacho ndio kimetwaa …
Kocha wa klabu ya Manchester City raia wa kimataifa wa Hispania Pep Guardiola amesema kushinda taji la ulaya ni ngumu zaidi kuliko michuano mingine. Guardiola aliyasema hayo wakati anazungumza na …
West Ham imeshtakiwa na UEFA kufuatia tabia ya mashabiki wao wakati wa ushindi wao wa fainali ya Ligi ya Europa Conference dhidi ya Fiorentina katikati ya wiki. Nahodha wa …
Jose Mourinho ameshtakiwa na UEFA kwa kumkosoa mwamuzi Anthony Taylor kufuatia kushindwa kwa Roma katika fainali ya Ligi ya Europa dhidi ya Sevilla mjini Budapest Jumatano. Picha za video …
UEFA inasubiri ripoti za afisa wa mechi kabla ya kuamua kuchukua hatua dhidi ya Jose Mourinho kwa kosa lake dhidi ya mwamuzi Anthony Taylor baada ya Roma kupoteza katika fainali …
Kocha wa AS Roma Jose Mourinho alikabiliana na mwamuzi wa Uingereza Anthony Taylor kwenye maegesho ya magari baada ya mechi kuisha na Roma kufungwa katika fainali ya Ligi ya Europa …
Kocha wa Klabu ya USM Alger Abdul Benchikha alisema wazi kuwa licha ya kuwa timu yake kupata ushindi wa mabao 2-1 ugenini mbele ya Yanga, ila kuna vitu hakuridhishwa …
Kocha wa klabu ya Manchster City Pep Guardiola akizungumza na wanahabari amesema hajui kwanini klabu ya Real Madrid wanakua bora sana kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya. Pep Guardiola …
Klabu ya Inter Milan imetawala timu bora ya wiki ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya yaani Uefa Champions League baada ya michezo ya nusu fainali kupigwa ndani ya …
Brighton wametangaza kumsajili mshambuliaji wa Brazil Joao Pedro kutoka Watford kwa ada ambayo haijawekwa wazi bado. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 atajiunga na Brighton kwa mkataba hadi …