Camavinga: Ni Vizuri Kuhitajika na Vilabu Vikubwa.
Nyota wa Rennes Eduard Camavinga amekiri kwamba “ni vizuri pale vilabu vikubwa vikivutiwa na wewe” ikiwa anahusishwa na mabingwa watetezi wa LaLiga Real Madrid. Camavinga amekuwa akisita kuondoka katika klabu …