Nadal Atwaa Ubingwa wa French Open.
Rafael Nadal ameshinda taji lake la 14 la French Open na kuongeza rekodi ya 22 ya Grand Slam baada ya kumshinda Casper Ruud katika fainali Jumapili huko Roland Garros. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rafael Nadal ameshinda taji lake la 14 la French Open na kuongeza rekodi ya 22 ya Grand Slam baada ya kumshinda Casper Ruud katika fainali Jumapili huko Roland Garros. …
Rafael Nadal amefika fainali yake ya 14 ya French Open baada ya Alex Zverev kutolewa nje ya uwanja kwenye Wheelchair katika nusu fainali ya kwanza ya mashindano hayo. Mchezaji …
Nusu Fainali ya michuano ya French Open inatarajiwa kutimua vumbi leo katika viwanja vya Stade Roland Garros kule Paris, Ufaransa. Nusu fainali ya kwanza ya French Open inawakutanisha Rafael …
Kinda wa Tenisi Uingereza, Emma Raducanu ametolewa kwenye michuano ya French Open baada ya kushindwa kwa 3-6 6-1 6-1 na Aliaksandra Sasnovich katika raundi ya pili. French Open ndiyo …
Kinda wa Tenisi wa Uingereza, Emma Raducanu leo [Jumatano] anatarajia kupambana na mchezaji wa Belarus, Aliaksandra Sasnovich katika raundi ya 2 ya michuano ya French Open. Raducanu amesema kucheza …
Kinda wa Tenisi, Emma Raducanu ataongoza kikosi cha Uingereza kama bingwa wa US Open katika droo yake kuu ya Roland Garros leo [Jumatatu]. Bingwa huyo wa US Open anaanza …
Daniil Medvedev amejiondoa katika nafasi ya kupambania kutwaa taji la French Open baada ya Mrusi huyo kupoteza dhidi ya Richard Gasquet kwenye Geneva Open katika mechi yake ya kwaza …
Mcheza Tenisi wa Ufaransa, Jo-Wilfried Tsonga ametangaza kustaafu kucheza tenisi ya kulipwa baada ya mashindano ya French Open kukamilika mwezi ujao. Tsonga, 36, amekuwa na majeraha katika miaka …
Novak Djokovic ametangaza kuwa hatashiriki michuano ya Indian Wells Masters na Miami Open kutokana na kigezo cha chanjo ya Covid19 kuwa kigezo cha kushiriki kwake. Mshindi huyo mara 20 wa …
Novak Djokovic anatumaini kushiriki kwenye mashindano ya French Open baada ya serikali ya Ufaransa kuondoa vikwazo vya chanjo ya Uviko-19 baada ya mwezi huu kupitisha sheria ya kutoruhusu mtu yeyeto …
Mcheza Tenisi namba moja kwa ubora duniani, Novak Djokovic anasema hayupo kinyume na chanjo lakini hataweza kutetea taji lake la Wimbledon au French Open ikiwa atalazimishwa kuchanjwa chanjo ya …
Hatimaye mashindano ya French Open 2021 kufikia tamati wikiendi hii. Upande wa wanaume, Novak Djokovic atachuana na Stefano Tsitsipas kwenye fainali. Djokovic alikuwa uwanjani kuchuana na mpinzani wake wa muda …
Utamu wa mashindano ya French Open 2021 upande wa wanaume, sasa ndio unaanza. Huku Rafael Nadal vs Novak Djokovic, kule Stefano Tsitsipas vs Alexander Zverev. Baada ya kupita kwenye kila …
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, fainali ya mashindano ya French Open 2021 kuwakutanisha wachezaji wawili ambao pengine hawakupewa nafasi ya ushindi mwaka huu. Barbora Krejcikova uso kwa uso na Anastasia Pavlyuchenkova. …
Mwanadada mcheza tennis namba mbili kwa ubora duniani Naomi Osaka amefikia hatua ya kujiondoa kwenye mashindano ya French Open kwa madai ya kuwa vyombo vya habari vinamuharibu kiakili. Wiki moja …
Nyota wa tenisi, Naomi Osaka hatarajii kusikiliza maswali ya aina yeyote kutoka kwa vyombo vya habari katika michuano ya French Open. Osaka anasisitiza kuwa asili ya mikutano na vyombo vya …
Kuelekea mashindano ya French Open 2021, mchezaji namba 3 kwa ubora duniani (kwa wanawake) kunako mchezo wa tenesi – Simona Halep, amejiweka kando kwa sasa. Halep anakaa pembeni kutokana na …
Bado matokeo yanaendelea kwenye kinyume na uwezo wa Serena Williams kuelekea mashindano ya French Open. Baada ya kutolewa mapema kwenye mashindano ya Italian Open, Williams alikubali kupewa kadi maalumu ya …
Hali sio shwari nchini Ufaransa kufuatia ongezeko la visa vya COVID-19. Mashindano ya French Open 2021, hatarini kughairishwa. Taarifa hii inatokana na tamko la waziri wa Michezo wa Ufaransa, Roxana …
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rafael Nadal ameifikia rekodi ya Rodger Federer kwa kutwaa taji la 20 la Grand Slam na kuweka rekodi ya kubeba taji la French Open mara 13. …