Arda Guler Hataki Kuondoka Madrid
Kiungo kinda wa kimataifa wa Uturuki anayekipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Arda Guler ameripotiwa kua hana mpango wowote wa kuondoka ndani ya miamba hiyo ya soka nchini Hispania. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo kinda wa kimataifa wa Uturuki anayekipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Arda Guler ameripotiwa kua hana mpango wowote wa kuondoka ndani ya miamba hiyo ya soka nchini Hispania. …
Klabu ya Real Madrid unaweza ukasema kazi imebaki kwao tu kwa beki raia wa kimataifa wa Canada anayekipiga kwa mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies. Unaweza kusema …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos inaelezwa yuko kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka …
Atletico Madrid wanaripotiwa kutajwa kuwa vinara wa kuwinda kiungo wa Atalanta Ederson, ambaye pia amekuwa akihusishwa na Juventus na Tottenham. Kulingana na gazeti la Kihispania la Marca, Diego Simeone wa …
Klabu ya Real Madrid wanaelezwa kuanza mawindo kwa beki wa kulia wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Uingereza Tren Alexender Arnold ambaye mkataba wake uko mbioni kumalizika. Real …
Klabu ya Real Madrid inapanga kumpa mkataba mpya golikipa wake namba mbili raia wa kimataifa wa Ukraine Andriy Lunin ambaye kwasasa anafanya vizuri kwasasa klabuni hapo. Golikipa wa huyo wa …
Klabu ya Real Madrid inaelezwa inamfatilia kwa karibu beki hodari mwenye umri wa miaka 18 anayekipiga klabu ya Lile ya nchini Ufaransa akifahamika kama Leny Yoro. Real Madrid inamfukuzia kwa …
Droo ya ligi ya mabingwa ulaya imechezeshwa na moja ya timu zitakazokutana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Huku moja ya michezo ni kati ya Real …
Klabu ya Real Madrid inatarajia kua na wachezaji wake wawili muhimu hivi karibuni ambao wamekua wamekua nje ya kikosi kwa muda mrefu kwasasa ambao ni Eder Militao, na golikipa Thibaut …
Usiku wa leo kutakua na mchezo mkali wa kukata na shoka wa ligi ya mabingwa ulaya ambapo klabu ya Inter Milan itakua nyumbani kuikaribisha miamba ya soka kutoka nchini Hispania …
Inter na Atletico Madrid wameungana kwa ajili ya mpango wa kupinga ubaguzi wa rangi We Love Football kabla ya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa na ujumbe kutoka kwa Marcus …
Kylian Mbappe anaonekana kukaribia kujiunga na Real Madrid msimu wa joto na klabu ya Paris Saint-Germain imemtambua nyota wa Milan Rafael Leao kama mbadala wanaompendelea. Wiki iliyopita, ripoti kutoka …
Atletico Madrid wamefikia makubaliano na Juventus juu ya mkataba wa mkopo wa mshambuliaji Moise Kean hapo jana. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 anatazamiwa kuhamia mji mkuu wa …
Antoine Griezmann amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Atletico Madrid huku Real Madrid ikishinda nusu fainali ya Spanish Super Cup 5-3 baada ya muda wa ziada. Los Blancos walipata …
Wakala wa Gigio Donnarumma, Enzo Raiola, anasisitiza kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia ndiye ‘kipa bora zaidi duniani’ na anafichua kuwa aliikataa Real Madrid. Raiola, binamu wa marehemu Mino, …
Klabu ya Real Madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari, Hili limethibitishwa na kocha wa klabu hiyo Carlo Ancelotti leo akiongea na waandishi wa …
Winga wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Brazil Vinicius Jr na kiungo Arda Guler wametajwa kurejea katika kikosi hicho baada ya kua nje ya uwanja kwa majeraha. …
Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti ameweka wazi ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo hata baada ya kumaliza kufundisha soka ndani ya klabu …
Leo pale nchini Hispania moto utawaka sana kwenye ligi kuu nchini humo klabu ya Barcelona watakua nyumbani kuwakaribisha klabu ya Atletico de Madrid. Barcelona mabingwa watetezi wa ligi hiyo ambao …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amegoma kuzungumzia mustakabali wake juu ya kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo kuelekea msimu ujao. Mkataba wa kocha Carlo Ancelotti unamalizika mwishoni …