Henry PSG Watapitia Kipindi Kigumu Kumbakiza Mbappe
Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Arsenal, Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa Thiery Henry amesema kua klabu ya PSG itapitia wakati mgumu sana kumbakiza Mbappe baada ya kutolewa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Arsenal, Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa Thiery Henry amesema kua klabu ya PSG itapitia wakati mgumu sana kumbakiza Mbappe baada ya kutolewa …
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Thierry Henry amefichua kuwa alimwonya Romelu Lukaku kujiunga tena na Chelsea na kudai kuwa Mbelgiji huyo hataki kurejea Stamford Bridge. Odds kubwa za soka unazipata …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Thiery Henry amesema yuko tayari kuchukua kibarua cha kuinoa timu ya taifa ya Marekani kama atapewa nafasi …
Romelu Lukaku amesema kuwa Thierry Henry ndiye anafaa kuwa mtu wa kuchukua nafasi ya Roberto Martinez kama kocha mkuu wa Ubelgiji. Ubelgiji inatafuta kocha mpya baada ya Martinez kujiuzulu …
Hili lilikuwa Kombe la Dunia ambalo mabingwa watetezi na wanaopigiwa chapuo kwa mara nyingine tena Ufaransa ambako Paris St Germain inayomilikiwa na Qatar haitumii kiwango cha pesa kilichowekezwa kwa Kylian …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Arsenal, Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry, Amezungumza kua anatamani kumuona mchezaji mwezake wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa …
Mshambuliaji wa timu ya Tottenham Spurs na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane anafikia rekodi ya Thierry Henry ya kufunga mabao mengi zaidi katika mechi za dabi za ligi …
Legendari wa Arsenal na Ufaransa, Thierry Henry amewatolea uvivu PSG juu ya hali ya mkataba wa nyota wao Kylian Mbappe. Mpappe anaelekea kumaliza mkataba wake na PSG, na hii inaweza …
Vichwa vya habari duniani kote vimejaribu kumzungumzia Lejendari wa soka mkongwe kutokea Ufaransa mwenye historia kubwa na soka la uingereza hususan klabu aliyo itumikia kwa muda mrefu Arsenal na aliye …
Kwanza tuanze na visiwa flani vilivyotengwa, visiwa hivi kule Carribean Marekani ndipo nyumbani kwa Baba yake Mzazi Thierry Henry aliyekimbia ugumu wa maisha na kuangukia Les Ulis, viunga vya jiji …
Thiery Henry na Alan Shearer wanakua wachezaji wa kwanza kupewa tuzo ya heshima ya “Hall of fame’. Alan Shearer ndiye mfungaji bora wa muda wote wa EPl (magoli 260) aliyofunga …
Alan Shearer na Thierry Henry wametangazwa kama wachezaji wa kwanza kutajwa katika Jumba la watu maarufu katika Premier League. Mchezaji wa zamani wa Newcastle United na Blackburn Rovers Alan Shearer …
Mmiliki wa Liverpool John W Henry amelazimika kuwaomba radhi jumuiya nzima ya Liverpool kufuatia kitendo cha kujiunga na European Super League. Katika mazungumzo na Sky Sports, Henry amesema kwamba ligi …
Legendari wa soka, Thierry Henry ameweka wazi kuwa ni kweli anatambua mitandao ya kijamii kuwa na umuhimu mkubwa katika muingiliano wa watu na mambo mengine, lakini bado ameamua kujiondoa kwenye …
Facebook yazindua zana mpya za kudhibiti maoni ili kupunguza unyanyasaji Facebook imetangaza huduma mpya ya kuwapa watumiaji wake uwezo wa kudhibiti ni nani anayeweza kutoa maoni kwenye machapisho yao ya …
Mshambuliaji nguli wa zamani wa Ufaransa na timu ya Arsenal, Thierry Henry aamua kujitoa kwenye mitandao ya kijamii rasmi mpaka pale ambapo maamuzi yatafanywa na wahusika. Thierry Henry alizungumza hayo …
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry anasema anajiondoa kweye mitandao ya kijamii hadi unyanyasaji na ubaguzi utakapodhibitiwa “kwa nguvu na ukali ule ule” ambayo ukiukaji wa hakimiliki unafanyika. …
Baba wa Ryan Garcia, Henry Garcia ameunga mkono utabiri wa mtoto wake kwa Gervonta Davis na anaimani mtoto wake atashinda kwa KO katika raundi ya pili. Garcia anatarajia kuzichapa na …
Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Manchester United, Patrice Evra aliyezaliwa Senegal raia wa Ufaransa amesema kuwa Legendi wa Arsenal, Thiery Herny alizima TV timu yake ilipokuwa ikicheza. Evra amesema …
Hadithi nzima inaanzia ile jioni ya Agosti 3 mwaka 1999, waingereza walisimama kwa butwaa kubwa sana mitaa ya Longford London kumshangaa kijana mmoja mdogo sana aliyekuwa akiongozana na Arsene Wenger …