Simba SC Watawala Tuzo za VPL 2021.
Klabu ya Simba SC imetawala katika tuzo za VPL mwaka 2021 siku ya jana wakati wanavyotunukiwa tuzo hizo. Wakiwa wametoa wachezaji watano waliotwaa tuzo hizo. Wachezaji wa Simba SC …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Simba SC imetawala katika tuzo za VPL mwaka 2021 siku ya jana wakati wanavyotunukiwa tuzo hizo. Wakiwa wametoa wachezaji watano waliotwaa tuzo hizo. Wachezaji wa Simba SC …
Kufuatia ligi kuu ya VPL kukamilika leo hii, ni rasmi sasa zile timu za kushuka daraja na za kucheza play offs zimejulikana. Timu zilizoshuka daraja ni:- – JKT Tanzania – …
Miongoni mwa ligi zilizochelewa sana kuisha basi ni ligi ya Tanzania bara VPL, lakini bingwa wa ligi hiyo ameshajulikana na hata zile timu zitakazowakilisha taifa kwenye michuano ya kimataifa zimeshajulikana …
Baada ya papatu papatu ya dakika tisini za kushambuliana kwa wakati huku Simba wakionekana wapo kwenye wakati mzuri, ni rasmi sasa timu hiyo ya Msimbazi imetangazwa bingwa wa VPL kwa …
Kocha Mkuu wa klabu ya Coastal Union Juma Mgunda, Amesema kuwa licha ya timu yake kuwa na mwendelezo mbaya wa matokeo ila mapambano yanaendelea ili kuweza kuinasua timu hiyo …
Kocha wa Simba SC, Didier Gomes Da Rosa amefunguka malengo yake dhidi ya wapinzani Yanga SC baada ya kusema ndoto yake ni kuwapiga na kutawazwa mabingwa kwa wakati mmoja. Miamba …
Usiku wa jana ulikuwa maalum kwa Azam Fc, ambapo wachezaji wake wawili, Mpiana Mozinzi na Seleman Nado ambao walitupia mabao mawili kila mmoja na kuhakikisha ushindi wa 4-1 kwa Azam …
Wadhamini wakuu wa ligi kuu Tanzania bara, Vodacom wameamua kujitoa kwenye udhamini wa ligi hiyo kutokana na kinachosemakana kuwa wanapata hasara kubwa kwenye udhamini huo. Taarifa hiyo imekuja baada ya …
Msimu huu timu nne (4) [timu zitakazo maliza nafasi ya 14 hadi 18] zitashuka daraja moja kwa moja kutoka Ligi Kuu VPL kwenda Ligi Daraja la Kwanza. Timu mbili (2) …
Timu ya Simba imefanikiwa kuendelea kujikita kileleni mwa VPL baada ya hapo jana kuibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji pale kwa Mkapa. Katika mechi ya jana, …
Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema hana hofu na mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu zilizopo sasa na kuongeza ‘hesabu’ zitakamilika vyema katika mechi ya mwisho ya kumaliza …
Ligi kuu Tanzania bara, VPL, Iliendelea hapo jana ambapo vijana wa Dodoma Jiji waliwaalika matajiri wa Dar es salaam, Azam FC na kuwalazimisha sare ya 2-2, katika mbio za kuwania …
Mchezaji kinda wa Azam, Pascal Gaudence Msindo ameweka rekodi katika ligi kuu ya tanzania bara VPL, yakuwa mchezaji mdogo kucheza katika ligi hiyo, Miaka 17 na miezi 8. Pascal Msindo …
Msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara VPL uko hivi:- Yanga SC akiwa anashika nafasi ya kwanza huku akiongoza kwa pointi 50, wakati wapili akiwa Simba SC akiongoza kwa pointi 46, …
Kiungo fundi wa Simba SC Clatous Chama ametamba kuwa wana malengo makubwa kwenye msimu huu na kubwa ni kuutetea Ubingwa wa Ligi Kuu na kufuzu hatua ya Robo Fainali …
Kuelekea muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara [VPL], baadhi ya timu zilizokuwa na michezo pungufu kuanza safari yao mapema. Simba SC na Namungo zinamichezo pungufu, hii ni kutokana na ushiriki …
Bodi ya Ligi (TPLB) imethibitisha kuwa Februari 13, 2021 ndio tarehe rasmi ya Ligi Kuu Tanzania Bara – VPL kurejea viwanjani. VPL ilisimama kwa muda ili kupisha mashindano ya Mapinduzi …
Kipa Bora wa Kombe la Mapinduzi 2021, Faruk Shikhalo amewapa hamasa wanachama na mashabiki wa Yanga akiwaambia wasiwe na hofu kwani kwa namna Ligi Kuu iliyowakalia wanaona kabisa nafasi …
Kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Msumbiji, Luis Miquissone, ndiye anayeongoza kukunja mshahara mkubwa kwa wachezaji wanaocheza Ligi Kuu Bara msimu huu. Inaelezwa kuwa, kiungo huyo anayetumia zaidi mguu wa …
DAVID Kissu Mapigano kipa namba moja wa Azam FC ameweka rekodi ya kuwa kinara wa clean sheet ndani ya Ligi Kuu Bara Bara msimu wa 2020/21 akitumia dakika 540 bila …