real madrid - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Real Madrid kwa Davies Kwao

Bundesliga

Klabu ya Real Madrid unaweza ukasema kazi imebaki kwao tu kwa beki raia wa kimataifa wa Canada anayekipiga kwa mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies. Unaweza kusema …

Real Madrid Wanamvizia Trent

La Liga

Klabu ya Real Madrid wanaelezwa kuanza mawindo kwa beki wa kulia wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Uingereza Tren Alexender Arnold ambaye mkataba wake uko mbioni kumalizika. Real …

Real Madrid Kumpa Mkataba Mpya Lunin

La Liga

Klabu ya Real Madrid inapanga kumpa mkataba mpya golikipa wake namba mbili raia wa kimataifa wa Ukraine Andriy Lunin ambaye kwasasa anafanya vizuri kwasasa klabuni hapo. Golikipa wa huyo wa …

Real Madrid Yamvizia Beki Lile

La Liga

Klabu ya Real Madrid inaelezwa inamfatilia kwa karibu beki hodari mwenye umriΒ  wa miaka 18 anayekipiga klabu ya Lile ya nchini Ufaransa akifahamika kama Leny Yoro. Real Madrid inamfukuzia kwa …

Real Madrid Hawatasajili Januari

La Liga

Klabu ya Real Madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari, Hili limethibitishwa na kocha wa klabu hiyo Carlo Ancelotti leo akiongea na waandishi wa …

Real Madrid Yamuwinda Alphonso Davies

La Liga

Klabu ya Real Madrid ipo mawindoni kwajili kumuwinda beki wa kushoto wa klabu ya Fc Bayern Munich Alphonso Davies raia wa kimataifa wa Canada kwajili ya kwenda kukipiga klabuni hapo. …

Real Madrid Kumsajili Beki Inacio

La Liga

Beki wa kimataifa wa Ureno Goncalo Inacio ameingia kwenye rada za klabu ya Real Madrid huku ikielezwa klabu hiyo inataka kumsajili katika dirisha dogo la mwezi Januari. Goncalo Inacio mwenye …

Kepa Aitamani Real Madrid

La Liga

Kipa wa klabu ya Chelsea ambaye anakipiga klabu ya Real Madrid kwa mkopo Kepa Arrizabalaga amesema anatamani kuendelea kubaki ndani ya klabu hiyo ambapo anakipiga kwa mkopo. Golikipa huyo ambaye …

Joselu:Natamani Kubaki Real Madrid

La Liga

Nyota wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania ambaye yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya Espanyol Joselu amesema anatamani kusalia ndani ya klabu hiyo. …

1 2 3 4 148 149 150