LeBron James atilia shaka mustakabali wake na Los Angeles Lakers baada ya kushindwa kwao kwa kumaliza msimu na Denver Nuggets. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38, mfungaji bora …
Makala nyingine
LeBron James anakosa mchezo wa Los Angeles Lakers dhidi ya Memphis Grizzlies baada ya kuonekana kupata jeraha katika mechi yake ya mwisho. James alikuwa akichechemea hadi mwisho wa ushindi …
Staa wa mchezo wa kikapu kutoka nchini Marekani Lebron James amefanikiwa kuweka rekodi ya kua mfuingaji bora wa muda wote kwenye ligi kuu ya kikapu Marekani maarufu kama NBA. Lebron …
Mkuu wa mbio za Red Bull na kandanda Dietich Mateschitz amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Raia huyo wa Austria alijulikana kwa …
Hashim Ibwe, katika mazungumzo na mwandishi wa Meridianbet Sport, Amekili kuwaheshimu KMC , “mimi sikua mchezaji kusema kwamba naweza kuingia uwanjani na kurekebisha kitu flani, KMC tumekua tukiwaheshimu toka mwanzo …
Moja ya wachezaji bora wa ligi ya kikapu nchini Marekani NBA Klay Thompson anayeichezea klabu ya Golden State Warriors ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio ya timu hiyo ni kocha …
Watanzania Ibrahim Ramadhan na Fadi Ramadhan almaarufu Ramadhan Brothers, waliong’ara katika mashindano ya Australia’s Got Talent yaliyofanyika usiku wa Jumapili, Oktoba 16, 2022, wamefunguka mambo mengi kuhusu maisha yao ikiwemo …
Sadio Mane Mshambuliaji wa Bayern Munich usiku wa jana ameshika nafasi ya pili katika tuzo za mwaka huu za Ballon d’Or, nyuma ya Kareem Benzema aliyefanikiwa kutwaa tuzo hiyo ya …
Mpiganaji masumbwi uzito wa juu Deontay Wilder amesema anataka kupigana na Anthony Joshua bondia raia wa Uingereza mwenye asili ya Nigeria barani Afrika akiamini bado ni pambano namba moja. Deontay …
Ukiniuliza Picha yangu bora iliyoishi na sio kuishia ? Basi nitakurudisha tarehe 21 Mei 2008 kwenye Dimba la Luzhniki mjini Moscow, pale kwa Putin .ndipo ilipopigwa Picha yangu ya wakati …
Anthony Joshua bondia wa uzito wa juu na bingwa wa zamani wa mikanda ya dunia kama WBA,IBF,WBO, na IBO amesema yuko tayari kupambana na Tyson Furry. Bondia huyo mwenye asili …
Klabu ya chelsea ya Chelsea imeachana na beki wake mwenye asili ya Brazil anayecheza timu ya taifa ya italia Emerson Palmieri. Beki huyo wa kushoto aliejiunga na Chelsea mwaka 2018 …
Imeandikwa na Jemedari Said HATUA na kila hatua duah..! Kama unajua namna Simba na Yanga zilivyohangaika na mikataba ya kulaliwa laliwa, ukiona hivi unawapongeza. Kila upande umepata kutokana na thamani …
Anaandika Mwana Habari wa kituo cha Clouds Media Farhan Jr, Kwenye kurasa yake ya mtandaoni ya Instagram Hii ni TOKYO, Japan 🇯🇵 na huyu Jamaa anaitwa Dan Orlowitz ni Mwandishi …
KLABU ya Yanga imefikia makubaliano ya kuachana na kiungo wa Kimataifa wa DR Congo Chiko Ushindi ambaye alikuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu ya TP Mazembe. Msemaji wa klabu …
Baada ya kuwapoteza Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette, Arsenal inataraijia kumsajili mchezaji wa Manchester City na timu ya taifa ya Brazil, Gabriel Jesus. The Gunners wanataka kuongeza makali kwenye safu …
NBA mambo yanaeleweka huku mambo hayaeleweki ubingwa kwenda kushangilia jijini San Fransisco au Boston? kesho inawezakuwa ijumaa ya maamuzi kumaliza game 6 au Game 7 ndio itatupa bingwa. Timu ya …