Mchezo wa kwanza wa fainali ya NBA 2019/20 umechezwa usiku wa kuamkia leo. LA Lakers wakianza kwa ushindi dhidi ya Miami Heats.
Fainali ya NBA ina jumla ya michezo 7 na mchezo wa kwanza umemalizika kwa Lakers kushinda pointi 116-98 dhidi ya Miami Heats.
Anthony Davis na LeBron James wameendelea kuwa mwiba kwa timu pinzani wanazokutana nazo. Katika mchezo huu, Davis alipachika pointi 34 wakati ambapo James alitupia pointi 25 na kutoa pasi 9 za magoli.
Jimmy Butler alikuwa shujaa wa Miami kwa kuweka pointi 23 japokuwa walipata shida kwa wachezaji wao wawili – Goran Dragic na Bam Adebayo kupata majeruhi kwenye mchezo huo.
Akizungumza baada ya mchezo huo, LeBron James alisema, “Bado kazi haijakwisha. Hatujaridhika na ushindi wa mchezo mmoja.
“Unapaswa kuangalia ni jinsi gani Miami ni wapinzani wagumu. Tumeliona hilo. Bado tunakazi kubwa ya kufanya.”
Mchezo wa 2 kati ya 7 kwenye Fainali ya NBA utachezwa usiku wa kuamkia Jumamosi.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Ernest
Lakers bingwa hana mpinzani
Elika
Lakers imesimama imara..kwanza wako vizur
Adelta
Lakers Ni wachezaji imara
Lydia Emmanuel Magoti
Lakers Awana mpinzani
Dorophina
Lakers lazima achukue ubingwa
Nasra
Lakers safii
Mwanahamisi
Lakers ana mpinzani
magdalena
nilijua tu ya kuwa lakers ni mshindi tena mzuri sana wanajua sana hawa jamaa
Mariam mtandama
Safi
Hidaya
Lakers hana mpinzani
Fatina mfigi
Lakers noma
Samira
Lakers lazima achukue ubingwa
Mwajumah
Lakers safi
Janeflora malisa
Nice
Saupha mohamed
Lakers wapo vizuri
felister
Lakers hana mpinzani
Tatu
Lakers timu bora
aisha
Lakers wako.vizuri sana pia hawanaga kazi mbovu
Venerose
Lakers yupo vinzuri
Caroline
Lakers wanajuaaaa
Rose kapinga
Mwanzo mzuriii!!!
Sylvester
Lakers klabu bora bado katika basketball hongera zao
Angelina
Hawa jamaa ni hatari sana
lombo
saf
Khadija
Lakers han mpinzani
Fatuma kasomo
Wako vizuri
Amiri Kayera
Lakers wanaonyesh kiwang san
Neema
Lakers ni noma sana
Flomena
Amazing
David Pere
nilijua tu ya kuwa lakers ni mshindi tena mzuri sana wanajua sana hawa jamaa
Sauda
Lakers hatari sana
Ester mmakasa
LA Lakers pongezi sana kwenu mwendo uwe uwouwo.
Zeiyana
Hilikua bonge la gemu
Hopemwaikuka
Am happy for them
Povel
Dalili ya nyota njema for me naona Kama lakers wanawez kubeba Taj msimu huu
Shani
Heats ni moto sana
Issa
Heats ni moto sana
Latifa juma mohamed
Nyota njema huonekana asubuh, Lakers wanaweza wakabeba ushind.
Gabriel
Lakers imesimama imara
Samiah
Safi