Manchester United Kikaoni Kujadili Hatma ya Ten Hag
Mabosi wa klabu ya Manchester United wameendelea na vikao kwa siku ya pili mfululizo wakijadili hatma ya kocha wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag ambaye …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mabosi wa klabu ya Manchester United wameendelea na vikao kwa siku ya pili mfululizo wakijadili hatma ya kocha wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag ambaye …
Manchester United inaripotiwa kumtazama kocha wa zamani wa Juventus Max Allegri kuchukua nafasi ya Erik ten Hag baada ya kundelea vibaya msimu huu kwa kichapo cha mabao 3-0 dhidi ya …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag bado haeleweki na timu yake kwani bado anaonekana kusuasua kwenye kupata matokeo ndani ya timu hiyo na hii imekuja baada ya …
Mkurugenzi mkuu wa klabu ya Manchester United Omar Berrada amezungumza juu ya mipango ya klabu hiyo kuhakikisha wanairejesha kwenye kilele cha ubora wake wambao ilikua nao kwa miaka mingi iliyopita. …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo inaonekana bado ana dukuduku na kocha wa klabu ya Manchester United kwani ameendelea kumtupia madongo kocha Erik Ten Hag kupitia …
Uongozi wa klabu ya Manchester United chini ya mkurugenzi mkuu wa klabu hiyo Omar Berrada wameweka wazi kua wana imani kubwa na kocha wa klabu hiyo mdachi Erik Ten Hag …
Kocha wa klabu ya Manchester Erik Ten Hag ameweka wazi kua wachezaji wawili ambao wametambulishwa kwenye kikosi hicho Mathijjs De Ligt na Noussair Mazraoui watakua sehemu ya timu kuelekea mchezo …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema kua majeraha aliyoyapata mshambuliaji wa klabu hiyo Marcus Rashford sio makubwa sana. Rashford alipata majeraha katika mchezo wa jana wa …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi kumaliza matatizo yake na winga wa klabu hiyo Jadon Sancho ambayo walikua nayo kwa kipindi cha miezi tisa nyuma. …
Klabu ya Manchester United hatimae imefanikiwa kumuongeza kandarasi kocha wake raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag ambaye ataendelea kusalia klabuni hapo mpaka mwaka 2026. Mkataba wa kocha Erik …
Kiungo wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Kobbie Mainoo ameonesha amefurahia kocha wa klabu hiyo Erik Ten kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo kama kocha …
Baada ya taarifa kutoka jana usiku kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ataendelea kuitumikia klabu hiyo kuelekea msimu ujao vyanzo vinaeleza klabu hiyo ina mpango wa kumpa …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag baada ya kufanikiwa kuiongoza klabu hiyo kutwaa taji la Fa mbele ya mahasimu wao Man City lakini pia aliwatolea uvivu waandishi …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag leo amefunguka kua ni kweli alimuhitaji kiungo wa klabu ya Barcelona aje klabuni hapo pamoja na kiungo Carlos Casemiro kutoka klabu …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi kua klabu hiyo haina uwezo wa kugombania ubingwa msimu ujao zaidi watagombea nafasi nne za juu. Kocha Ten Hag ameyazungumza hayo …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amempongeza mchezaji wake Jadon Sancho ambaye anakipiga kwenye klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo. Kocha Ten Hag amempongeza Sancho …
Kocha wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag inaelezwa bado ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo zaidi licha ya matokeo yasiyo ya kuridhisha hivi …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema anatamani kuiona klabu yake inafuzu kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao licha ya kutokua kwenye nafasi nzuri kwasasa. Kocha …
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa za mshambuliaji wake klabuni hapo Marcus Rashford kuhusishwa na mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG. Kumekua na tetesi …
Kocha Pep Guardiola wa Manchester City, Erik Ten Hag wa Man United na Mikel Arteta wa Arsenal kuwania tuzo ya kocha bora wa mwezi Febuari kunako ligi kuu ya Uingereza. …