Akanji Amfananisha John Stones na Maradona
Manuel Akanji amedai John Stones alicheza kama Diego Maradona baada ya Manchester City kushinda Ligi ya Mabingwa na kukamilisha Treble. Stones alikuwa mtu muhimu wakati City ilipomaliza msimu wa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Manuel Akanji amedai John Stones alicheza kama Diego Maradona baada ya Manchester City kushinda Ligi ya Mabingwa na kukamilisha Treble. Stones alikuwa mtu muhimu wakati City ilipomaliza msimu wa …
Luciano Spalletti anaamini kuwa timu ya sasa ya Napoli ni ya kiwango kikubwa cha pamoja kuliko timu za Partenopei ambazo Diego Maradona aliongoza kutwaa mataji mawili ya Serie A. …
Lionel Messi anatamani Diego Maradona angeweza kumkabidhi taji la Kombe la Dunia mwezi uliopita, lakini hajutii kwa muda aliochukua kuiongoza Argentina kwenye tuzo kubwa zaidi ya soka. Messi aliiwezesha …
Kocha wa klabu ya Napoli Luciano Spalletti amesema anaamini klabu ya Napoli haitastaafisha jezi nambari 10 ambayo imekua ikivaliwa na gwiji wa klabu hiyo Diego Maradona. Klabu ya Santos kutoka …
Diego Maradona na Lionel Messi wote wanachukuliwa kuwa wanasoka wawili bora zaidi wa wakati wote na mnamo 2005 wawili hao walicheza pamoja uwanjani. Mnamo 2005 Messi alikuwa na umri wa …
Javier Zanetti amesema kuwa ushindi wa Lionel Messi wa Kombe la Dunia hautoshi kwake kumpita Diego Maradona kama mchezaji bora wa Argentina. Hatimaye Messi amefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia …
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Inter Milan ya nchini Italia Javier Zanetti amesema kua Lionel Messi kubeba taji la kombe la dunia sio …
Lionel Scaloni alihuzunishwa na taarifa ya ghafla kwamba nyota wa Argentina Diego Maradona hakuweza kufurahia mafanikio yao ya Kombe la Dunia nchini Qatar. Kikosi cha Scaloni kiliishinda Ufaransa 4-2 …
Beki wa zamani na timu ya taifa Argentina na klabu ya Inter Milan Javier Zanetti amesema nahodha wa timu hiyo kwasasa Lionel Messi yuko sawa na Maradona na anastahili kubeba …
Lionel Messi amesema kuwa maendeleo ya Argentina hadi kufika hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia ni msukumo kutoka kwa Gwiji wa Taifa hilo Diego Maradona kutoka mbinguni. …
Napoli hawawezi tena kutumia picha ya nyota Diego Maradona kwenye jezi zao, baada ya kushindwa katika vita vya kisheria na watoto wa nyota huyo wa Argentina. Mahakama imeamua kuwaunga …
Jezi aliyotumia mchezaji nyota wa zamani wa kimataifa wa Argentina kwenye mchezo dhidi ya Uingereza mwaka 1986 wa kombe la dunia ambapo alifungia goli la mkono na kupewa jina mkono …
KIUNGO mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amekiri kuwa bao alilofunga leo Jumatano, Februari 23, 2022 dhidi ya Mtibwa Sugar alifunga kwa mkono badala ya kichwa kama …
Mdogo wake Maradona, Hugo Maradona amefariki Dunia jijini Naples akiwa na umri wa miaka 52, klabu ya Napoli imethibitisha kifo chake. Klabu ya Napoli kupitia raisi wake Aurelio De Laurentiis …
Ulimwengu siku ya Alhamisi unaadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Diego Maradona, ambaye anachukuliwa kuwa mchezaji bora wa wakati wote na mtu anayependwa katika nchi yake ya Argentina …
Napoli wanatarajiwa kuzindua jezi zao nyeupe za Diego Armando Maradona katika mechi ya jioni hii dhidi ya Inter huko San Siro. Partenopei wameanza kujitengenezea jezi zao wenyewe msimu huu na …
Barcelona itachuana na Boca Juniors katika mechi ya maonyesho huko Saudi Arabia mwezi Desemba kwa heshima ya Diego Maradona. Uzinduzi wa Kombe Maradona litafanyika Mrsool Park huko Riyadh mwezi Desemba …
Hisia za ushindi wa Copa America kwa Argentina bado hazijafa na Cesar Luis Menotti anafikiria kuwa ingekuwa wakati maalum kwa marehemu Diego Maradona. Katika mahojiano kwenye redio ya Argentina, Menotti …
Lionel Messi amesema kwamba timu ya Argentina ilitaka kushinda dhidi ya Chile kwani ilikuwa “Mechi Maalumu” ambayo ni ya kufuzu kucheza kombe la Dunia ili kumuenzi Diego Maradona siku ya …
Papa Francis ambaye ni Kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki amemsifia Diego Maradona kama “mshairi na bingwa mkubwa”. Maradona alifariki akiwa na umri wa miaka 60 mwezi Novemba akiwa na tatizo …