Klopp Awaomba Radhi Mashabiki
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amewaomba radhi mashabiki wa klabu hiyo baada ya kupoteza mchezo wa robo fainali wa michuano ya Europa League usiku wa jana. Klabu ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amewaomba radhi mashabiki wa klabu hiyo baada ya kupoteza mchezo wa robo fainali wa michuano ya Europa League usiku wa jana. Klabu ya …
Jurgen Klopp amekiri kuwa ‘hajui’ kama Liverpool inaweza kupindua meza robo fainali ya Ligi ya Europa baada ya kufungwa 3-0 nyumbani na Atalanta akisema hiyo ilikuwa mbaya sana. The Reds …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema kiungo wake raia wa kimataifa wa Uingereza Curtis Jones yuko tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya klabu ya Sheffield United. Curtis …
Unaweza kusema kwamba mtumbi umepigwa na wimbi zito katikati ya safaribaharini, Yes ni kwamba Kocha Msaidizi wa Liverpool, Pep Lijnders, yupo kwenye mazungumzo ili kuwa kocha mpya wa Ajax. Mholanzi …
Jurgen Klopp amewasifu wachezaji wake wa Liverpool kwa kukidhi matakwa ya Fulham baada ya sare ya 1-1 katika uwanja wa Craven Cottage na kuanzisha pambano la fainali ya Kombe la …
Jurgen Klopp alipongeza hamu ya wachezaji wake baada ya Liverpool kutinga robo fainali ya Kombe la Carabao kwa kumenyana na Storm Ciaran na kuwachapa Bournemouth 2-1. Cody Gakpo aliwapatia …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp ametaka mchezo wao uliopigwa wiiendi iliyomalizika dhidi ya klabu ya Totenham Hotspurs kurudiwa kutokana na makosa yaliyofanywa na waamuzi. Kocha Klopp anaona kua …
Kocha wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Ujerumani Jurgen Klopp amesema moyo wake upo ndani ya klabu hiyo na sio shemu nyingine yeyote kama ambavyo taarifa zingine zinasambaa. …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amezungumzia sakata la mshambuliaji wake Mohamed Salah juu ya kutimka klabuni hapo na kujiunga na Al Ittihad ya nchini Saudia Arabia. Klopp amesema …
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anapenda safu yake ya kiungo iliyotengenezwa upya na anaamini kuwa klabu hiyo imefanya biashara nzuri msimu huu wa joto. Usajili wa pauni milioni 35 …
Jurgen Klopp alisema Come Back ya Liverpool wakiwa na wachezaji 10 dhidi ya Newcastle ulikuwa moja ya ushindi bora zaidi ambao amewahi kuupata katika maisha yake ya Ukocha. Meridianbet odds …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp ameonesha kufurahishwa na wachezaji wapya ambao wameingia kikosini katika dirisha hili kubwa la majira ya joto. Jurgen Klopp amefanikiwa kukamilisha saini za wachezaji …
Vyanzo vingi vya habari nchini Italia vinadai kuwa kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp anavutiwa sana na nyota wa Juventus Federico Chiesa na yuko tayari kushindana na Newcastle kuwania saini …
Jurgen Klopp anasisitiza kuwa Liverpool watakuwa washindani wa Ligi kuu msimu ujao baada ya kumaliza kampeni mbaya kwa sare ya 4-4 dhidi ya Southampton iliyoshuka daraja. Liverpool waliomaliza nafasi …
Jurgen Klopp ameapa kuwa Liverpool itaendeleza shinikizo katika mbio za Ligi ya Mabingwa baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Leicester wakiwa ugenini. Mabao mazuri ya Curtis Jones …
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp ana imani timu yake inaweza kuziba pengo la Manchester City msimu ujao. Kutokuwa na uwiano wa matokeo ilishinda Manchester United 7-0 na Bournemouth …
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anasisitiza kuwa klabu hiyo haitalipwa fidia juu ya malengo ya uhamisho na haiko tayari kulipa bei iliyozidishwa. Klabu hiyo tayari imejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha …
Kocha mkuu wa Brentford Thomas Frank amekiri mameneja kama yeye na Jurgen Klopp wa Liverpool lazima atambue tabia zao, lakini akakubali wakati mwingine hisia huwashinda. Klopp alishtakiwa kwa mwenendo …
Jurgen Klopp alimkosoa mwamuzi Paul Tierney baada ya kufanya msururu wa maamuzi tata katika ushindi wa Liverpool wa 4-3 dhidi ya Tottenham, akisema kuwa hajui kocha huyo ana nini dhidi …
Jurgen Klopp anataka Liverpool iendelee kuonyesha sura yao halisi baada ya kupata ushindi wa tatu mfululizo na kupanda hadi nafasi ya sita kwenye ligi kuu ya Uingereza. Wekundu hao …