Mayweather Ampiga kwa KO Mikuru
FLOYD MAYWEATHER alimtoa Mikuru Asakura katika raundi mbili za pambano lao la maonyesho, mbele ya mpinzani wa zamani Manny Pacquiao. Nyota wa Ufilipino, PacMan alisafiri hadi Saitama, Japan, kwa ajili …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
FLOYD MAYWEATHER alimtoa Mikuru Asakura katika raundi mbili za pambano lao la maonyesho, mbele ya mpinzani wa zamani Manny Pacquiao. Nyota wa Ufilipino, PacMan alisafiri hadi Saitama, Japan, kwa ajili …
Floyd Mayweather amethibitisha kuwa mechi ya marudiano ya 2023 na Conor McGregor, iko mbioni na kusema kwamba pambano hilo la marudiano linalotarajiwa sana linaweza kuwa pambano la kulipwa. Imepita takriban …
Gwiji wa ndondi Floyd Mayweather alikuwa mmoja wa watu wachache waliopenda nafasi za Dmitry Bivol dhidi ya Saul Canelo Alvarez mapema mwaka huu. Nyota huyo wa Mexico alitarajiwa kuwa bingwa …
King of Boxing! Floyd Mayweather ametangaza kurejea ulingoni katika pambano la maonyesho dhidi ya Lejendari MMA wa Japan, Mikuru Asakura. Promota wa pambano hilo amesema wanapanga kufanya pambano hilo …
Mhamasishaji wa mtandao wa YouTube, Logan Paul amesema kuwa anatarajia kumpeleka bondia Floyd Mayweather Jela kwa kushindwa kukamilisha malipo yake. Logan Paul na Floyd Mayweather walikutana ulingoni Juni mwaka 2021, …
Bondia mkongwe Floyd Mayweather amefunguka kiu yake ya kutaka kumsajili bondia huru Terence Crawford baada ya mwanamasumbwi huyo kumaliza kandarasi yake na Top Rank mwaka uliyopita. Akiongea na Ben Thompson …
Bondia mstaafu, Floyd Mayweather anatarajiwa kurejea ulingoni mnamo Mei 14, 2022 kupigana na Don Moore katika Pambano la raundi nane la maonyesho litakalofanyika Dubai. Mayweather, 45 atapigana na mpinzani …
Bondia mstaafu Floyd Mayweather anaweza kurejea ulingoni kwa kuzichapa na Badou Jack huko Dubai na alisema kwamba mazungumzo yanaendelea kwaajili ya kufanikisha tukio hilo. Mazungumzo kuhusu pambano lake na bondia …
Njomba wa Mayweather Jr, Jeffy Mayweather amemsimfu sana bondia kwa kukua katika mchezo wa ndondi na akithubutu kumringanisha na mpwa wake. Saul Canelo Alvarez anajiandaa kukabiliana na Dmitry Bivol siku …
Bingwa dunia wa zamani wa uzito wa kati Floyd Mayweather anafikiria kurudi tena ulingoni, kumenyana na MwanaYouTube, Money Kicks. Licha ya kukaribia kutimiza miaka 45, Mayweather Jr ameonyesha hamu ya …
Cesar Chavez anataka kupigana na Floyd Mayweather Jr. Mabingwa hao wawili walikutana kwenye kongamano la World Boxing Council huko Mexico na kutaniana kuhusu pambano la siku zijazo. Gwiji huyo wa …
Floyd Mayweather baada ya pambano la maonyesho na Logan Paul, sasa anaandaa mpinzani wake mwingine Jake Paul. Mvutano kati ya wawili hao umeongezeka hivi karibuni baada ya Jake Paul kuiba …
Promota nguli wa masumbwi, Eddie Hearn amemtambua Logan Paul kama mshindi katika pambano la kujifurahisha dhidi ya Floyd Mayweather liliopigwa wikiendi iliyopita. Logan aliweza kummudu Mayweather katika pambano la …
Mbabe wa masumbwi Floyd Mayweather Jr amekutana na kisiki asichokitarajia cha Logan Paul katika pambano la ndondi la kujiburudisha lililomalizika bila kupatikana mshindi. Paul, ambaye ni maarufu kwenye mtandao …
Katika hafla ya kupima uzito ambayo ilifanyika Miami, Floyd Mayweather aliingia kwa kilo 70.3, na YouTuber Logan Paul akiikandamiza mizani kwa kilo 85.9 kabla ya pambano lao la maonyesho, ambayo …
Floyd Mayweather amemsihi Enrrol Spence Jr. kuwa makini pale atakapo kabiliana na Manny Pacquiao katika pambano lao la mwezi Agosti 21 mwaka huu. Pacquiao hajapigana tanghu mwaka 2019 na kwa …
Bingwa wa dunia mara 5 kwenye mchezo wa ndondi, Floyd Mayweather atapanda ulingoni safari hii kuchuana na mtaalamu wa YouTube, Logan Paul. Mpambano wa Mayweather vs Paul ulipangwa kufanyika Februari …
Pambano la Floy Mayweather na Logan Paul litakuwa ni pambano la maonesho tu. – Carl Froch Kwa mujibu wa Carl Froch, ni kuwa tetesi za pambano la Floyd Mayweather dhidi …
Floyd Mayweather ametangaza kustaafu mara tatu! Ni bondia ambaye amejijengea umaarufu mkubwa kwa uwezo wake ulingoni akifanikiwa kushinda mapambano yake yote 50 aliyopambana. Pia amejizolea umaarufu zaidi kwa utajiri alionao, …
Bondia Floyd Mayweather ameomba kulipia mazishi ya Mmarekani mweusi aliyeuawa akiwa mikononi mwa polisi George Floyd. Kifo cha George Floyd kimeigusa jamii kubwa ya Waafrika weusi, wanamichezo na wanaharakati wengi …