Chama Ana Imani Kubwa Na Simba Yake
Ikiwa ni masaa machache yamepita tangu urejeo wa kipenzi cha wanasimba, Clatous Chama, mwenyewe ameibuka na kauli nzito na yenye kutia Imani kwa mashabiki alipozungumza mara ya kwanza baada ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ikiwa ni masaa machache yamepita tangu urejeo wa kipenzi cha wanasimba, Clatous Chama, mwenyewe ameibuka na kauli nzito na yenye kutia Imani kwa mashabiki alipozungumza mara ya kwanza baada ya …
Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea nusu ya pili ya msimu baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja …
Tetesi za usajili dirisha hili dogo zinaendelea kupamba moto ambapo baadhi ya vilabu vinaendelea kufanya usajili ikiwemo Simba SC ambapo wao wamemsajili Nickson Kibabage kutoka Sindiga Black Stars. Kibabage ambaye …
Simba SC imefikia maamuzi magumu lakini ya kimkakati kwa kumruhusu aliyekuwa mshambuliaji wake, Steven Desse Mukwala, kuondoka rasmi na kujiunga na Klabu ya Al Nasser inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hapo kesho kwa mchezo mmoja ambapo Simba SC watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Mtibwa Sugar ambao wamepanda daraja msimu huu. Mechi hiyo itapigwa majira …
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema ana imani kubwa kuwa timu yao itafanya vizuri na hatimaye kurejesha heshima yake kwa kutwaa taji kubwa …
Senegal imeandika historia nyingine kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 baada ya kuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya nusu fainali, ikipata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya …
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola ulimalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 …
Klabu ya Simba ni kama tayari imejithibitishia kuwa itakwenda kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tayari wameanza kuota ni mpinzani gani wanataka kucheza naye, baada ya …
Simba SC imeendelea kuonyesha makali yake katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Oktoba 1, …
Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC kesho wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya awali ambao utakuwa wa marudio dhidi ya Gaborone United ya …
Seleman Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa jioni ya …
Mashabiki wa soka nchini wapo kwenye hekaheka za kusubiri pambano kubwa zaidi la mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu, Dabi ya Kariakoo, ambapo vigogo wa Tanzania Bara, Yanga SC …
Ikiwa ni siku iliyosheheni shamrashamra na hisia za mashabiki wa soka, Simba SC imetangaza rasmi kikosi chake cha msimu wa 2025/2026 kupitia tamasha la Simba Day lililofanyika kwenye Uwanja wa …
Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi tarehe ya uzinduzi wa jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/26, ambapo mashabiki na wadau wa …
Simba SC wanajiandaa kwa Kituo kinachofuata ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni mchezo dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ikiwa ni mzunguko wa pili. Mchezo …
Camara kipa namba moja wa Simba SC anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Camara ni chaguo la kwanza …
Joshua Mutale, kiungo mshambuliaji wa Simba SC amewagawanya mabosi wa timu hiyo kutokana na wengine kuhitaji kuona anaondoka huku wengine wakihitaji kuona anabaki ndani ya kikosi hicho. Joshua Mutale hakuwa …
Mshambuliaji wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango …
Ally Salim kipa namba mbili wa Simba SC yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na mwendo wake kutokuwa imara. Kwenye msimu wa 2024/25 ndani ya Ligi Kuu Bara, …