Perisic Akutwa Na Korona Euro 2020
Croatia watalazimika kucheza bila mchezaji wao Ivan Perisic ambaye amepata maambukizi ya Korona pindi watakapocheza dhidi ya Spain kesho usiku katika mechi ya hatua ya kumi na sita bora. Ivan …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Croatia watalazimika kucheza bila mchezaji wao Ivan Perisic ambaye amepata maambukizi ya Korona pindi watakapocheza dhidi ya Spain kesho usiku katika mechi ya hatua ya kumi na sita bora. Ivan …
Korea Kaskazini imekuwa nchi ya kwanza kujitoa kwenye michezo ya Olympics 2020 iliyokuwa ifanyike nchini Japan kutokana na hofu ya ongezeko la maambukizi ya Korona. Taarifa hiyo imetolewa na tovuti …
Wakati Dunia ikiwa inahangaika na kuzuia maambukizi ya Korona. Timu mbalimbali za Nyumbani zimekuwa zikitumia tatizo hilo kama chanzo kudhoofisha timu za ugenini. Masuala hayo yameendelea kuonekana yakishamiri sasa baaada …
Mchezaji wa kikapu kutoka timu ya Indiana Pacers Malcolm Brogdon amethibitishwa kupimwa na kukutwa na Virusi vya Korona. Brodgon mwenye umri wa miaka 27 amekuwa akionesha jitihada za kupigania haki …
Watu nane wanaongusha timu tofauti zinazo shiriki ligi ya EFL nchini Uingereza wamepimwa na kukutwa na maambukizi ya Virusi vya Korona, EFL ya thibitisha. Lilifanyika zoezi la kupima wachezaji na …
Hakukuwa na mgonjwa wa Virusi vya Corona aliyebainika kutoka katika vipimo 1,195 katika raundi ya hivi karibuni ndani ya Premier league. Uchunguzi wa wachezaji na wafanyakazi wa vilabu ulifanyika mnamo …
Premier league (EPL) imethibitisha kuwa wachezaji wanne na wafanyakazi, kutoka vilabu vitatu, wamepima na kukutwa na coronavirus katika vipimo vya hivi karibuni. Ligi hiyo ilisema wafanyakazi 1008 wa klabu wote …
Kipa wa Bournemouth, Aaron Ramsdale Amethibitisha kuwa yeye ni mmoja kati ya watu wawili kukutwa na Virusi vya Corona katika raundi ya pili ya vipimo ndani ya Premier league. Jumla …
Mchezaji wa Soka la kulipwa mwenye asili ya ki Brazili anaecheza katika ligi kuu ya Ufaransa maarufu kama league 1 katika timu ya Paris Saint-Germain Neymar Da Silva Santos Junior …
Winga wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Croatia Ivan Perisic anaweza kukosekana nje ya uwanja kwa takribani miezi mitano mpaka sita kutokana na jeraha la goti. …
Raisi wa FiFA Gianni Infantino ameweka wazi kuwa kwenye michuano ya kombe la dunia mwaka huu kuna uwezekano wa kutumia machine na binadamu (Semi-automated) kwa pamoja ili kuwaze kuondoa utata …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amelezea kusikitishwa na na hali anayopitia kocha mwenzake Thomas Tuchel baada ya mmiliki wa klabu hiyo kuwekewa vikwazo na serikali ya Uingereza …
AFCON 2021, kuanza rasmi baada ya kuahirishwa mwaka jana kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa korona, jumapili ya leo moto kuwaka viwanja mbalimbali nchini Cameroon. Hapa chini tumekuwa makundi na …
Kocha mkuu wa klabu ya Aston Villa Steven Gerrard atakosa michezo miwili ya ligi kuu ya Uingereza baada kupimwa kukutwa na maambukizi ya uviko-19, michezo ambayo ataikosa ni dhidi ya …
EPL, ligi kuu ya Uingereza kuendelea na ratiba yake kama kawaida licha ya mlipuko wa ugonjwa korona kusababisha michezo kadhaa kuahirisha, lakini leo vilabu 20 vimekaa kikao na kupitisha azimio …
UEFA wametangaza kuingia mkataba na bank ya Citi bank ambayo watatoa €2 billion kwa vilabu wanachama ili kuweza kuwasidia kufidia hasara waliyopata kutokana na janga la Uviko-19. Hili wazo liliibuliwa …
Ralf Rangnick amemwambia Anthony Martial kuwa amtaarifu yeye mwenyewe ikiwa atataka kuondoka kwenye dirisha dogo la mwezi Januari na sio kumtumia wakala wake kumsemea yeye. Muwakalishi wa mchezazi huyo wa …
Klabu ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mchezaji wake Joshua Kimmich hatakuwepo kwenye kikosi mpaka mwaka 2022 kutokana na tatizo la mapafu baada ya kupatikana na maambukizi ya korona wiki mbili …
Antonio Conte amethibitisha wachezaji nane wa kikosi cha kwanza na watano kwenye benchi lake wamepima na kukutwa na maambukizi ya Uviko-19 na wanapaswa kujitenga kwa matibabu zaidi. Conte anakubali kuwa …
Klabu ya Borussia Dortmund imefuta tiketi zote zilizouzwa kwa ajiri ya mchezo wao wa ligi kuu ya Ujerumani dhidi ya Bayern Munich utakaochezwa siku ya jumamosi. kutokana na sintofahamu ya …