Pablo Torre Kinda la Barcelona Aliyesahaulika Camp Nou
Pablo Torre amekuwa mmoja wa wachezaji chipukizi wachache katika timu ya Barcelona ambao wamekuwa na shida kupata muda wa kucheza chini ya uongozi wa Xavi Hernandez. Odds kubwa za soka …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Pablo Torre amekuwa mmoja wa wachezaji chipukizi wachache katika timu ya Barcelona ambao wamekuwa na shida kupata muda wa kucheza chini ya uongozi wa Xavi Hernandez. Odds kubwa za soka …
Kabla ya mechi yao dhidi ya Nottingham Forest, wachezaji wa Arsenal walituma ujumbe wa kumuunga mkono Pablo Mari ambaye ni mlinzi wa Monza kwa sasa akiwa klabuni hapo kwa mkopo …
Pablo Gavi kiungo kinda wa klabu ya Fc Barcelona amesaini mkataba mpya wa kumueka klabuni hapo mpaka mwaka 2026 baada ya mazungumzo kukamilika yaliyochukua wiki kadhaaa. Kijana huyo atapokea mshahara …
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ripoti ya usajili amayo inatumika kwa sasa ni ileiliyoachwa na aliyekuwa kocha wa timu hiyo Pablo Franco raia wa Hispania. Pablo alikuwa ndani ya …
Amazulu ni moja ya majina yanayotajwa na kuhusika kuisaka saini ya kocha muhispania Pablo Franko Martinez na taarifa kutoka nchini Afrika Kusini zinaeleza kuwa aliyekuwa kocha mkuu wa wekundu wa …
Lionel Messi anapitia wakati mgumu zaidi maishani mwake. Mabao tisa msimu mzima. Tuweke takwimu sawa! Msimu uliondoka aliweka kambani mabao 38. Ni kweli Messi ameisha?? Labda swali zuri ni umewahi …
Kocha wa Simba SC, Pablo Franco, amesisitiza kuwa wanahitaji kupata alama tatu katika mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakaopigiwa Uwanja wa Benjamin …
Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona tayari wana makubaliano na nyota wa Racing Pablo Torre. Taarifa zinasema Makubaliano ya kumsaini kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 yamekamilika, sasa kilichobaki …
Kocha mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amesema ana imani kuanzia sasa timu itaanza kufunga mabao mengi kuanzia mchezo wa kesho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho …
Klabu ya Simba SC ikiongozwa na kocha Pablo inashuka dimbani katika uwanja wa Sokoine, Mbeya kuvaana na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC leo saa 10 …
Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco amesema mchezo wa leo wa nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Namungo FC utakuwa mzuri wa kuvutia kuutazama. Pablo amesema …
Kocha mkuu wa Simba SC, Pablo Franco amesema kuwa hawajaenda kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi kama washiriki wa michuano, malengo yao ni kuhakikisha wanachukua ubingwa wa kombe hilo …
Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amesema amefurahi timu kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwani ndiyo yalikuwa malengo ya timu. Pablo amesema waliingia …
Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amesisitiza kuwa katika mchezo wa kesho dhidi ya Red Arrows tunapaswa kuwa makini kutumia nafasi tutakazopata na kuimarisha ulinzi na kupunguza makosa. …
Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amefunguka kuwa anatarajia mashabiki watajitokeza kwa wingi kumpa ukaribisho kwenye mchezo wake wa kwanza wa nyumbani ambao utakuwa wa Kombe la Shirikisho …
Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco ameweka wazi kuwa pointi tatu walizopata katika mchezo wa jana dhidi ya Ruvu Shooting ni muhimu na zitaongeza hali ya kujiamini kuelekea …
Pablo Franko ni moja ya majina yaliyotajwa zaidi kwa kipindi cha wiki mbili zilizopita baada ya timu inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kumtaja kama mrithi wa Didier Gomez aliyekua kucha …
Klabu ya Simba SC, imeingia mkataba wa miaka miwili na Kocha Pablo Franco (41) raia wa Hispania kukinoa kikosi hicho kuanzia sasa. Pablo anachukua nafasi ya Didier Gomes raia …
Beki wa kulia wa Argentina Pablo Zabaleta Ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 35. Zabaleta amechezea San Lorenzo, Espanyol, Manchester City na West Ham United katika kipindi cha …
Klabu ya Tottenham imekubali kichapo kwenye mechi ya pili mfululizo msimu huu baada ya kupoteza Jumatatu dhidi ya Chelsea leo wamekubali kichapo tena mbele ya Wolves. Klabu ya Wolves wakiwa …