LeBron Atarejea kwa Msimu wa 21 wa NBA na wa Sita Akiwa na Lakers
LeBron James ametangaza kwenye The ESPYs hapo jana kwamba atacheza msimu mwingine kwa Los Angeles Lakers. LeBron mwenye miaka 38, alisema atarejea kwa msimu wake wa 21 wa NBA …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
LeBron James ametangaza kwenye The ESPYs hapo jana kwamba atacheza msimu mwingine kwa Los Angeles Lakers. LeBron mwenye miaka 38, alisema atarejea kwa msimu wake wa 21 wa NBA …
LeBron James atilia shaka mustakabali wake na Los Angeles Lakers baada ya kushindwa kwao kwa kumaliza msimu na Denver Nuggets. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38, mfungaji bora …
Staa wa mchezo wa kikapu kutoka nchini Marekani Lebron James amefanikiwa kuweka rekodi ya kua mfuingaji bora wa muda wote kwenye ligi kuu ya kikapu Marekani maarufu kama NBA. Lebron …
Imeelezwa kuwa LeBron James hana mpango wa kustaafu hivi karibuni, licha ya kumpita Kareem Abdul-Jabbar na kuwa mfungaji bora wa muda wote wa NBA. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. …
Moja ya wachezaji bora wa ligi ya kikapu nchini Marekani NBA Klay Thompson anayeichezea klabu ya Golden State Warriors ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio ya timu hiyo ni kocha …
Fundi wa Kikapu pale NBA, Stephen Curry ameisaidia timu yake ya Golden State Warriors Kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya kikapu nchini Marekani NBA hapo jana. Curry alirejea baada …
NBA mambo yanaeleweka huku mambo hayaeleweki ubingwa kwenda kushangilia jijini San Fransisco au Boston? kesho inawezakuwa ijumaa ya maamuzi kumaliza game 6 au Game 7 ndio itatupa bingwa. Timu ya …
Fainali ya NBA inazidi kunoga wakati huu ambao michezo 5 kati ya 7 imeshamalizika. Golden State Warriors wanaukaribia ubingwa msimu huu. Ushindi wa pointi 104-94, unawapa matokeo Warriors matokeo ya …
Baada ya miaka 12, Boston Celtics wamefanikiwa kutinga fainali ya NBA baada ya kuwamwaga Miami Heats. Licha ya kupoteza michezo 2 ya mwanzo, Celtics walirejea mchezoni na kuipambania tiketi ya …
Ngoma ngumu kunako fainali ya Eastern Conference kwenye NBA. Jimmy Butler akataa utumwa mbele ya Boston Celtics. Celtics waliingia uwanjani wakiwa wanaongoza kwa matokeo ya 3-2 baada ya michezo 5 …
Kama ambavyo LA Lakers walivyoshindwa kutetea ubingwa wa NBA msimu ulioisha, Milwaukee Bucks wamevuliwa rasmi ubingwa msimu huu. Bucks walitwaa ubingwa wa NBA msimu ulioipita na wameendelea kufanya vizuri msimu …
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea kunoga viwanjani, Miami Heats imejihakikishia kucheza nusu fainali kunako Eastern Conference. Licha ya kuwakosa nyota wao ambao ni majeruhi kwa sasa, Heats wamefanikiwa kutinga …
Safari ya matokeo mabaya kunako NBA msimu huu, imetamatika kwa LA Lakers kutupwa nje ya mashindano hayo kwa mwaka huu. Lakers wamejikuta wakimaliza mzunguko wa kwanza wakiwa nafasi ya 11 …
Songombingo za kugoma kuchanja chanjo ya Covid-19 zimemfanya akose baadhi ya michezo kwenye NBA. Lakini, Kyrie Irving ni wa moto… Wakati huu ambao James Harden ameondoka Brooklyn Nets na kujiunga …
Ule wakati wa kuitizama kwa makini ligi ya kikapu ya NBA unawadia. Ni muda wa kuiangalia michezo ya mtoano (Play-Offs), burudani ipo huku!! Pande zote mbili za Ligi ya NBA …
Kamishna wa NBA, Adam Silver, alisema siku ya Jumamosi kwamba matarajio ya kuunda mashindano mapya wakati wa msimu yanakubalika zaidi na wachezaji. Alisema hayo Katika mkutano wake wa na waandishi …
LA Lakers wamevunja mnyororo wa kupoteza michezo 3 mfululizo kunako NBA msimu huu. Portland Trail Blazers wameambulia kipigo Staples Centre. Lakers wameendelea kumkosa nyota wao – LeBron James ambaye anauguza …
Kabla ya kuingia uwanjani dhidi ya Houston Rockets, Golden State Warriors walikua wamepoteza michezo 6 mfululizo kwenye NBA. Almanusura wapoteze mchezo wa 7 mfululizo, Stephen Curry ameokoa jahazi. Matokeo ya …
Ligi ya NBA inaendelea kutoa burudani viwanjani. Golden State Warriors waonesha umwamba dhidi ya Detroit Pistons. Warriors wameondoka uwanjani kwa ushindi wa pointi 102-86 dhidi ya Pistons usiku wa kuamkia …
Burudani ya mchezo wa kikapu kunako Ligi ya NBA inaendelea! The Greek Beast, Giannis Antetokonumpo amekiwasha dhidi ya Golden State Warriors. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani wakichuana na Warriors katika muendelezo …