Taifa Stars Wapo Tayari Dhidi ya Mongolia
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, (Morocco) ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Machi 25 2024 hivyo hawatakuwa tayari kupoteza kwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, (Morocco) ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Machi 25 2024 hivyo hawatakuwa tayari kupoteza kwa …
KIKOSI Cha Taifa Stars kipo zake kwenye ardhi ya Azerbaijan barani Ulaya kikijifua na michezo ya FIFA Series, lakini kilio kikubwa Kwa wachezaji ni hali ya hewa. Odds kubwa, kasino …
HEMED Morocco, Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), amesema kuwa wanamatumaini ya kupata matokeo kwenye mchezo wa leo dhidi ya DR Congo hatua ya makundi …
NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon Msuva amesema kuwa bado wana nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) nchini Ivory Coast …
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Taifa Stars itakuwa …
Timu ya Taifa ya Tanzania (TaifaStars), imepangwa Kundi E katika makundi ya kufuzu Kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia ya mwaka 2026 Katika droo iliyochezeshwa makundi 9 yenye timu 6 …
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Adel Amrouche ameita majina 30 ya wachezaji wa taifa stars watakaoingia kambini kujiandaa na mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya …
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars leo itashuka dimbani kutafuta tiketi ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika Affon mwakani nchini Ivory Coast dhidi ya timu ya taifa ya …
Shirikisho la Soka Tanzania TFF, limetangaza rasmi kutouza Tena tiketi za mzunguuko Baada ya wadau wengi kujitokeza kulipia tiketi hizo na hivyo kufanya mchezo wa kesho wa Taifa Stars vs …
Timu ya taifa ya mpira wa miguu Tanzania Taifa Stars imefanikiwa kupata kocha mkuu rasmi raia wa kimataifa wa Algeria akifahamika kama Adel Amrouche mwenye umri wa miaka 58. Taifa …
Kocha wa klabu ya Yanga Nasserdine Nabi amesema kua timu ambayo anaweza kuifundisha akiwa hapa nchini Tanzania ni klabu ya soka ya Yanga na sio timu nyingine yeyote. Kocha Nabi …
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Namungo, Mzambia, Honour Janza ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu ya Zesco United ya Zambia ikiwa ni muda mfupi tangu aondoke nchini. Janza ameteuliwa katika …
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Honour Janza amekitaja kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, kitakachoingia kambini kwaajili ya michezo miwili ya kirafiki na Libya …
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Imeandika kuwa Kim Poulsen ameondolewa kuwa kocha mkuu wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” yeye pamoja na wasaidizi wake ambao hawatakuwa …
Kambi ya Yanga imezidi kuongezea morale baada ya wachezaji wake waliokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania kujumiaka na kikosi cha kwanza kwenye viwanja vya Avic Town kigamboni …
UONGOZI wa kikosi cha Taifa Stars umeweka wazi kuwa unaendelea vizuri na maandalizi ya kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji …
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ jioni ya leo itashuka uwanjani Madagascar katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia. Mchezo huo utakaopigwa kuanzia saa …
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imekubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya wageni Benin katika mchezo wa kufuzu kucheza kombe la Dunia ulioanza majira ya saa 10 …
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inategemea kukutana na Benin hapo keshi ikiwa ni mechi ya 3 katika historia, huku mechi mbili za kwanza zikiwa za kirafiki. …
Kocha wa timu ya Taifa ya soka la ufukweni, Boniface Pawasa amesema uteuzi wa nyota wa maafande wa Tanzania Prisons, Benjamini Asukile kwenye kikosi chake ulifanyika kabla ya kufungiwa …