Greenwood Akipiga Getafe Ikishinda
Winga wa Manchester United Mason Greenwood ambaye yupo kwa mkopo klabu ya Getafe ya nchini Hispania amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza huku klabu yake ikipata matokeo ya ushindi. Greenwood …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Winga wa Manchester United Mason Greenwood ambaye yupo kwa mkopo klabu ya Getafe ya nchini Hispania amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza huku klabu yake ikipata matokeo ya ushindi. Greenwood …
Klabu ya Manchester United ina mpango wa kushirikiana na klabu ya Getafe kama mchezaji wao aliye kwa mkopo klabuni hapo Mason Greenwood atafanya vizuri ndani ya klabu hiyo. Manchester United …
Mason Greenwood atatumia msimu uliosalia kwa mkopo katika klabu ya Getafe ya Hispania huku mshambuliaji huyo akianza tena maisha yake ya soka mbali na Manchester United. Mchezaji huyo mwenye …
Gareth Bale Ameikataa hadharani klabu ya Getafe baada ya kuwepo kwa mjadala wa kwamba nyota huyo wa Wales anaweza kujiunga na klabu hiyo ya LaLiga. Angel Torres alikiri kwamba Mchezaji …
Hispania, klabu ya Getafe imemfuta kazi kocha wake mkuu Michael baada ya matokeo mabovu waliyoyapata. Getafe waliweza kujipatia pointi moja kwa mara ya kwanzaΒ kwenye msimu wa 2021/22Β jumapili iliyopita …
Taarifa ya klabu inasema: “Brighton & Hove Albion wanafurahi kuthibitisha kusainiwa kwa Marc Cucurella kutoka Getafekwa kandarasi itakayodumu hadi Juni 2026, kwa masharti ambayo hayajafahamika na kulingana na idhini ya …
Getafe imefikia makubaliano na Barcelona ya kufanya uhamisho wa kudumu kwa Carles Alena kwenye klabu wakati kiungo huyo wa Kikatalani akiwa amesaini mkataba wa miaka mitano. Blaugrana hapo awali walikuwa …
Klabu ya Villarreal imefanikiwa kumpa mkataba mpya kiungo wake mkongwe Dani Parejo ambaye ataendelea kuwepo kwenye viunga vya Estadio de la ceramica mwaka 2026. Kiungo huyo ambaye ana miaka minne …
Juventus inaripotiwa kuwa na nia ya kutaka kumsajili mchezaji aliyetengwa na Manchester United ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo Getafe Mason Greenwood, kulingana na taarifa kutoka La Gazzetta dello Sport. …
Roma na Milan wote walipewa ofa ya makubaliano kwa Mason Greenwood lakini walikataa kuzingatia wazo hilo. Msafara wa Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 21 walifanya kazi kwa bidii …
Winga wa klabu ya Manchester United Mason Greenwood ambaye amesajiliwa kwa mkopo na klabu ya Getafe ya nchini Hispania amekumbana na vikwazo tena nchini Hispania. Mason Greenwood amekumbana na vikwazo …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza Jude Bellingham ameendelea kua mwokozi wa klabu ya Real Madrid baada ya kufunga tena leo. Bellingham amefanikiwa kufunga …
Winga wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Greenwood atarejea ndani ya klabu hiyo baada ya kutolewa kwa mkopo kwenda klabu ya Getafe. Imefahamika kua Mason …
Beki wa Real Madrid David Alaba amesema hakuwa na neno kufuatia mchezaji mwenzake Jude Bellingham kufanya vyema hivi karibuni. Madrid ya Alaba walionekana kupangiwa sare ya bila kufungana dhidi …
Tottenham, Arsenal na Manchester United wote wana nia ya kumleta winga wa Barcelona Ansu Fati kwenye Ligi kuu. Taarifa kutoka nchini Uhispania zinasema kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa …
Raphinha na kocha mkuu Xavi wote walipata kadi nyekundu wakati Barcelona ikitoa sare tasa dhidi ya Getafe katika mchezo mkali uliopelekea pande zote mbili kumaliza na wachezaji 10. Raphinha …
Sassuolo wako tayari kuamsha athari ya uhamisho wa Domino inayohusisha Roma, Monza, Inter, Juventus na Granada. Kwa mujibu wa Sky Sport Italia, hatua ya kwanza iko kwenye ukingo wa …
Bao la Rodrygo dakika ya 89 liliifanya Real Madrid kurejea katika njia ya ushindi baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Rayo Vallecano wa katikati mwa msimamo Uwanja wa Bernabeu. …
Jorge Sampaoli ametimuliwa Sevilla baada ya mwenendo mbaya wa kiwango chake na kuwaacha pointi mbili tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye LaLiga. Kichapo cha mabao 2-0 kutoka …
Beki wa Real Betis Luiz Felipe amefikia rekodi ambayo bado haijawekwa baada ya kutimuliwa uwanjani hapo jana kwenye mchezo wao waliokuwa wanacheza dhidi ya Celta Vigo. Kutolewa kwake katika …