zanzibar - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

OKRAH KUTAMBULISHWA LEO ZANZIBAR

SOKA LA BONGO

NYOTA Agustino Okrah ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na mkono wa kwaheri yupo Visiwani Zanzibar na leo YANGA wanayarajia kumtangaza rasmi. Inaelezwa Yanga wameingia kandarasi …

CHASAMBI KUTAMBULISHWA ZANZIBAR

SOKA LA BONGO

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango wa kumtangaza Ladack CHASAMBI kwenye Mashindano ya Mapinduzi Zanzibar. Simba wapo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na …

Feisal Aibukia Kwao Zanzibar

SOKA LA BONGO

Kiungo wa klabu ya Yanga Feisal Salum Abdallah ameonekana katika uwanja wa Mao Zedong visiwani Zanzibar akicheza mchezo wa kirafiki kati ya JKU na klabu ya Mladege. Baada ya sarakasi …

Zanzibar Yaruhusu Ngumi

Daily News

Zanzibar imeruhusu mchezo wa ngumi kufanyika kisiwani hapo, ambapo kupitia hoja iliyowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita aliyoitoa Bungeni.   Kubalika kwa mchezo huo …

Simba Kuelekea Zanzibar Ijumaa.

CAF

Klabu ya soka ya Simba kupitia msemaji wake bwana Ahmed Ally ameeleza kikosi hicho kitasafiri kesho siku ya Ijumaa kuelekea Visiwani Zanzibar. Katika safari hiyo ya kuelekea Visiwani Zanzibar inaelezwa …

1 2 3 4 5 6