SIMBA IMEPIGWA BAO HAPA NA YANGA
Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …
Ni Kama kazinduka kutoka kuzimu nyota Simba Kibu Denis ambaye jana alifunga kwa mara ya kwanza ndani ya ligi kuu baada ya kumaliza siku takribani 380 bila kuona bao. Lakini …
Baada ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya …
Ahmed Arajiga ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025 ambapo wababe wawili wanatarajiwa kukutana Yanga na Simba. …
Mastaa wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo …
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi …
Mechi nyingine kali ya kutazama ni hii ya Simba SC ambaye atauwa ugenini kukipiga dhidi ya Fountain Gate ambao wapo nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi. Tofauti ya pointi …
Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimemalizana na wapinzani wao Kilimanjaro Wonders kwa maajabu ya mtoto wa maajabu Chasambi kupachika bao huku David Kameta akitoa pasi mbili …
Ahemed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba ameweka wazi kuwa usajili wao mpya wa Ellie Mpanzu umejibu kwa haraka licha ya kuwa na mchezo mmoja wa …
LEONEL Ateba mshambuliaji wa Simba amesema kuwa furaha yake ni kuona timu hiyo inapata ushindi na watapambana kufikia malengo ikiwa ni pamoja na kutwaa ubingwa. Ipo wazi kwamba Ateba kibindoni …
Klabu ya Simba imefanikiwa kunyakua alama zote tatu kwenye mchezo wake wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu ya CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia baada ya kuicharaza mabao …
Klabu ya Simba leo inaingia vitani kuhakikisha inapata alama zote tatu leo dhidi ya klabu ya CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika mchezo …
WAKATI wa dirisha la usajili mkubwa ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2024/25 zilivuma tetesi kwamba Simba ipo kwenye hesabu kubwa za kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Aziz …
Benchi la ufundi la Simba linaendelea na maandalizi kwenye kikosi hicho kwa mechi za kitaifa na kimataifa ambapo Simba kwenye anga la kimataifa ipo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa …
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa ikiwa watani zao wa jadi, Yanga watahama Uwanja wa Azam Complex na kuchagua Uwanja wa KMC, Mwenge basi …
Uongozi wa Simba umebainisha kuwa utawaliza wengi msimu huu kutokana na uimara wa kikosi walichonacho ndani ya uwanja pamoja na benchi bora la ufundi. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, …
Leo hii ligi kuu ya NBC Tanzania inaendelea kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa Simba SC ambaye atakuwa ugenini dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo …
Shirikisho la soka Afrika (CAF ) limehitimisha kazi ya kupanga droo leo hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo klabu ya Simba SC imepangwa Kundi A. Simba imepangwa …
Timu ya Yanga Princess imefanikiwa kuingia Fainali ya michuano ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia …
Winga raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba …