Nuno Mendes Ajifunga PSG
Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anaelezwa yuko mbioni kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo mabingwa watetezi wa Ufaransa mpaka mwaka 2029. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anaelezwa yuko mbioni kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo mabingwa watetezi wa Ufaransa mpaka mwaka 2029. …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayekipa ndani ya klabu ya PSG Kolo Muani ameweka wazi juu ya tetesi zinazomhusisha yeye kutimka klabuni hapo majira ya baridi mwezi Januari. Kolo Muani …
Kocha Luis Enrique anakaribia kumwaga wino wa kuongeza mkataba mpya ndani ya klabu ya PSG mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa ambao amejiunga nao mwaka 2023 mwezi Juni. Luis Enrique …
Dili la winga wa wa kimataifa wa Nigeria Ademola Lookman kujiunga na klabu ya PSG inaelezwa huenda likafa kutokana na mabingwa hao wa ligi kuu ya Ufaransa kutokua tayari kulipa …
Inasemekana kwamba Atalanta wanataka angalau €40m kumuuza Ademola Lookman, lakini wanakasirishwa sana na Paris Saint-Germain kumkaribia mchezaji huyo kwanza, na kutoa zaidi ya mara mbili ya mshahara wake. Mshambuliaji huyo …
Ligi kuu ya Ufaransa Ligue 1 nayo inatarajiwa kuanza leo hii ambapo mabingwa wa ligi hiyo PSG ndio watakaofungua dirisha hilo kwa kukipiga dhidi ya Le Havre ugenini. PSG chini …
Taarifa zinazidi kukua nchini Ujerumani na Italia kwamba Victor Osimhen hana imani hata kidogo na kwenda Chelsea, kwani anaishikilia PSG, ambayo inaweza kumzuia Romelu Lukaku kwenda Napoli. Ni ndani ya …
Kwa mujibu wa Radio Radio, Arsenal wako tayari kutoa kitita cha juu zaidi kwa Victor Osimhen kuliko Paris Saint-Germain, lakini mshahara mdogo, hivyo Napoli wanatarajia kuharakisha mazungumzo hayo. Sio siri …
Mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG imefika hatua nzuri katika kuhakikisha wanapata saini ya kiungo wa klabu ya Benfica raia wa kimatiafa wa Ureno Joao Neves. PSG …
Winga wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Jadon Sancho ameingia kwenye rada za mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG. Klabu ya PSG inaelezwa …
Mazungumzo kati ya Napoli na Paris Saint-Germain hayakuleta matokeo jana na kuna hofu kwamba dili la Victor Osimhen linaweza kuporomoka. Miamba hao wa Paris wamekuwa wakihusishwa pakubwa na kutaka kumnunua …
Juventus wanakabiliwa na ushindani katika kinyang’anyiro cha kumsajili Jadon Sancho kwani, kulingana na ripoti kutoka Ufaransa, PSG wametuma ofa kwa winga huyo wa Manchester United. Winga huyo wa Uingereza Sancho …
Gazeti la Corriere dello Sport linadai kuwa PSG wako tayari kutoa jumla ya €200m kuwasajili wachezaji wawili wa Napoli Victor Osimhen na Kvicha Kvaratskhelia. Nia yao kwa mchezaji wa kimataifa …
Inter na PSG wana wachezaji wengi zaidi katika hatua ya 16 Bora ya EURO 2024, wakiwa na wachezaji 12 kila mmoja. Transfermarkt inaripoti kwenye mtandao wa X, ambayo zamani ilikuwa …
Rais wa klabu ya Napoli Aurielo De Laurentiis ameishtumu klabu ya PSG inayoongozwa na Rais Naseer Al-Khelaifi kua imefanya mazungumzo na mchezaji wake kinyume na utaratibu unavyotaka. Rais De Laurentiis …
Klabu ya PSG inamfukuzia kiungo fundi wa klabu ya Olympique Lyon raia wa kimataifa wa Ufaransa Rayan Cherki ambaye amekua moja ya wachezaji wanaomvutia kocha Luis Enrique. Kocha wa klabu …
Klabu ya PSG mabingwa wa soka nchini Ufaransa nao wameingia kwenye mbio za kumuwinda kiungo wa klabu ya Benfica raia wa kimataifa wa Ureno Joao Neves ambaye anawinda na vilabu …
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Real Madrid Kylian Mbappe ameweka wazi kua uongozi wa juu wa klabu ya PSG ulimueleza wazi hatakwenda kucheza ndani ya timu hiyo mwanzoni mwa msimu …
Napoli wanalazimika kukabiliana na tatizo ambalo halikutarajiwa msimu huu wa joto, kwani licha ya kuhusishwa na Arsenal, Chelsea, Paris Saint-Germain na zaidi, hakuna ofa yoyote iliyowasilishwa kwa Victor Osimhen hadi …
L’Equipe wanadai kwamba Khvicha Kvaratskhelia amesema wazi kabisa kuhusu uhamisho wa kwenda Paris Saint-Germain, lakini Napoli na Antonio Conte hawataki kumruhusu kuondoka. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Georgia alisajiliwa kutoka …