Rangers Wamtangaza Clement Kama Mbadala wa Beale
Rangers wametangaza uteuzi wa Philippe Clement kama meneja wao mpya.Β Clement mwenye miaka 49, alikuwa hana kazi baada ya kuondoka Monaco mapema mwaka huu. Anarithi nafasi ya Michael Beale, ambaye …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rangers wametangaza uteuzi wa Philippe Clement kama meneja wao mpya.Β Clement mwenye miaka 49, alikuwa hana kazi baada ya kuondoka Monaco mapema mwaka huu. Anarithi nafasi ya Michael Beale, ambaye …
Michael Beale amefukuzwa kazi kama meneja wa Rangers baada ya kufungwa mabao 3-1 Jumamosi na Aberdeen. Kupoteza huko kuliwaacha Rangers pointi saba nyuma ya Celtic baada ya mechi saba …
Glasgow Rangers imethibitisha kumsajili mshambuliaji wa Atalanta Sam Lammers kwa mkataba wa kudumu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 kutoka Uholanzi amekamilisha uhamisho wa kwenda Scotland baada ya …
Malik Tillman anakadiria matarajio ya yeye kujiunga na Rangers katika uhamisho wa kudumu kama “50-50”. Mkopo wa msimu mzima wa kiungo wa Bayern Munich huko Ibrox ulikatizwa hivi majuzi …
Klabu ya Yanga imeishikisha adabu timu ya Rhino Rangers hapo jana katika dimba la Mkapa baada ya kuitandika kwa mabao 7-0 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam. …
Klabu ya Rangers imemtimua kocha wao Giovanni Van Bronckhorst baada ya kushuka kwa kasi katika mbio za kuwania taji la ligi kuu ya Scotland. Van Bronckhorst alijiunga na Rangers …
Klabu ya Ranger kwenye mchezo wao wa usiku wa leo dhidi ya Dundee kwenye uwanja wao wa Ibrox watavaa jersey inayonesha kupingaΒ mapato yanayotakana na kamali licha uya kudhaminiwa na …
WAKIJIANDAA na mchezo wa pili wa ligi dhidi ya Mashujaa, kikosi cha Pan African kinatarajia kujipima nguvu na Rhino Rangers. Mchezo huo wa kirafiki unatarajiwa kupigwa Septemba 21 mwaka huu …
Celtic ilishinda taji la Ligi Kuu ya Scottland na kufika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa; Rangers iliifunga PSV Eindhoven kwa jumla ya mabao 3-2 katika mechi za kufuzu; …
Liverpool na Rangers wapo kundi moja Ligi ya Mabingwa ya Uingereza hatua ya makundi; Erling Haaland kuwakabiri tena waajiri wake wa zamani Borussia Dortmund; Chelsea kukutana na Milan, Salzburg na …
Klabu ya Rangers ya nchini uskochi rasmi imerejea katika ligi ya mabingwa barani ulaya baada kuitupa nje klabu ya PSV Eindnhoven. Klabu ya Rangers ambayo ni miongoni wa klabu zenye …
Klabu ya Rangers imefanikiwa kumsajili Aaron Ramsey kutoka Juventus kwa dili ya mkopo mpaka mwisho. Mchezaji huyo wa miaka 31 alicheza moja kwa kuanza katika Serie A msimu huu na …
Mchezaji wa timu ya Manchester United Amad Diallo yuko njiani kumalizia uhamisho wa kuahamia kwenye klabu ya Rangers kabla ya dirisha la mwezi January kufungwa siku ya Jumatatu usiku. Mkataba …
Giovan Van Bronckhorst anatajwa kuwa ndie atakae wanaoa Mabingwa watetezi katika ligi kuu ya nchini Scotland Rangers, muda wowote kuanzia sasa watamtangaza gwiji wa zamani vilabu mbalimbali barani ulaya kuwa …
Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Giovanni van Bronckhorst anatarajiwa kuchukua mikoba ya kuinoa klabu ya Rangers baada ya kufikia makubaliano ya uongozi wa klabu hiyo. …
Baada ya Steven Gerrard kuwapa mkono wa kwa heri sasa Rangers wanatafuta kocha mbadala ili kuendeleza wimbo mzuri ambao Gerrard aliuanzisha na Ronald Koeman anaonekana kuwa mtu sahihi Ibrox Stadium …
Klabu ya Rangers ya nchini Scotland imesema uongozi na wachezaji wa klabu hiyo hawata post chochote katika mitandao ya kijamii kwa kipindi cha wiki moja. Rangers itakuwa klabu ya …
Timu ya Rangers imejitengenezea mazingira mazuri ya kukutana na maasimu wao wa jadi Celtic katika raundi ya nne ya Kombe la Scotland. “The Old Firm Derby” kati ya Rangers na …
Licha ya kuwa na umri wa miaka 39, golikipa wa Rangers FC – Allan McGregor amesaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki kwenye timu hiyo msimu ujao. Allan ni miongoni mwa …
Bosi wa Celtic John Kennedy amethibitisha kwamba timu yake haita wapigia makofi Mabingwa wapya wa ligi ya Scotland Rangers wakati wamchezo wao. Vijana wa Steven Gerrard watatembelea viunga vya Parkhead …