Anga la NBA linaendelea kutimua vumbi kwa michezo ya Mtoano (Play-Off). LA Clippers walikuwa uwanjani kukipiga dhidi ya Dallas Mavericks jijini Orlando, Florida.
LA Clippers wafuzu hatua ya pili kunako NBA Play- Offs.
Kawhi Leonard alikuwa kinara wa mchezo huo baada ya kufunga point 33 katika ushindi wa pointi 111-97 dhidi ya Dallas Mavericks na hivyo mchezo huo kumalizika kwa ushindi wa 4-1.
Kwingineko katika michezo ya Play- Off, Denver Nuggets waliwatoa Utah Jazz kwa ushindi wa pointi 119-107. Mshindi wa jumla wa mchezo huu, atakutana na Clippers katika mzunguko wa pili.
Bolton Celtic wamewalaza Toronto Raptors katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili kwa ushindi wa pointi 112-94.
SHINDA NA HILO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Sadick
NBA inahesabika kuwa ligi namba one ya Basketball duniani ambapo kuna wachezaji kutoka kila pembe duniani#meridianbettz
magdalena
NBA naikubali sana katika mchezo wa kikapu
Tatu
Kawahi leonard ndio aliyekuwa kinara kwenye mchezo huo NBA
Lydia Emmanuel Magoti
NBA naikubali Sana katika mchezo wakikapu
felister
NBA ni ligi namba moja ya ligi basketball duniani
Furahav
NBA ni ligi naikubali sana.
Samiah
Hii ligi ya NBA naipenda sanaaa
Sabrina
NBA iko poa sana
jullie
NBA safi sana
farida ahmadi
Asante kwa taarifa
Hidaya
NBA haina mpinzani