Djokovic Bingwa Italian Open.
Novak Djokovic ametwaa taji lake la kwanza katika kipindi cha miezi sita baada ya kumshinda Stefanos Tsitsipas kwa seti 6-0 7-6 (7-5) na kushinda taji la Italian Open siku …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Novak Djokovic ametwaa taji lake la kwanza katika kipindi cha miezi sita baada ya kumshinda Stefanos Tsitsipas kwa seti 6-0 7-6 (7-5) na kushinda taji la Italian Open siku …
Mchezaji wa Tenisi namba moja kwa ubora duniani, Novak Djokovic ameandikisha ushindi wake wa 1000 katika maisha yake ya mchezo huo na kutinga fainali ya Italian Open. Djokovic amepata …
Bingwa mara tano wa Tour Final, Novak Djokovic ametinga nusu fainali ya michuano ya Italian Open kwa ushindi wa seti ya moja kwa moja dhidi ya Felix Auger-Aliassime mjini …
Bingwa mtetezi wa Italian Open, Rafael Nadal alianza kampeni yake ya wazi ya Italia kwa ushindi mnono wa 6-3 6-1 dhidi ya Mmarekani John Isner na kutinga hatua ya …
Mchezaji namba moja wa Tenisi Uingereza, Emma Raducanu alilazimika kutoendelea na mechi yake ya raundi ya kwanza ya Italian Open na Bianca Andreescu kutokana na jeraha la mgongo. Mshindi …
Katika muendelezo wa mashindano ya Italian Open 2021, Rafael Nadal na Novak Djokovic wametinga hatua ya robo fainali baada ya kufanikiwa kupindua matokeo. Nadal alikuwa uwanjani akichuana na Denis Shapovalov. …
Katika hali ambayo haikutegemewa na wengi, Serena Williams, Naomi Osaka na Simona Halep wote wameyaaga mashindano ya Italian Open 2021. Williams alirejea uwanjani kwa mara ya kwanza tangu mwezi Februari …
Kunako mashindano ya Italian Open, bingwa namba 1 duniani – Novak Djokovic, amefuzu hatua ya fainali baada ya ushindi dhidi ya Casper Ruud. Djokovic ameibuka mshindi baada ya kumaliza mchezo …
Mashindano ya Italian Open yanaendelea kwa kasi. Magwiji, Novak Djokovic na Rafael Nadal wanaendelea kuonesha umwamba wao kunako mchezo wa tenesi. Katika mchezo uliochukua masaa mawili. Djokovic alionesha ubora wake …
Andy Murray amekosa taji lake la kwanza la uwanja wa nyasi tangu ashinde Wimbledon mnamo 2016 baada ya kufungwa na Matteo Berrettini katika Fainali ya Stuttgart Open leo [Jumapili]. …
Nusu Fainali ya michuano ya French Open inatarajiwa kutimua vumbi leo katika viwanja vya Stade Roland Garros kule Paris, Ufaransa. Nusu fainali ya kwanza ya French Open inawakutanisha Rafael …
Kinda wa Tenisi wa Uingereza, Emma Raducanu leo [Jumatano] anatarajia kupambana na mchezaji wa Belarus, Aliaksandra Sasnovich katika raundi ya 2 ya michuano ya French Open. Raducanu amesema kucheza …
Lewis Hamilton alisema anashukuru kuwa hai kufuatia ajali yake ya ajabu na Max Verstappen kwenye Grand Prix ya Italia. Hamilton na Verstappen waligongana kwa mara ya pili katika mbio …
Valtteri Bottas alifanya vyema katika raundi ya mwisho na kuwapa changamoto Lewis Hamilton na Max Verstappen kuongeza kasi katika nafasi ya kufuzu mbio za Italian GP na kuongoza kuelekea …
Mashabiki wa mbio za magari Italia wanatarajia kuanza kufurahia tena burudani ya michezo biyo baada ya kuwepo kwa mpango wa kuruhusu mashabiki kuanzia mwezi Septemba. Michuano ya mwaka jana ya …
Kuelekea mashindano ya French Open 2021, mchezaji namba 3 kwa ubora duniani (kwa wanawake) kunako mchezo wa tenesi – Simona Halep, amejiweka kando kwa sasa. Halep anakaa pembeni kutokana na …
Bado matokeo yanaendelea kwenye kinyume na uwezo wa Serena Williams kuelekea mashindano ya French Open. Baada ya kutolewa mapema kwenye mashindano ya Italian Open, Williams alikubali kupewa kadi maalumu ya …
Michuano ya French Open inaendelea kupamba moto huku baadhi ya mastaa wakijipata wanatolewa baada ya kuruhusu kichapo kwenye michuano hii. Karolina Pliskova ameshindwa kutoboa kwenye raundi ya tatu na kuruhusu …
Baada ya kukaa nje ya uwanja toka mwezi Machi, aliyewahi kuwa mchezaji namba moja (kwa wanaume) duniani, Andy Murray anatarajia kuanza kujifua wikiendi hii. Murray atasafiri kuelekea Rome-Italia ambapo anatarajia …
Inter walilazimika kutoka sare ya 2-2 nyumbani dhidi ya Bologna inayojitahidi katika Serie A usiku wa jana, huku Santiago Castro, Denzel Dumfries, Lautaro Martinez, na Emil Holm wakileta mchezo wa …