Gamondi Aifungukia mechi ya Kaizer Chiefs
Kocha Mkuu Wa Yanga Sc Miguel Gamondi amesema kuwa anajua ukubwa wa siku ya Mwananchi na anaelewa ukubwa wa mechi yao na Kaizer Chiefs. Akizungumzamara ya kwanza mbele ya waandishi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha Mkuu Wa Yanga Sc Miguel Gamondi amesema kuwa anajua ukubwa wa siku ya Mwananchi na anaelewa ukubwa wa mechi yao na Kaizer Chiefs. Akizungumzamara ya kwanza mbele ya waandishi …
Taarifa kutoka Afrika kusini Zimethibitisha kuwa Klab ya Kaizer Chiefs nayo imeingia kwenye Mbio za kuiwania saini ya Winga Luis Miquissone. Hapo awali ilifahamika kuwa Luis Miquessone atajiunga na Simba …
Taarifa kutoka Afrika kusini zimethibitisha kuwa Hakuna Uwezekano tena wa Kocha Nasreddine Nabi kujiunga na klab ya Kaizer Chiefs na tayari Muwakilishi wa kocha huyo aliyekuwa Afrika Kusini tayari ameondoka …
Nyota mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Fiston Mayere ameteka mitandao ya kijaamii kutokana na tetesi ambazo zimekuwa zikisambazwa kuwa tayari ameshasajiriwa na klabu inayoshiriki ligi kuu ya Afrika Kusini …
Baada ya kuingia kwenye hatua ya robo fainali, watu wengi waliibeza sana lakini ni rasmi sasa Kaizer Chiefs wametinga hatua ya fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika baada ya …
Kaizer Chiefs wamemtangaza Stuart Baxter kuwa kocha mpya wa timu hiyo akisaini kandarasi ya miaka miwili kuinoa timu hiyo yenye maskani yake Soweto. Stuart Baxter (67) amewahi kuinoa Kaizer Chiefs …
Kaizer Chiefs imevunja mkataba wa aliyekuwa kocha wake Gavin Hunt. Kocha huyo alijiunga na Kaizer Chiefs September 2020 na kuifundisha timu hiyo katika msimu wa 2020/21. Ikumbukwe chini ya Hunt …
Timu ya Kaizer Chiefs imeonyesha kuwa wapo makini na mchezo wa marudiano dhidi ya Simba baada ya kuamua kuchukua hoteli pembeni ya mjini huku wakiweka ulinzi mkali. Timu hiyo kutoka …
Kikosi Kaizer Chiefs cha Wachezaji 23 kilichopo nchini Tanzania kwenye mchezo wa marudiano dhidi ya Simba SC . Walinda Mlango . Bruce Bvuma🇿🇦 Daniel Akpeyi, 🇳🇬 Itumeleng Khune🇿🇦 Walinzi …
Uwezekano wa kiungo wa Simba, Jonas Mkude kucheza mechi ya kesho dhidi ya Kaizer Chiefs haupo. Si mmoja ya wachezaji waliokuwa kambini tangu waliporejea kutoka Afrika Kusini kucheza mechi ya …
Kaizer Chiefs, au the Amakhos wana ushindi wa magoli manne walijipatia katika hatua ya mkondo wa kwanza dhidi ya Simba kule Afrika ya Kusini. Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya …
Kocha mkuu wa Kaizer Chiefs, Gavin Hunt amezungumzia mipango yake juu ya jinsi anavyotarajia kumaliza matumaini ya Simba kurejea katika mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya Ligi …
Kocha wa zamani wa Simba, Patrick Aussems maarufu UCHEBE amefunguka baada ya droo ya CAF na kusema wachezaji waliyopo Simba wakati huu, wana uwezo mkubwa wa kuifunika Kaizer Chiefs na …
Miamba ya soka kutokea nchini Afrika Kusini, Kaizer Chiefs wameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Simba raia wa Nigeria, Junior Lokosa, ambapo inaelezwa Simba wanahitaji dau la dola …
Simba inavutiwa na kiungo wa Kaizer Chiefs na timu ya Taifa ya Kenya Anthony Teddy Akumu. Hesabu za Simba ni kuinasa saini yake ili aje kuziba nafasi ya kiungo wao …
Kuelekea mchezo wao wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaochezwa kesho, Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes, amesema ana matarajio …
Klabu ya Simba imetangaza viingilio vya mechi yao ya marudiano nyumbani dhidi ya Kaizer Cheifs, Jumamosi ijayo ambapo kiingilio cha chini kitakuwa ni Sh 5,000. “Uongozi wa Simba umeomba kwa …
Nyota wawili wa kikosi cha Kaizer Chiefs wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao ni wa robo fainali ya pili unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 22. Wachezaji …
Kitu kinachoshangaza kuhusu timu Kaizer Chiefs ni ukweli licha ya kwamba imekuwa na msimu mbovu Afrika Kusini ikiwemo kufungwa na timu ndogo lakini wameshinda mechi mbili ngumu za kupania. Msimu …
INAELEZWA kuwa, mabosi wa Yanga wameanza mazungumzo rasmi na uongozi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa timu hiyo, Ranga Chivaviro katika usajili wa …