LA Lakers na Golden State Warriors wamewalaza na viatu Chicago Bulls na LA Clippers kwenye muendelezo wa NBA.
Lakers walikuwa uwanjani wakichuana na Chicago Bulls katika mchezo uliomalizika kwa ushindi wa pointi 117-115.
Mabingwa wa NBA msimu uliopita – Lakers waliongozwa na LeBron James ambaye alipachika pointi 28 na kutoa pasi 7 za magoli.
Upande wa pili, Stephen Curry aliiongoza vyema Golden State Warriors kwenye mchezo dhidi ya LA Clippers.
Curry alipachika pointi 38 katika mchezo ambao Warriors wamelipa kisasi dhidi ya Clippers. Warriors walitoka nyuma kwa kufungwa pointi 22 lakini kipenga cha mwisho kilipulizwa Warriors wakiwa na pointi 115-105.
Matokeo ya michezo ya NBA Ijumaa hii.
Detroit Pistons 110-105 Phoenix Suns, Boston Celtics 116-107 Washington Wizards, Charlotte Hornets 118-110 New Orleans Pelicans, Oklahoma City Thunder 101-89 New York Knicks, Houston Rockets 132-90 Orlando Magic, Memphis Grizzlies 115-110 Brooklyn Nets, Utah Jazz 131-118 Milwaukee Bucks na Toronto Raptors 144-123 Sacramento Kings
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Sania
Mambo ni firee
Janeflora malisa
Safi
Neema juma
Mambo yalinogaa balaaaaa
Sarah
Mambo nimoto
Adelta
NBA mambo yanazidi kuwa 🔥🔥🔥🔥
Shakila mrope
Good New NBA
Magdalena
Lakers wanatisha
Ernest Kimeru
Ngoja tuone
Rahmal
Mambo yanazidi kuwa moto
Caroline
Wapo vizuri
lombo
saf
Mwanahamisi
Ngoja tuone
Hopemwaikuka
True say
aisha
Kweli kabisa mambo ni bui bui
Lydia Emmanuel Magoti
Ngoja tuone
Dorophina
Lakers wapo vizuri sana
Issa
Hii ndio lakers
Saupha mohamed
Mambo moto
warda
Na hawa moto wao haupoi leo