Bremer: “Thiago Motta Angeweza Kufanya Mambo Makubwa Akiwa Juventus”
Gleison Bremer anasikitika kumwona Thiago Motta akifutwa kazi na Juventus, akisisitiza kuwa yeye ni kocha mzuri kwangu ambaye angeweza kufanikisha mambo makubwa,” lakini amezungumza na kocha mpya Igor Tudor. Ilikuwa …