Cancelo Aitolea Uvivu Man City
Beki wa klabu ya Man City anayekipiga klabu kwa mkopo klabu ya Barcelona Joao Cancelo ameitolea uvivu klabu yake ya City kutokana na tuhuma ambazo amekua akitupiwa. Cancelo ambaye anakipiga …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Beki wa klabu ya Man City anayekipiga klabu kwa mkopo klabu ya Barcelona Joao Cancelo ameitolea uvivu klabu yake ya City kutokana na tuhuma ambazo amekua akitupiwa. Cancelo ambaye anakipiga …
Kocha wa Klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameandaa mipango mitatu kujaribu kuiondoa Manchester City katika Ligi ya Mabingwa mwezi ujao mchezo wa kuwania kufuzu nusu fainali. Jisajili na Meridianbet …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema hawana hofu na Manchester City baada ya kupangwa kukutana nao katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Droo ya …
Droo ya ligi ya mabingwa ulaya imechezeshwa na moja ya timu zitakazokutana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Huku moja ya michezo ni kati ya Real …
Mchezo wenye hadhi ya nyota tano umepigwa pale katika dimba la Anfield kati ya klabu ya Liverpool wenyeji wa mchezo dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu …
Kocha wa klabu ya As Roma Jose Mourinho ametupa dongo kwa klabu ya Manchester City juu ya kiungo raia wa kimataifa wa Uingereza anayekipiga klabuni hapo Kalvin Phillips. Jose Mourinho …
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Rasmus Hojlund leo atashuka dimbani kukabiliana na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Manchester City katika mchezo wa ligi kuu ya …
Kiungo wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Uingereza Kalvin Phillips anafikiria kutimka ndani ya klabu hiyo katika majira ya baridi ya mwezi Januari. Kiungo Kalvin Phillips …
Klabu ya Arsenal wamefanikiwa kufuta uteja mbele ya klabu ya Manchester City baada ya kuifunga kwa bao moja kwa bila wakiwa katika dimba lao la nyumbani la Emirates. Arsenal wameshinda …
Klabu ya Chelsea imehamishia nguvu kwa mchezaji kinda wa klabu Manchester City ambaye anacheza nafasi ya kiungo wa ushambuliaji anayejulikana kama Cole Palmer. Klabu ya Chelsea mpaka sasa inaripotiwa kufanya …
Juanma Lillo atajitambulisha ndani ya Ligi kuu kwa ujumla siku ya kesho akichukua mikoba ya mabingwa Manchester City huku Pep Guardiola akikosekana. Guardiola anaendelea kupata nafuu nchini Uhispania baada …
Klabu ya Man City ipo kwenye mkakati wa kumchukua kiungo wa klabu ya West Ham United raia wa kimataifa wa Brazil Lucas Paqueta ili ajiunge na mabingwa hao wa Uingereza. …
Beki wa klabu ya Manchester City Kylie Walker huenda akasaini mkataba mpya na klabu hiyo na kuweza kusalia kwenye timu hiyo kwa muda mrefu zaidi. Kylie Walker ambaye alikua kwenye …
Klabu ya Man City inamuwinda kiungo wa klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania Frenkie de Jong raia wa kimataifa wa Uholanzi ili kuboresha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Klabu …
Man City wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Declan Rice, kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo mbalimbali na Meridianbet Sport inafuatilia habari za usajili na kina zaidi ili kukupa nafasi ya …
Beki wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Uingereza Kyle Walker anafurahia maisha tu ndani ya klabu ya hiyo baada ya kujiunga kutoka klabu yake ya zamani …
Kiungo wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Croatia Matteo Kovacic inaelezwa yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Manchester City kwajili ya kutimkia klabuni hapo kwenye dirisha hili …
Pep Guardiola aliipongeza timu yake ya Man City kwa kuonesha kiwango kizuri kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Real Madrid kwenye Uwanja wa Santiago …
Mateo Kovacic anahisi yupo nyumbani huko Chelsea huku kukiwa na maoni kwamba Mkroatia huyo anaweza kulengwa na Manchester City na Bayern Munich mwishoni mwa msimu. Kovacic anakaribia miezi 12 …
Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imefanya mabadiliko ya muda wa kuoneshwa kwenye TV mchezo wa EPL kati ya Man City vs Leeds baada ya mechi hiyo kurudishwa nyuma. Odds kubwa …