Hodgson Ajiuzulu Kama Kocha wa Palace Kufuatia Ugonjwa
Roy Hodgson amejiuzulu wadhifa wake kama mkufunzi wa Crystal Palace huku klabu hiyo ikiwa juu kwa pointi tano tu kutoka eneo la kushuka daraja la EPL. Huku kukiwa na uvumi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Roy Hodgson amejiuzulu wadhifa wake kama mkufunzi wa Crystal Palace huku klabu hiyo ikiwa juu kwa pointi tano tu kutoka eneo la kushuka daraja la EPL. Huku kukiwa na uvumi …
Eberechi Eze amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na nusu na Crystal Palace ambao utamuweka Selhurst Park hadi 2027. Itakuwa msaada mkubwa kwa Eagles kwani mchezaji wao wa thamani, …
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount anatarajiwa kukipiga leo katika mchezo wa kombe la Carabao dhidi ya klabu ya Crystal Palace. Mason Mount …
Klabu ya Crystal Palace imethibitisha kumsajili mlinda mlango Dean Henderson kutoka Manchester United. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anawasili Selhurst Park kwa mkataba wa miaka mitano na …
Golikipa wa klabu ya Manchester United Dean Henderson raia wa kimataifa wa Uingereza amekamilisha usajili wake wa kujiunga na klabu ya Crystal Palace baada ya kufikia makubaliano. Golikipa Dean Henderson …
Winga wa klabu ya Crystal Palace Michael Olise amefanikiwa kusaini mkataba mpya na klabu yake hiyo ambapo utamuweka klabuni hapo kwa miaka minne zaidi mbele. Winga huyo raia wa kimataifa …
Crystal Palace wameelekeza macho yao kwa mlinzi wa Torino Perr Schuurs huku wakitafuta mbadala wa Marc Guehi. Beki huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 22 ameng’ara London Kusini …
Klabu ya Manchester United inamuwinda winga wa klabu ya Crystal Palace nyota wa kimataifa wa Uingereza Eberechi Eze katika kipichi hichi cha majira ya joto. Manchester United inataarifiwa kua inamuwinda …
Kiungo wa Crystal Palace Eberechi Eze ameitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha Gareth Southgate cha Uingereza kwa ajili ya mechi zijazo za kufuzu kwa Euro 2024 dhidi ya …
Klabu ya Crystal Palace imeahidi kumpiga marufuku mtazamaji ambaye alidaiwa kumfanyia ubaguzi wa rangi mshambuliaji wa Tottenham, Son Heung-min wakati wa mechi ya jana. Kanda za video zimesambaa kwenye …
Roy Hodgson anadai Crystal Palace imesalia kwenye pambano la kushushwa daraja lakini kazi inayowakabili si kubwa sana baada ya kuambulia pointi 10 katika mechi nne zilizopita. Palace walishinda mechi …
Klabu ya Crystal Palace imefanikiwa kuishangaza klabu ya Leeds United baada ya kuifunga kwa mabao matano kwa moja katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa katika dimba la Elland …
Roy Hodgson alisherehekea ubabe wa Crystal Palace wakati wa ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Leicester City, baada ya The Eagles kuweka faida ya mashuti 28 pamoja na Selhurst Park. …
Roy Hodgson ametoka kustaafu na kujaribu kuiokoa Crystal Palace dhidi ya kushuka daraja ambapo ametangazwa hii leo kuwa kocha wa klabu hiyo tena mpaka mwisho wa msimu. The Eagles …
Klabu ya Crystal Palace imethibitisha kuwa wamemfuta kazi kocha wao mkuu Patrick Vieira baada ya kuifundisha kwa miezi 18. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, …
Klabu ya Manchester United na klabu ya Crystal Palace wamepigwa faini na shirikisho la mpira nchini Uingereza baada ya kushindwa kuwadhibiti wachezaji wake wasifanye vurugu katika mchezo uliozikutanisha timu hizo …
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amekiri kuwa kuna kitu si sawa na uchezaji wa timu hiyo baada ya kuambulia sare ya 0-0 dhidi ya Crystal Palace hapo jana. …
Klabu ya Manchester United pamoja na klabu ya Crystal Palace wameshtakiwa na shirikisho la mpira wa miguu nchini Uingereza FA baada ya vurugu zilizotokea katika mchezo baina ya timu hizo …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amegoma kumzungumzia mchezaji w aklabu hiyo aliyefutiwa mashtaka Mason Greenwood na kipaumbele kwake ni mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu …
Klabu ya Manchester United itashuka dimbani leo kumenyana na klabu ya Crystal Palace ambao watakua nyumbani katika dimba lao la Selhurst Park usiku wa leo. Manchester United leo watakua ugenini …