Nyota wa Dallas Mavericks Luka Doncic amesisitiza kwamba Jeraha lake la kifundo cha mguu halikuwa baya sana baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Los Angeles Clippers.
Doncic alifunga eneo la kifundo cha mguu baada ya kuumia katika robo fainali ya tatu na kupoteza kwa point 130-122 katika mchezo wa tatu kwenye michuano ya Western Conference ikiwa ni mfululizo wa hatua ya kwanza siku ya Ijumaa.
Mlinzi huyo alirudi uwanjani kabla hajalazimika kwenda nje kufuatia maumivu aliyokuwa ameyapata na kumaliza akiwa na alama 13,ribaundi 10 na asisti 10.
Doncic amesisitiza halikuwa tatizo kubwa sana lakini atakwenda kufanya kipimo cha MRI siku ya Jumamosi.
“Namaanisha nimeona video. Sijui kwa namna gani ile ilitokea, lakini haikua mbaya kiasi hicho,” aliongea na waandishi wa habari.
“Kusema kweli, nilikuwa na bahati sababu ni kifundo cha mguu wa kushoto na siyo kulia kwa hiyo ni maumivu kidogo tu nahisi.
“Tutajua zaidi siku ya kesho.”
Doncic alijihakikishia kuwa angeweza kuwepo kwenye michezo minne siku ya Jumapili ya Mavericks.
Mslovenia huyo alisema ingawa alihisi angekatazwa kurudi uwanjani.
“Nilitaka kurudi unajua, nilijua bado tuna nafasi ya kushinda, kusaidiana na wachezaji wenzangu lakini ilinilazimu nikimbie kidogo na sikuweza kuulazimisha mguu wangu wa kushoto.
“Ilikuwa ni bora niende nje na kuacha mchezaji mwingine acheze.”
Doncic mwenye umri wa miaka 21 amekuwa mchezaji wa tatu kijana kuweka historia ya triple- double kwenye michezo ya kufuzu yupo nyuma ya Magic Jonhson na LeBron James.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
Ernest
Habari nzuri wa wapenda kikapu na kwa timu ya Dallas Mavericks
Rehema
Asante meridianbet kwa habari mzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri Doncic ametupa moyo mashabiki juu ya jeraha lake tutazidi kukuombea zaidi uwe fiti
Sadick
Kivumbi cha NBA kinazidi kutimuka kuelekea ukingoni sasa baada ya likizo ya lazima kutokana corona nasubiri kuona bingwa mwaka huu baada ya Toronto Raptors iliyoshinda msimu uliopita#meridianbettz
Issa
Doncic safi kupambania mavericks
Adelta
Asante kwa taarifa
@meridianbettz
magdalena
NBA kunazidi kupamaba moto kwa kasi ya ajabu sana
Dorophina
Ni habari njema kama Doncic ajaumia sana maana anaonekana amekamia sana NBA
felister
tunafurahi kusikia ivyo
Neema
Habariii hiyo ni njema kwetu
Nasra
Ni taarifa njema
Tatu
Hii habari nzuri kwetu wapenzi wa kikapu
Mwanahamisi
Ni habali njema
JULIANA
Asante kwataharifa yamaendeleo mazuri
Khadija
Tunashukuru mashabiki kusikia hivo#meridianbettz
Zeiyana
Habari njema kwa mashibiki wa kikapu
Mwajumah
Hakika ni habari njema#Meridianbettz
marry
asante kwa taarifa
Saupha mohamed
Good news
Caroline
Uzidi kupata nafuu
Amiri Kayera
Atapona tu
Janeflora malisa
Good
aisha
Atapona tuu mungu atamsaidia
Hope mwaikuka
Bas ashukuliwe Mungu kwa uponyaj wake
Povel
Get well soon
Gabriel
Ujue tatizo la enka n la kujirudia hivyo Nyota wa Dallas Mavericks Luka Doncic asije akadharau tatizo hilo
Devotha
Kama tatizo sio kubwa itakua vizuri arudi mapema mchezoni
Shafii
Ni habari nzuri kwa mashabiki.
Rose kapinga
Kila la kher doncic
Salma ngende
Vizuri kusikia ivyo
Omary lukumbi
Duuu pole yake
David Pere
Kivumbi cha NBA kinazidi kutimuka kuelekea ukingoni sasa baada ya likizo ya lazima kutokana corona nasubiri kuona bingwa mwaka huu baada ya Toronto Raptors iliyoshinda msimu uliopita
Ester jackson
Good news
Ester jackson
Baada ya likinzo ya ugonjwa wa corona nasubiri kuona mabigwa mwaka huu
farida ahmadi
Pole Sana doncic
Samiah
Good news
Furahav
Taarifa nzuri
Sabrina
Baada ya kupona Corona Karibu mchezoni
Latifa juma mohamed
Gud news.
warda
Pole yake#Meridianbettz
Theckla
Atapona tu kwa uwezo wa Mungu