Nahodha wa Klabu ya Manchester United Harry Maguire amesema kuwa hawakustahili kufungwa usiku wa kuamkia leo mabao 3-2 dhidi ya RB Leipzig kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
United ilianza kuokota mpira wavuni mapema dakika ya 2 kupitia kwa Angelino na lile la pili lilifungwa dakika ya 13 na Amadou Haidara na kuwafanya waende mapumziko wakiwa nyuma kwa mabao 2-0.
Kipindi cha pili United iliokota nyavuni bao la tatu kupitia kwa Justin Kluivert dakika ya 69 na United walipata penalti dakika ya 80 iliyofungwa na Bruno Fernandes na lile la pili walipewa zawadi baada ya Ibrahima Konate kujifunga dakika ya 82.
Kichapo hicho Uwanja wa Red Bull Arena kinawafanya United chini ya Kocha Mkuu, Ole Gunnar kufungashiwa virago kwa kuwa walikuwa wanahitaji sare ili wajihakikishie nafasi ya kufuzu 16 bora ndani ya kundi H ila mambo yalikuwa magumu kwao.
Maguire amesema:”Tumeumia kutolewa na hatukupaswa kufungwa lakini kwa kuwa ni matokeo hatuna chaguo,”.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Fatina mfingi
Pole yenu
Fatuma kasomo
Gud news
Hopemwaikuka
Pole yenu
Adelta
Manchester united Jana umeharibu sana
Rahma
Polen sana manchrster
Magdalena
Kocha anazingua sana na ndo sababu ya united kufungwa
Theonestina
Poleni sana
Genia Sikaluzwe
Poleni sana
Tatu
Poleni sana
Lydia Emmanuel Magoti
Sio kilasiku mpila uwemzuri nimakosa madogo madogo nayanaweza kulekebisha sio zianze lawama sasa kidogo wamealibu tuwangarie mbele sasa
warda
Kwa kweli wameniuzi sana hawa Man U Mana nilikosa pesa
Povel
Wamestail kutowelawah wamecheza chini ya kiwango Sana
felister
ndo mchezo lkn
Dorophina
Man u wanafeli wapi
Saupha mohamed
Poleni sana
aisha
Poleni sana ndio mpira
Issa
United dah