Yanga Wakubali Mziki wa Kagera Sugar
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haikuwa rahisi kuvuna pointi tatu muhimu mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kwanza ndani ya msimu wa 2024/25. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haikuwa rahisi kuvuna pointi tatu muhimu mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kwanza ndani ya msimu wa 2024/25. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni …
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wanatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa Yanga haijapoteza mchezo wowote msimu wa …
BAADA ya mastaa wa Simba kuyeyusha dakika 450 katika mechi tano za ushindani bila kushinda wanawafuata Kagera Sugar wakiwa wanabebwa na mambo makubwa matatu wanayoamini yatawapa ushindi. Ipo wazi kuwa …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kurejea hii leo kwa michezo miwili, huku mchezo wa mapema kabisa utakuwa ni ule ambao unawakutanisha kati ya JKT Tanzania dhidi ya Kagera Sugar majira …
FUNDO za walima miwa Kagera Sugar zinakatwa na wapinzani wao kila wanaposhuka uwanjani kwa kukwama kukomba pointi kwenye mechi mbili mfululizo za ligi ambazo ni dakika 180. Kagera Sugar chini …
Mechi nyingine ya Ligi Kuu ya NBC ni hii hapa ambayo itawakutanisha Ihefu FC dhidi ya Kagera Sugar majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Highland Estate. Timu …
Tanzania Prisons imeendelea kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi baada ya kushinda mechi yake ya nne mfululizo kwenye ligi kwa kuitandika Kagera Sugar Kaitaba kwa bao 1-0. Bao …
Mechi nyingine ya ligi kuu hii leo itapigwa majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Benjamin Mkapa ambapo mabingwa watetezi wa ligi Yanga watamenyana dhidi ya Kagera Sugar. …
Klabu ya Kagera Sugar imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mchezaji wao Abdul Aziz Makame baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa muda sasa. Makubaliano hayo yamefikiwa hii leo April …
Ligi kuu ya NBC inaendelea hii kwa mchezo mmoja ambapo hii leo timu ya Polisi Tanzania atacheza dhidi ya Kagera Sugar majira ya saa 10:00 jioni katika Dimba la Ushirika …
Mchezo mwingine wa ligi kuu kesho utakuwa kati ya Kagera Sugar ambaye atakuwa nyumbani kumualika Coastal Union ya Tanga majira ya saa 1:00 usiku. Coastal Union wapo nafasi ya …
Klabu ya Singida Big Stars imefanikiwa kuifunga klabu ya Kagera Sugar kwa bao moja kwa bila katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa katika dimba la Liti Mkoani Singida. …
Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo timu ya Hans Pluijm Singida Big Stars wanaawalika nyumbani kwao Kagera Sugar ya Mecky Mexime saa 10:00 jioni. …
Beki wa klabu ya Geita Gold ya mkoani Geita Kelvin Yondani anatajwa kufikia hatua za mwisho kumalizana na wakata miwa wa mkoani Kagera klabu ya Kageta Sugar. Yondani ambaye ameitumikia …
Baada ya kupoteza mechi iliyopita timu ya Dodoma Jiji kesho wanashuka Dimbani kukiwasha dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Jamhuri, mchezo utakaopigwa saa 2: 15 usiku. Dodoma jiji …
Vijana wa Mecky Mexime Kagera Sugar baada ya kutoka kumlazimisha mnyama Simba sare nyumbani kwake, kesho wanatarajia kushuka Dimbani kwao palepale Kaitaba kukiwasha dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo …
Baada ya ushindi mnono hapo jana wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold klabu ya Simba imesafiri hii leo kuelekea Bukoba ambapo siku ya Jumatano watamenyana dhidi ya Kagera Sugar. …
Mechi nyingine ya Ligi kuu inatarajiwa kupigwa kesho majira saa 1:00 usiku Azam watakuwa ugenini dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Azam wapo nafasi ya pili ya …
Klabu ya Kagera Sugar ambayo inaongozwa na kocha mkuu Mecky Mexime imeibuka na pointi tatu muhimu katika mchezo wao wa 14 wa Sugar Derby dhidi ya Mtibwa ambao umepigwa hii …
Klabu ya Kagera Sugar inatarajia kumkaribisha Mtibwa Sugar kwake kwaajili ya kucheza mchezo wao wa 14 kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara huku kila mmoja akitoka kushinda mechi yake iliyopita. …