OKRAH KUTAMBULISHWA LEO ZANZIBAR
NYOTA Agustino Okrah ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na mkono wa kwaheri yupo Visiwani Zanzibar na leo YANGA wanayarajia kumtangaza rasmi. Inaelezwa Yanga wameingia kandarasi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
NYOTA Agustino Okrah ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na mkono wa kwaheri yupo Visiwani Zanzibar na leo YANGA wanayarajia kumtangaza rasmi. Inaelezwa Yanga wameingia kandarasi …
KAMATI ya Kombe la Mapinduzi, imetangaza rasmi kwamba, bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni 100, huku mshindi wa pili kukabidhiwa shilingi milioni 70 na vilabu vya …
INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango wa kumtangaza Ladack CHASAMBI kwenye Mashindano ya Mapinduzi Zanzibar. Simba wapo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na …
Kama wewe ulidhani Simba wamemaliza kutambulisha vyuma vyao basi, sahau na futa kabisa fikra hizo ni hatari kwa afya yako na mpira kwa ujumla, habari ziko hivi wameshusha chuma kingine …
Nusu Fainali ya Mapinduzi Cup imepigwa jana kwa mchezo mmoja ambao uliwakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya Singida Big Stars na kushuhudia vijana wa Kally Ongala wakinyonyolewa na Francy …
Wekundu wa Msimbazi- Simba SC wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi huko kwenye visiwa vya marashi na karafuu- Zanzibar na hivyo kufanya kuvuliwa ubingwa wao …
Klabu ya Simba, baada ya kufunga mwaka kibingwa kwa kuichabanga Tanzania Prisons mabao 7-1 yaelekea Zanzibar kwaajili ya michuano ya Kombe la Shirikisho ambapo watakipiga dhidi ya Mlandege. Simba …
Klabu ya Azam FC imetua hii leo jijini Dar es salaam kwaajili ya michuano ya Mapinduzi Cup ambapo wanatarajiwa kukipiga hapo kesho dhidi ya Malindi FC. Mchezo huo na …
Kiungo wa klabu ya Yanga Feisal Salum Abdallah ameonekana katika uwanja wa Mao Zedong visiwani Zanzibar akicheza mchezo wa kirafiki kati ya JKU na klabu ya Mladege. Baada ya sarakasi …
Zanzibar imeruhusu mchezo wa ngumi kufanyika kisiwani hapo, ambapo kupitia hoja iliyowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita aliyoitoa Bungeni. Kubalika kwa mchezo huo …
Klabu ya soka ya Simba kupitia msemaji wake bwana Ahmed Ally ameeleza kikosi hicho kitasafiri kesho siku ya Ijumaa kuelekea Visiwani Zanzibar. Katika safari hiyo ya kuelekea Visiwani Zanzibar inaelezwa …
Msimu mpya wa Soka la Zanzibar kwa Mwaka 2021-2022 unatarajiwa kuanza Oktoba 25, 2021 kwa kuchezwa Ligi mbali mbali ikiwemo Ligi Kuu Soka ya Zanzibar (ZPL) na Ligi Daraja …
Klabu ya Yanga SC imeingia makubaliano na serikali kutangaza utalii wa Tanzania baada ya kuzindua kampeni ya kutangaza Mlima Kilimanjaro na Visiwa vya Zanzibar. Kampeni hiyo imezinduliwa na …
Timu ya KMKM ya Zanzibar imefanikiwa kunyakua ubingwa wa ligi kuu ya Zanzibar ikiwa na alama 44 katika michezo 22 iliyocheza. Mabingwa hao wa Zanzibar wamechukua kombe hilo la Ligi …
Uongozi wa timu ya Malindi na Kipanga zimekiri kupokea Shilingi 3,000 (elfu tatu) kila mmoja ikiwa ni sehemu ya Mapato baada ya makato (gharama nyingine za Uwanja) kwenye mchezo wao …
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa mpango mkubwa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ni kupata ushindi Kwa nguvu ya namna yoyote ile. Beti …
Nyota wa Al Ahly na timu ya Taifa ya Misri Hussein El Shahat atasafiri na kikosi cha Al-Ahly kuja jijini Dar Es Salaam Kwa ajili ya mechi ya Simba SC …
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba amebainisha kwamba watakwenda na kasi ya wapinzani wao Al Ahly Waarabu wa Misri kwenye mechi za …
WAKATI Wapinzani wao Simba wakiwa visiwani Zanzibar Kwa ajili ya maandalizi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, Yanga wao wamekita Kambi kwenye viunga vya Avic Town ambapo …
WAKIWA na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, Waarabu wa Misri uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa kambi yao ya Zanzibar …