JKT Tanzania Kukipiga Dhidi ya Namungo FC
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utawakutanisha JKT Tanzania dhidi ya Namungo kutoka mkoani Lindi, majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Meja …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utawakutanisha JKT Tanzania dhidi ya Namungo kutoka mkoani Lindi, majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Meja …
Klabu ya Namungo FC ambayo ina makazi yake Lindi imemtambulisha Erasto Nyoni kama mchezaji wao mpya baada ya mchezaji huyo kuagwa na klabu ya Msimbazi jana. Nyoni ambaye anacheza …
Klabu ya Yanga SC imewasili mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa Jumamosi, Novemba 20 katika uwanja wa Ilulu. Yanga SC …
Kikosi cha Namungo FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Morroco leo Aprili 10 kimekwea pipa kuelekea nchini Zambia kwa ajili ya mchezo wa marudio wa Kombe la Shirikisho dhidi ya …
Namungo FC ya Lindi imeibuka na ushindi wa bao 1-0 na kukata tiketi ya kushiriki hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kuitungua Sahare All Stars. Mchezo huo …
Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Baada ya aliyekuwa Kocha wa Timu hiyo Denis Kitambi kutimkia Geita Gold FC. Namungo kutokea mkoani Lindi, imemchukua …
UONGOZI wa Namungo FC umeeleza ukimya unaoendelea kwao ni mchakato wa kukimbizana na dirisha dogo la usajili ili waweze kufanya jambo litakaloendelea kuwapa mashabiki wao furaha zaidi. Wakati timu nyingi …
Klabu ya Azam Fc imefanikiwa kutoa kichapo kikubwa kwa klabu ya Mashujaa ya mkoani Kigoma leo baada ya kushinda kwa jumla ya mabao matatu kwa bila katika mchezo wa ligi …
Ligi kuu ya NBC hapo jana ilimaliziwa kwa mchezo uliowakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya Namungo majira ya saa 2:30 usiku katika dimba la Chamazi. Azam FC wamepoteza …
Mechi nyingine ya Ligi Kuu ya NBC ni hii hapa ambayo itawakutanisha Ihefu FC dhidi ya Kagera Sugar majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Highland Estate. Timu …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa jioni kabisa utakuwa ni kati ya KMC dhidi ya Namungo ambao utapigwa katika dimba la Majaliwa. …
KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi …
MASTAA wa Azam FC wameendelea na program maalumu kwa ajili ya kuwakabili wapizani wao Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye mchezo wao ujao wa ligi. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika …
Klabu ya Simba imeanza safari hii leo ya kuifuata Namungo FC kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu ya NBC ambao unatarajiwa kupigwa siku ya Jumatano katika dimba la Majaliwa. …
Klabu ya Namungo FC imepoteza mchezo wake hapo jana wlaiokuwa wakicheza dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara katika dimba la Majaliwa majira ya saa …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa saa 1:00 usiku utakuwa ni kati ya Namungo dhidi ya Tanzania Prisons kutoka Mbeya. Namungo …
Klabu ya Namungo FC kutoka mkoani Lindi, imeicharaza Geita Gold ya Minziro mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa hapo jana majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Majaliwa. …
Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo Namungo FC itakiwasha dhidi ya Geita Gold kutoka mkoani Geita. Mechi hiyo inatarajiwa kupigwa majira ya saa 1:00 …
Klabu ya Namungo itakuwa ugenini hii leo kusaka pointi 3 mbele ya vijana wa Mecky Mexime Kagera Sugar katika dimba la Kaitaba majira ya saa 1:00 usiku. Namungo wametoka …