Beki wa Liverpool, Dejan Lovren yupo mbioni kujiunga na club ya Zenit St. Petersburg kwa ada ya pauni 11 milioni.
Lovren alijiunga na Liverpool akitokea Southampton mwezi July 2014 kwa ada ya uhamisho wa pauni 20 milioni. Kwa miaka sita aliyokaa Merseyside amehusika kwenye ubingwa wa ligi kuu walioutwaa Liverpool na taji la club bingwa barani Ulaya.
Hata hivo, Mcroatia huyu mwenye miaka 31 amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi katika kikosi cha kwanza kutokana na uwepo wa Virgil Van Djik, Joe Gomez na Joel Matip. Msimu huu Lovren amecheza jumla ya michezo 15 pekee katika mashindano yote.
Liverpool wapo tayari kumuacha Lovren aondoke iwapo atafikia makubaliano binafsi na club ya Zenit. Lovren amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na majogoo wa jiji na bado wana kipengele cha kumuongezea mwaka mmoja iwapo watahitaji kufanya hivo.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
warda
Bora Aende huko Ataweza pata nafasi katika kikosi cha kwanza
Antony Luseno
Klopp asingemwachia beki huyo kwanza
Fatina mfingi
Ni vizur kwakuwa maamuzi kafanya mwenyew
Zeiyana
Unaweza ukamuita beki kisiki pale Liverpool kama zenit wataipata saini yake tunategemea wabadiliko makubwa sana clabuni hapo zenit
Hope mwaikuka
Sawa tu
Mariam mtandama
Vizur
Dorophina
Liverpool hawakutakiwa kumuuza kwanza lovren wangesubilia kwanza
Adelta
Ni maamuzi mazuri aliyochukuwa
Mwanahamisi
Ni vizuri kwa maamuzi yake aliyechukua
Isaya massawe
Pengine ameona ndo sehem pekee ya yeye kucheza
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri bora aende tuu anaweza akapata nafasi
Adelta
Ni maamuzi mazuri aliyochukuwa
felister
nakutakia mafanikio mema katika safari yako yako mpya
Franky
Habadilishe upepo nae
aisha
Klopp hapa amekurupuka kumuuza lovren angesubili sana
Khadija
Maamuzi mazuri aliyochukua#meridianbettz
Tatu
Klopp kama umemuza mchezaji anatakiwa asajili kiungo mwingine haraka ili kuziba pengo LA lovren
Angelina
Goodnews
Genia Sikaluzwe
Ni amaazi mazuri aliyo ya chukuwa ni Bora akabadishe upepo
Njiku
Safii hii
Rehema
Ni mahamuzi mazuri Bora abadilishe upepo
caroline
mwache aende pengine ni sehemu pekee anayoweza kucheza
Samiah
Abadili upepotu
mwajumah
Ni vizuri#Meridianbettz
Shafii
Usajiri mzuri kwa zenit.
Salma ngende
Safi sans zenit
Amiri Kayera
Safar njem mkalii
Asia Abdy
Good
Furahav
Nenda tu zenit ukapate namba ya kudumu.
Saupha mohamed
Nenda salaama
Janeflora malisa
Ni vzr
lombo
habar njema
Gabriel
Habar njema
Rose kapinga
Vizur kambi popote!!
Issa
Kumwacha klopp kabugi
Povel
Habar njema
farida ahmadi
Maamuzi mazuri
sabrina
Kokote kambi aende tu
omary lukumbi
maisha kokote ila ni mchezaj alie itumikia liverpool vyema kabisa
Fatuma kasomo
Safi tu
Latifa juma mohamed
Lovren mchezaji mahiri aliyetumikia Liverpool ipasavyo tunategemea akaonyeshe maajabu zaidi zenit.
Ernest
Umri umemtupa mkono Lovren lakini ameshavuna alichokipanda ndani ya Liverpool ni heshima kubwa sana kwake.
Theckla
Bora aende Mana hakuwa na msimu mzuri Liverpool
Magdalena
Habari njema kwa zenit kijana kapige kazi umetoka timu kubwa sana
Neema juma
Ni vizurii
Sadick
Croatia ina vipaji vingi sana. Lakini wakati anacheza mara kwa mara beki yao iliruhusu magoli mengi sana #meridianbettz
devotha
ni uwamuzi mzuri aliochukua
David Pere
Kucheza mpira Ndio kazi take popote anakipiga tu