Tennis: Djokovic Ruksa Kushiriki Wimbledon
Waandaji wa mashindano ya Wimbledon wamethibitisha kwamba chanjo ya Covid-19 haitakuwa sheria kwa wachezaji kushiriki michuano kwa mwaka huu kwa maana hiyo Novak Djokovic ataruhusiwa kutetea taji lake. Mchezaji namba …

