LA Lakers Yaichapa Brooklyn Nets 126-101

Timu ya Los Angels Lakers imefanikiwa kuifunga Brooklyn Nets ya Durant alama 126 kwa 101. Katika mechi ya jana, Lakers walionekana kutawala mchezo huo kiwango kikubwa.

Viajan wa Los Angels walionesha mchezo mzuri licha ya kukutana na wachezaji nyota wakubwa kama Kelvin Durant, ambaye tangu arejehe toka majeraha ya mguu aliwaongoza Nets kushinda alama 22 na rebounds 7 katika dakika 24.

Los Angeles Lakers v Brooklyn Nets
Kyrie akizungumza na mwamuzi wakati Nets wakipoteza
Katika mchezo huo Lakers waliwakosa nyota wao Lebron James, Antony Davis na Kayle Kuzma, kukosekana kwa wachezaji hao kuliwafanya Nets kuona wameshinda mechi hiyo mpaka pale ambapo Andre Dummond aliingia na kuleta mabadiliko makubwa. Drummond alikusanya alama 20 na rebounds 11 katika dakika 22 tu alizocheza.

Nets sasa anashika nafasi ya pili katika Eastern Conference akiwa na alama 679 sawa na 76ers.


INAWEZEKANA KUWA MILIONEA BILA KUVUJA JASHO NA KASINO YA ODD ONE OUT.

Odd One Out kutoka Meridianbet ni moja ya kasino maridhawa yenye picha halisi, ambayo inakupa nafasi ya kushinda kadri uwezavyo na kuwa milionea mara baada ya mzunguko kukamilika.

CHEZA HAPA

5 Komentara

    La-lakers imetisha sana

    Jibu

    La-lakers ni noma

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Kbabe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.